<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>BongoCelebrity &#187; Serikali/Uongozi</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/category/serikaliuongozi/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Feb 2012 09:13:32 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
		<item>
		<title>DR.ASHA-ROSE MIGIRO:RAIS MTARAJIWA?</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Jan 2012 18:38:57 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>
		<category><![CDATA[Tanzania/Zanzibar]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=13158</guid>
		<description><![CDATA[Mwaka jana mwezi wa nane(August),tuliuliza swali katika post hii hapa.Kichwa cha habari kilikuwa katika lugha ya Kiingereza kwamba Dr.Asha-Rose Migiro:The Next President? Swali lile tuliliuliza kufuatia kilichokuwa kikiendelea katika duru za kisiasa wakati ule. Kulikuwa na tetesi kwamba Dr.Migiro,huenda akajitupa ulingoni kuwania Urais mwaka 2015.Wadau mbalimbali wakawa wakiongelea uwezekano wa Tanzania kupata Rais wa Kwanza [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Dr.Migiro.jpg"><img class="aligncenter  wp-image-13159" title="Dr.Migiro" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Dr.Migiro.jpg" alt="" width="597" height="597" /></a></p>
<p>Mwaka jana mwezi wa nane(August),tuliuliza swali katika post <a href="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/11/dr-asha-rose-migirothe-next-president/#axzz1kIf9mptG">hii hapa</a>.Kichwa cha habari kilikuwa katika lugha ya Kiingereza kwamba <a href="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/11/dr-asha-rose-migirothe-next-president/#axzz1kIf9mptG">Dr.Asha-Rose Migiro:The Next President? </a>Swali lile tuliliuliza kufuatia kilichokuwa kikiendelea katika duru za kisiasa wakati ule. Kulikuwa na tetesi kwamba Dr.Migiro,huenda akajitupa ulingoni kuwania Urais mwaka 2015.Wadau mbalimbali wakawa wakiongelea uwezekano wa Tanzania kupata Rais wa Kwanza Mwanamke na mambo kama hayo.</p>
<p>Kwa bahati nzuri au mbaya,wakati ule Dr.Asha-Rose Migiro bado alikuwa akishikilia cheo chake cha U-naibu Katibu Mkuu wa <a href="http://www.un.org/">Umoja wa Mataifa(United Nations)  </a>na hivyo kufanya tetesi zile ziishie hewani kama vile mvuke wa maji ya moto tu. Mambo yamebadilika kidogo hivi majuzi  ilipojulikana kwamba Dr.Migiro atakiachia cheo cha U-Naibu Katibu Mkuu wa UN kwa sababu muda wake umemalizika.Haijawekwa wazi kwamba kwanini yeye aondoke wakati Katibu Mkuu wake,Ban-Ki Moon bado yupo na kama walikuwa na ajenda basi ni yao wote kuitekeleza.Anyway,hayo ni mambo mengine,tuyaache kwa sasa.</p>
<p>Sasa kwa sababu Dr.Migiro anaondoka UN na hivyo kumaanisha kwamba atakuwa na nafasi zaidi ya kuwania Urais wa Tanzania katika <a href="http://www.nec.go.tz/">Uchaguzi Mkuu mwaka 2015</a>, tayari fukuto la maoni ya wananchi limeanza kutanda. Je,agombee mwaka 2015? Je anafaa?Je,Tanzania ipo tayari kwa Rais Mwanamke? Hayo ni baadhi ya maswali yasiyo na majibu ya moja kwa moja ambayo yamekuwa yakisikika iwe ni mtaani,mitandaoni,katika vyombo mbalimbali vya habari hususani Radios nk.Nini maoni yako wewe msomaji wa BC?</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;t=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;notes=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;Title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-13158'), event, 'post-13158')" onMouseOver="more(this,'post-13158')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-13158')" id="sociable-post-13158" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;t=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;bodytext=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;annotation=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;t=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;title=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;selection=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F23%2Fdr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa%2F&amp;t=DR.ASHA-ROSE%20MIGIRO%3ARAIS%20MTARAJIWA%3F&amp;s=%0D%0A%0D%0AMwaka%20jana%20mwezi%20wa%20nane%28August%29%2Ctuliuliza%20swali%20katika%20post%20hii%20hapa.Kichwa%20cha%20habari%20kilikuwa%20katika%20lugha%20ya%20Kiingereza%20kwamba%20Dr.Asha-Rose%20Migiro%3AThe%20Next%20President%3F%20Swali%20lile%20tuliliuliza%20kufuatia%20kilichokuwa%20kikiendelea%20katika%20duru%20za%20kisi"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-13158',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-13158',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="DR.ASHA-ROSE MIGIRO:RAIS MTARAJIWA? - http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/23/dr-asha-rose-migirorais-mtarajiwa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>8</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>JK Vs SLAA: UNGEMCHAGUA NANI?</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Jan 2012 11:58:10 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=13028</guid>
		<description><![CDATA[Zaidi ya mwaka mmoja umeshapita sasa tangu Rais Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani katika muhula wake wa pili wa kuliongoza taifa hili. Ingawa mwaka mmoja sio muda wa kutosha kwa kiongozi kukamilisha malengo na ahadi zote,ni muda wa kutosha kutoa picha ya mfumo na mtindo wa ki-uongozi. Je,mwaka mmoja baadae,uchaguzi ungefanyika unadhani kura yako ungempa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Kikwete-Vs-Dr.Slaa_.jpg"><img class="size-full wp-image-13029 aligncenter" title="Kikwete Vs Dr.Slaa" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Kikwete-Vs-Dr.Slaa_.jpg" alt="" width="499" height="223" /></a></p>
<p>Zaidi ya mwaka mmoja umeshapita sasa tangu Rais Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani katika muhula wake wa pili wa kuliongoza taifa hili. Ingawa mwaka mmoja sio muda wa kutosha kwa kiongozi kukamilisha malengo na ahadi zote,ni muda wa kutosha kutoa picha ya mfumo na mtindo wa ki-uongozi.</p>
<p>Je,mwaka mmoja baadae,uchaguzi ungefanyika unadhani kura yako ungempa nani katika ya Rais Jakaya Kikwete na aliyekuwa mpinzani wake mkuu katika uchaguzi uliopita,Dr.Wilbrod Slaa?Kwanini?</p>
<p>Ninapoandika post hii, Dr.Wilbroad Slaa,kupitia tamko la <a href="http://www.chadema.or.tz/">CHADEMA </a>wametoa msimamo wao kuhusu uongozi wa Rais Kikwete mwaka mmoja baadae.<a href="http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/19088-dk-slaa-amshukia-jk.html">Gazeti la Mwananchi</a> limeandika kwa kirefu kuhusu hilo na unaweza kulisoma <a href="http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/19088-dk-slaa-amshukia-jk.html">kupitia hapa.</a></p>
<p>NB: Unaweza kutumia fursa hii kutoa maoni ya kujenga kwa maana ya kwamba kutoa maoni yenye tija na sio lawama na matusi.</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;t=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;notes=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;Title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-13028'), event, 'post-13028')" onMouseOver="more(this,'post-13028')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-13028')" id="sociable-post-13028" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;t=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;bodytext=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;annotation=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;t=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;title=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;selection=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F06%2Fjk-vs-slaa-ungemchagua-nani%2F&amp;t=JK%20Vs%20SLAA%3A%20UNGEMCHAGUA%20NANI%3F&amp;s=%0D%0A%0D%0AZaidi%20ya%20mwaka%20mmoja%20umeshapita%20sasa%20tangu%20Rais%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20aingie%20madarakani%20katika%20muhula%20wake%20wa%20pili%20wa%20kuliongoza%20taifa%20hili.%20Ingawa%20mwaka%20mmoja%20sio%20muda%20wa%20kutosha%20kwa%20kiongozi%20kukamilisha%20malengo%20na%20ahadi%20zote%2Cni%20muda%20wa%20kutosha%20"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-13028',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-13028',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="JK Vs SLAA: UNGEMCHAGUA NANI? - http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/06/jk-vs-slaa-ungemchagua-nani/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>15</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>IN CASE YOU MISSED IT: HOTUBA YA SALAMU ZA MWAKA MPYA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 02 Jan 2012 20:54:06 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=12967</guid>
		<description><![CDATA[TAREHE 31 DESEMBA, 2011 Ndugu Wananchi; Leo tunauaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012. Naungana nanyi Watanzania wenzangu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na bahati ya kuiona siku ya leo. Wapo ndugu, jamaa na marafiki zetu wengi ambao hawakujaaliwa kuwa nasi kwa kuwa wametutangulia mbele ya haki. Tuzidi kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awape mapumziko [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Rais-Kikwete.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-12969" title="Rais Kikwete" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Rais-Kikwete.jpg" alt="" width="400" height="341" /></a></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">TAREHE 31 DESEMBA, 2011</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Leo tunauaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012. Naungana nanyi Watanzania wenzangu kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia uhai na bahati ya kuiona siku ya leo. Wapo ndugu, jamaa na marafiki zetu wengi ambao hawakujaaliwa kuwa nasi kwa kuwa wametutangulia mbele ya haki. Tuzidi kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awape mapumziko mema na sisi tuendelee kumuomba Mola wetu atujaalie rehema na neema tele katika mwaka ujao.</p>
<p>Mapitio ya Mwaka 2011 na Matarajio kwa Mwaka 2012</p>
<p><strong>Miaka 50 ya Uhuru<br />
</strong><br />
Ndugu wananchi;</p>
<p>Mwaka 2011 ulikuwa mwaka wa aina yake na wa kihistoria kwa nchi yetu na wenye mchanganyiko wa mambo. Kulikuwa na matukio ya furaha na majonzi na ulikuwa mwaka tuliopata mafanikio mengi na changamoto mbalimbali. Tumeweza kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa heshima stahiki kama nilivyoelekeza katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011. Tumezitumia vizuri sherehe hizo kufanya tathmini ya maendeleo tuliyoyapata tangu Uhuru mpaka hapa tulipo sasa pamoja na kutambua changamoto zilizo mbele yetu.</p>
<p>Hakika tumepata mafanikio makubwa sana katika miaka 50 hii ya Uhuru wetu kuliko yale yaliyopatikana katika miaka 77 ya ukoloni wa Wajerumani (miaka 34) na Waingereza (miaka 43). Pamoja na mafanikio hayo tuliyoyapata bado nchi yetu ni miongoni mwa nchi maskini sana duniani hivyo bado tunayo kazi kubwa sana ya kufanya mbele yetu. Katika tathmini iliyofanywa na kila Wizara na Idara za Serikali, mambo yanayostahili kufanyika miaka ijayo pamoja na mikakati ya kufikia malengo hayo, yameainishwa vizuri.</p>
<p><strong>Mpango wa Maendeleo<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Bahati nzuri, mambo yote yaliyoainishwa kufanywa yanakuwa sehemu ya mambo ya kutekelezwa katika Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2011/2012 mpaka 2015/2016. Kama mtakavyokumbuka miongoni mwa matukio muhimu katika mwaka 2011 ni kukamilika kwa kazi ya kufanya tathmini ya kuhuisha Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 na kutengenezwa kwa Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa kutekeleza Dira hiyo. Tumejipanga vizuri kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano katika Bajeti ijayo. Pia nimeunda Kikundi Kazi kinachoongozwa na Prof. Benno Ndulu cha kushauri juu ya vipaumbele na kufuatilia utekelezaji wa Mpango huo.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span id="more-12967"></span></p>
<p>Kwa mara nyingine tena narudia kutoa pongezi za dhati kwa Watanzania wenzangu wote kwa jinsi tulivyosherehekea miaka 50 ya kuzaliwa kwa taifa huru la Tanganyika ambalo sasa ni Tanzania Bara. Tumeikumbuka na kuitukuza ipasavyo siku hii maalum na adhimu kwa nchi yetu. Nawapongeza sana wale wote waliofanya kazi kubwa ya maandalizi ya sherehe zile pamoja na wananchi walioshiriki. Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja wetu katika ngazi yake na dhamana yake atafanya tathmini ya jinsi mambo yalivyokuwa katika maeneo yake ili kujua mafunzo gani amepata. Lengo ni kutambua maeneo ya udhaifu kwa nia ya kurekebisha kasoro zilizopo na yale waliyofanya vizuri kwa nia ya kuimarisha zaidi.</p>
<p><strong>Mchakato wa Katiba</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tukio lingine la kihistoria lililotokea mwaka huu tunaoumaliza leo ni kuanza kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya nchi yetu. Kama mnavyokumbuka, katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011, niliahidi kwamba tutaanzisha mchakato wa kuitazama upya Katiba ya nchi yetu kwa lengo la kuihuisha, ili hatimaye tuwe na Katiba inayoendana na taifa lenye umri wa nusu karne. Azma yetu ni kuwa tusherehekee miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tukiwa na Katiba mpya itakayotumika kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.</p>
<p>Kama mnavyofahamu nyote, katika Bunge la Aprili, 2011, Serikali iliwasilisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba (2011). Tarehe 18 Novemba, 2011 Bunge liliupitisha Mswada huo na mimi nikatia saini na kuwa Sheria tarehe 29 Novemba, 2011. Sheria hiyo sasa ndiyo inayotoa mwongozo wa namna mchakato wa kupata Katiba mpya utakavyoendeshwa.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Sheria hiyo imeainisha utaratibu wa uundwaji wa Tume ya Kukusanya Maoni ya wananchi wote na jinsi itakavyofanya kazi yake. Aidha, inaelezea namna ya kuundwa kwa Bunge Maalum la Katiba lenye uwakilishi mpana zaidi kuliko Bunge la sasa la Jamhuri ya Muungano. Kazi ya Bunge hilo itakuwa ni kupokea na kujadili Rasimu ya Katiba itakayotayarishwa na Tume ya Katiba. Baada ya Bunge kujadili Rasimu hiyo na kufanya uamuzi wake, Rasimu ya Katiba itapelekwa kwa wananchi kwa uamuzi wa mwisho kwa njia ya kura ya maoni. Sheria, pia, inaelekeza namna kura ya maoni ya wananchi itakavyoendeshwa na hatimaye kupata Katiba mpya.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Sote tunafahamu maoni mbalimbali na mjadala mkali uliokuwepo baada ya mimi kueleza dhamira yangu ya kuanzisha mchakato wa kufanya mabadiliko ya Katiba yetu wakati Muswada ulipokuwa Bungeni na hata baada ya kupitishwa na kusainiwa kuwa Sheria. Kwa kutambua wajibu wa kusikiliza maoni ya wadau, sikusita kukubali maombi ya kukutana na viongozi wa CHADEMA, CUF na NCCR na Shirikisho la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali. Tulikuwa na mazungumzo mazuri na viongozi wa CHADEMA, CUF na tulielewana juu ya namna ya kushughulikia hatua zinazofuata katika mchakato huu. Nitakutana na viongozi wa NCCR mapema mwezi Januari, 2012.</p>
<p>Napenda kuwahakikishia Watanzania wenzangu wote kuwa niko tayari kukutana na kuzungumza na wadau wowote na kupokea mawazo mema ya kuboresha mchakato wetu huu muhimu. Dhamira yangu na ya wenzangu Serikalini ni kuhakikisha kuwa tunakuwa na mchakato mzuri ili hatimaye tupate Katiba iliyo nzuri; Katiba ambayo italilea taifa letu kwa miaka 50 ijayo likiwa na amani, utulivu, demokrasia na maendeleo makubwa zaidi.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Ni matarajio yangu kuwa ndani ya robo ya kwanza ya mwaka ujao uundaji wa Tume ya Katiba utakuwa umekamilika. Katika robo ya pili au ya tatu ya mwaka 2012, Tume hiyo itaanza kazi yake ya kukusanya maoni. Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba Watanzania wenzangu wote mjiandae kushiriki kwa ukamilifu kutoa maoni yenu kwenye Tume ya Katiba. Aidha, niwaombe, ndugu zangu, tujiepushe na vitendo vya kuzuia watu kutoa maoni yao kwa uhuru hasa wale wenye maoni tofauti na yetu. Kutoa maoni katika Tume hiyo ni haki ya kila mwananchi.</p>
<p>Iwe ni mwiko kwa mtu yoyote au kikundi chochote kumzuia mtu au watu wowote kutumia haki yao hiyo. Iwe ni mwiko pia kwa mtu, watu au taasisi yoyote kujaribu kuhodhi mijadala hiyo. Ni vyema tukajua kuwa tunatengeneza Katiba ya watu wote na kwa maslahi yetu sote. Hatutengenezi Katiba ya watu fulani wateule au kikundi fulani cha kisiasa au kijamii kwa maslahi yao. Tuwaache watu watoe maoni yao kwa uhuru ili tupate Katiba ya watu wote.</p>
<p><strong>Hali ya Usalama Nchini<br />
</strong><br />
<strong>Uharamia Baharini<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Hali ya usalama wa nchi yetu katika mwaka 2011 ilikuwa ya kuridhisha na Tanzania iliendelea kuwa nchi yenye amani na utulivu. Kwa jumla, mipaka yetu yote ilikuwa salama isipokuwa ule wa majini kwa upande wa Bahari Kuu ya Hindi ambako kumekuwepo na matukio ya uharamia. Katika mwaka huu tunaoumaliza leo, kumekuwepo na majaribio tisa ya kuteka meli ndani ya mipaka yetu katika Bahari Kuu hiyo. Bahati nzuri hakuna hata moja lililofanikiwa kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi letu la Wanamaji. Maharamia saba wamekamatwa na kufikishwa Mahakamani ambako kesi zao zinaendelea.</p>
<p>Napenda kutumia nafasi hii kutoa pongezi maalum kwa Jeshi letu la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kazi nzuri waliyoifanya na wanayoendelea kuifanya ya kupambana na maharamia katika Bahari Kuu ya Hindi. Kutokana na juhudi zao hizo matukio ya kujaribu utekaji meli yamepungua mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo kulikuwa na matukio 30.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Natambua kuwepo kwa mahitaji kadhaa kwa Jeshi letu na wanajeshi wetu ili kuimarisha ulinzi katika mipaka yetu ya majini katika Bahari Kuu ya Hindi na katika maziwa yetu makuu ya Nyasa, Tanganyika na Victoria. Tumekwishaanza kuchukua hatua muafaka kwa ajili hiyo na tutaendelea nazo kwa kasi zaidi katika mwaka 2012 na kuendelea.</p>
<p><strong>Uhalifu<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Juhudi za kupambana na kudhibiti uhalifu nchini ziliendelea na mafanikio yameendelea kupatikana. Taarifa za Jeshi la Polisi za kati ya Januari na Novemba, 2011 zinaonesha kuwa matukio ya makosa makubwa ya jinai yamepungua ukilinganisha na hali ilivyokuwa kipindi kama hicho mwaka 2010. Makosa hayo yamepungua kutoka 86,150 hadi 69,678 na punguzo kubwa zaidi limetokana na kupungua sana kwa makosa ya wizi, pamoja na yale ya kubaka, kunajisi, kutupa watoto, unyang&#8217;anyi wa kutumia silaha, kuchoma nyumba, na dawa za kulevya.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Mafanikio haya ya kutia moyo ni uthibitisho wa kazi nzuri inayofanywa na Jeshi la Polisi wakishirikiana na wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama. Tutaendeleza juhudi za kuliwezesha Jeshi hilo kwa zana, vifaa, mafunzo, maslahi na mazingira ya kazi na ya kuishi katika mwaka 2012 na miaka ijayo ili ufanisi mkubwa zaidi upatikane katika kupambana na uhalifu nchini.</p>
<p><strong>Ajali za Barabarani</p>
<p></strong>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kwa upande wa ajali za barabarani, matukio yamepungua kutoka 22,440 mwaka 2010 hadi 22,000 mwaka 2011. Hata hivyo, ajali zilizosababisha watu kupoteza maisha ziliongezeka mwaka huu kuliko mwaka wa jana. Mwaka jana ajali hizo zilikuwa 2,833 ukilinganisha na 3,012 mwaka 2011 na watu waliopoteza maisha walikuwa 3,332 ukilinganisha na 3,707 mwaka 2011.</p>
<p>Ongezeko la ajali barabarani linasababishwa na ongezeko kubwa la vyombo vya usafiri hasa magari na pikipiki. Katika miaka sita iliyopita, magari 514,136 na pikipiki 1,206,679 zimeinginzwa nchini. Sababu nyingine ni madereva kutokuwa makini katika uendeshaji ama kwa sababu ya ujuzi mdogo au uzembe na ulevi. Mimi naamini kuwa tatizo hili litapungua sana kama madereva wataacha uzembe, ulevi na kuheshimu sheria za usalama barabarani.</p>
<p>Aidha, nirudie kuwataka ndugu zetu wa Polisi wanaosimamia sheria ya usalama barabarani, kuhakikisha kuwa sheria hiyo inatekelezwa ipasavyo na wale wote wanaotumia barabara, yaani vyombo vya usafiri na watu.<br />
Ajali ya Mabomu, Meli na Mafuriko</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika mwaka 2011 licha ya ajali barabarani, kulitokea ajali ya kulipuka mabomu katika kambi ya Jeshi Gongolamboto, ajali ya kuzama kwa meli ya Spice Islander huko Zanzibar na mafuriko katika jiji la Dar es Salaam. Matukio hayo yamesababisha ndugu zetu wengi kupoteza maisha, wengine kujeruhiwa na mali nyingi kupotea.</p>
<p><strong>Milipuko ya Mabomu<br />
</strong><br />
Katika ajali ya Gongolamboto watu 25 walifariki dunia na 512 walijeruhiwa na nyumba 1,791 ziliharibiwa kwa viwango mbalimbali. Nimearifiwa kuwa shilingi 817,740,849 zimelipwa kwa ajili ya kugharamia ukarabati wa nyumba zao zilizoharibiwa. Bahati mbaya kwa wale ambao nyumba zao ziliharibiwa sana na kulazimika kujengwa upya kazi hiyo imechelewa sana kuanza kwa sababu za urasimu wa kupata viwanja.</p>
<p>Nimemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ahakikishe kuwa wahusika katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Manispaa ya Ilala wanaacha urasimu na kuharakisha upatikanaji wa viwanja ili kazi ya ujenzi ianze. Aidha, nimewaomba viongozi wa Wizara ya Ulinzi, JWTZ na hasa JKT kuhakikisha kuwa kazi ya ujenzi itakapoanza inakamilika mapema iwezekanavyo.</p>
<p><strong>MV Spice Islander</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kwa upande wa ajali ya MV Spice Islander iliyotokea Septemba 10, 2011 ndugu zetu 619 waliokolewa na maiti 203 zilipatikana. Mali iliyokuwa ndani ya meli hiyo haikuweza kuokolewa hivyo haikuweza kujulikana kama wapo watu wengine waliokuwa wamezama na meli hiyo.</p>
<p>Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein aliunda Tume ya Uchunguzi wa ajali hiyo. Tume hiyo imekamilisha kazi yake na kuwasilisha ripoti yake Serikalini. Hivi sasa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaitafakari taarifa hiyo kwa lengo la kuchukua hatua muafaka. Subira yavuta heri.</p>
<p><strong>Mafuriko ya Dar es Salaam<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kutokana na mvua kubwa zilizonyesha kuanzia usiku wa kuamkia tarehe 20 mpaka tarehe 23 Desemba, 2011, Bonde la Mto Msimbazi na maeneo ya jiji yalikumbwa na mafuriko makubwa ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya jiji la Dar es Salaam. Kutokana na mafuriko hayo ndugu zetu 40 wamepoteza maisha na nyumba na mali nyingi zimeharibiwa. Pia, watu wapatao 5,029 wamekosa makazi na kupatiwa hifadhi na jamaa zao au katika maeneo yaliyotengwa na Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam. Aidha, Serikali imekuwa ikiwahudumia waathirika hao kwa malazi, chakula na huduma ya afya. Vile vile, watu na mashirika mbalimbali yamekuwa yanatoa misaada ya kibinadamu kuwasaidia ndugu zetu hao.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tarehe 21 Desemba, 2011, niliwatembelea baadhi ya waathirika na kuona athari za mafuriko katika jiji la Dar es Salaam. Pia nilipata nafasi ya kupokea taarifa ya maafa hayo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa. Nilielezwa shughuli za uokoaji, huduma zinazotolewa kwa walioathirika katika makazi ya muda na mipango ya baadaye kuhusu watu walioathirika na ujenzi wa makazi katika Bonde la mto Msimbazi na mabonde mengine katika jiji la Dar es Salaam.</p>
<p>Niliwapa pole waathirika na kuwapongeza viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam walivyoongoza juhudi za kuokoa maisha ya ndugu zetu waliokumbwa na janga hili na jinsi wanavyowahudumia. Niliafiki uamuzi wa Mkoa kwamba ndugu zetu waliojenga na kuishi katika Bonde la Mto Msimbazi wahame. Aidha, nilikubaliana na uamuzi wao kuwa wale wote waliojenga katika njia za asili za kupita maji na kuyalazimisha maji kutafuta njia nyingine na kusababisha madhara pasipostahili nao pia wabomoe. Maji yaachwe yapite kwenye njia zake za kawaida ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Ni matumaini yangu kuwa ndugu zetu wa Jangwani na kwingineko hawatakaidi tena amri halali ya mkoa kama walivyofanya miaka ya nyuma. Baada ya mafuriko ya mwaka 1998, ambapo baadhi ya watu waliokolewa kwa helikopta kama safari hii, watu waliamriwa kuhama na kugawiwa viwanja vya kujenga makazi mbadala. Lakini, walikaidi amri na kudiriki kwenda Mahakamani kuzuia utekelezaji wa amri hiyo. Bahati nzuri walishindwa.</p>
<p>Wahenga wamesema &#8220;asiyesikia la mkuu huvunjika guu&#8221;. Mafuriko yametokea tena mwaka huu, tena mabaya zaidi. Safari hii helikopta hazikutosha bali boti na vijana hodari wa kuogelea walitumika kuokoa maisha ya watu. Pamoja na juhudi hizo safari hii ndugu zetu 40 wamepoteza maisha na mali nyingi zaidi zimepotea na kuharibiwa.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Nimewataka viongozi wa Serikali na Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam washikilie msimamo wao huo huo. Watu watakaokaidi wasiachwe kuendelea kuishi mabondeni. Tukikubali wabaki, sote, yaani watu wenyewe na Serikali, hatutaeleweka. Tena tutachekwa na kulaumiwa vibaya siku za usoni mafuriko mengine yatakapotokea na watu kukutwa katika hali kama hii na Serikali kujikuta inarudia tena kufanya kazi ya kuokoa watu.</p>
<p>Bahati nzuri maeneo ya kuhamia yametambuliwa na viwanja vimeshaanza kugawiwa. Kila mwenye nyumba atapewa na naomba hata wapangaji wapewe iwapo viwanja vitasalia. Hivyo, narudia kuwataka ndugu zetu kuhama kwa hiari yao na wale watakaokaidi wahamishwe bila ya ajizi kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.</p>
<p><strong>Uchumi na Maendeleo</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kwa upande wa uchumi, mwaka 2011 ulikuwa na changamoto nyingi. Kulikuwa na mchanganyiko wa ukame, uhaba mkubwa wa umeme, upungufu wa chakula kwenye baadhi ya maeneo nchini, kupanda kwa bei za mafuta na vyakula, kushuka kwa thamani ya shilingi, mfumuko wa bei kupanda na sasa mvua nyingi na athari zake. Pamoja na changamoto hizo tunatarajia uchumi wetu utakua kwa asilimia 7 ingawaje wenzetu wa IMF wanakadiria kuwa utakua kwa asilimia 6.3. Hata kwa kiwango hicho bado nchi yetu inabakia kuwa miongoni mwa nchi 20 duniani zinazoongoza kwa ukuaji wa uchumi. Ni dhahiri basi kuwa kama athari hizo zisingekuwepo hali ya uchumi wetu ingekuwa bora zaidi.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tulianza mwaka 2011 kukiwa na ukame mkali uliokumba maeneo mengi nchini. Mtakumbuka kuwa katika hotuba yangu ya kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka 2011 nililizungumzia suala la uhaba wa mvua na ukame na kutaka tuombe mvua za masika ziwe nzuri. Mvua hazikuwa nyingi na mtawanyiko wake haukuwa mzuri. Maeneo mengi mvua zilikuwa chini ya wastani. Kwa sababu hiyo watu 423,530 katika Halmashauri 36 za mikoa 13 walikumbwa na upungufu wa chakula na kuilazimisha Serikali kutoa msaada wa chakula.</p>
<p>Aidha, kwa sababu ya upungufu huo, bei za vyakula zilipanda sana hasa mijini. Ili kukabiliana na hali hiyo niliagiza Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula kuanza utaratibu wa kuuza mahindi kwa wafanyabiashara wa mijini ili kusaidia kupunguza bei ya chakula. Agizo langu hilo sasa ni sehemu ya sera ya Taasisi hiyo itakayotekelezwa kila mwaka wakati chakula kutoka mashambani kitakapopungua katika masoko ya mijini.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Ukame huo pia ukasababisha kupungua sana kwa maji katika mabwawa ya kuzalisha umeme na hivyo kuliingiza taifa katika tatizo kubwa la upungufu wa umeme. Ili kukabiliana na tatizo hilo TANESCO imelazimika kuingia mikataba na makampuni ya kuzalisha umeme kwa malipo. Kwa vile gesi inayozalishwa hivi sasa kwa ajili ya kuendeshea mitambo ya kufulia umeme iliyopo Ubungo haitoshelezi mahitaji ya taifa, makampuni hayo yamelazimika kutumia mitambo inayotumia mafuta.</p>
<p>Mitambo hiyo imepatikana na tayari inazalisha umeme. Ndiyo maana mgao sasa haupo. Lakini, kwa sababu ya kutumia mafuta, umeme huu ni ghali na umekuwa mzigo mkubwa wa gharama kwa TANESCO. Kutokana na sababu hizo, TANESCO wamepeleka maombi EWURA ya kutaka kuongeza bei ya umeme.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba tunaumaliza mwaka huu na kuuanza mwaka 2012 kukiwa na mvua nzuri karibu nchi nzima. Dua zetu mwaka huu ni kuomba mvua za kiasi kwani sehemu nyingine mvua zimezidi kipimo. Zimesababisha mafuriko, vifo vya watu, mali pamoja na miundombinu ya babara kuharibika. Katika baadhi ya maeneo mazao mashambani hasa mahindi yanaathirika kwa maji kuzidi. Kwa muelekeo huu wa mvua na hasa kama mvua za masika nazo zitakuwa nzuri mwaka 2012 kutakuwa na chakula kingi nchini karibu maeneo yote.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Baada ya ukame wa mwaka 2006 na upungufu mkubwa wa umeme wa tangu wakati huo mpaka mwaka 2008, tulitoa ahadi ya kuchukua hatua za makusudi za kupunguza utegemezi mkubwa wa kupita kiasi wa umeme wa nguvu ya maji. Nilisema kuwa tutaanza juhudi za kuendeleza vyanzo vingine vya nishati hasa gesi asilia na makaa ya mawe mpaka tufikie mahali ambapo hata kama maji hayatoshi katika mabwawa ya vituo vya umeme, nchi haitakosa umeme.</p>
<p>Tumeendelea kutekeleza uamuzi ule wa busara. Mpaka sasa Serikali kupitia TANESCO imeshaongeza MW 245 za umeme unatokana na gesi asilia. Nyongeza hiyo ingeweza kuwa kubwa zaidi lakini hakuna gesi ya kutosha kutoka Songo Songo. Bahati mbaya mchakato wa kuongeza gesi umechelewa kwa karibu miaka miwili, lakini mwelekeo sasa mzuri.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Maombi yetu kwa Serikali ya China ya kupata mkopo wa kujenga bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara na mtambo wa kuchakata gesi inayotoka Songo Songo yamekubaliwa. Utekelezaji wake unatarajiwa kuchukua miezi 18 na gesi itakayoletwa inaweza kuzalisha mpaka Megawati 3,000 za umeme. Baada ya hapo kasi ya kuongeza umeme itakuwa kubwa zaidi na tatizo la upungufu wa umeme linaweza kuwa historia.</p>
<p>Bahati nzuri wawekezaji wa kuzalisha umeme kutumia gesi hiyo wapo, wanachosubiri ni gesi kufika. Wakati huo huo michakato ya kuzalisha umeme kutokana na makaa ya mawe ya Ngaka, Kiwira na Mchuchuma imeanza na ipo katika hatua mbalimbali. Pia mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu ya upepo unaendelea vizuri.</p>
<p><strong>Matatizo ya Bei ya Mafuta</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika mwaka 2011 bei ya mafuta iliendelea kuwa tatizo. Tatizo hilo lilikuwa na sura ya ndani na ya nje. Bei ya mafuta katika soko la dunia ilipanda kutoka dola za Marekani 76.1 kwa pipa mwezi Septemba, 2010 hadi dola 100.5 Septemba, 2011 na dola 99.92 jana tarehe 30 Desemba, 2011. Kwa vile mafuta yanagusa takriban nyanja zote za uchumi na maisha ya Watanzania nyongeza ya asilimia 45 ya bei za mafuta imesababisha kupanda kwa gharama ya huduma na bidhaa nyingi hivyo kuongezeka gharama ya maisha kwa watu.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Hapa kwetu makali ya ongezeko la bei ya mafuta duniani yaliongezwa na kushuka thamani ya shilingi na vitendo vya wafanyabiashara ya mafuta. Thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani ilishuka kutoka wastani wa shilingi 1,500 kwa dola ya Kimarekani mwanzoni mwa Januari, 2011 hadi shilingi 1,815 kwa dola tarehe 27 Oktoba, 2011. Serikali kupitia Benki Kuu ilichukua hatua mbalimbali zilizoweza kupunguza kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi hadi wastani wa shilingi 1,595 kwa dola hivi sasa.</p>
<p>Kwa sababu ya shilingi kupungua thamani, waagizaji wa mafuta walilazimika kutumia pesa nyingi za Kitanzania kununua dola ambazo kabla ya hapo walitumia pesa kidogo kuzipata. Hali hiyo ndiyo iliyosababisha athari za kupanda kwa bei za mafuta duniani kuwa kali zaidi hapa nchini.</p>
<p>Sambamba na hilo, mwenendo wa wafanyabiashara hasa wa kukataa kutii maamuzi ya EWURA hasa pale wanapoteremsha bei limekuwa tatizo lingine. Wafanyabiashara hawako tayari kuona watumiaji wa mafuta wakipata nafuu hata kidogo. Kila bei zinaposhuka basi watapinga. Ama wataendelea kuuza kwa bei ya zamani au watasababisha upungufu wa mafuta ili bei iendelee kuwa juu. Lakini EWURA wanapotangaza kupandisha bei, yote hayo hayaonekani.</p>
<p>Napenda kutumia nafasi hii kuwasihi wafanyabiashara ya mafuta kutoa ushirikiano kwa EWURA inapotimiza wajibu wake. Ni ukweli ulio wazi kuwa bei ya mafuta duniani hupanda na kushuka. Kukataa kushusha bei ya mafuta wakati bei ya dunia inaposhuka ni tamaa ya utajiri iliyovuka mipaka ya utu. Nawapongeza EWURA kwa msimamo wao na waendelee kuwawajibisha wanaokaidi. Msirudi nyuma.</p>
<p>Kwa nia ya kutafuta nafuu ya bei ya mafuta, tumeamua kuanzisha uagizaji wa pamoja wa mafuta. Lengo ni kupata nafuu ya bei na ya gharama ya uchukuzi na hivyo kumfanya mtumiaji wa mwisho naye apate nafuu ya bei ya mafuta. Utaratibu huo utaanza rasmi mwezi Januari, 2012. Tungoje tuone utakavyopokelewa na wafanyabiashara. Naamini utasaidia, labda kama utahujumiwa. Naagiza Wizara na Mamlaka husika kuhakikisha kuwa mpango huu unafanikiwa kama tunavyotarajia.</p>
<p><strong>Kilimo</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kwa upande wa kilimo katika mwaka 2011 juhudi za kuleta mageuzi katika kilimo chetu zinazolenga kuwanufaisha wakulima wadogo zimeendelea kutekelezwa. Ruzuku ya pembejeo iliendelea kutolewa, maafisa ugani waliongezwa vijijini na uboreshaji wa masoko na miundombinu vijijini uliendelea. Juhudi hizo zimeleta matokeo mazuri kwa uzalishaji wa mazao kuongezeka. Bahati mbaya katika mikoa ya Rukwa, Mbeya, Ruvuma na Iringa kumekuwa na usumbufu mkubwa wa ununuzi wa mahindi ya wakulima katika msimu huu.</p>
<p>Kiini cha tatizo ni taratibu za kupata fedha za kununulia mahindi kutokamilika mapema. Nimewaagiza viongozi wa NFRA, Wizara ya Fedha na Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kuhakikisha kuwa wakulima ambao mazao yao yako mikononi mwa NFRA wanalipwa mara moja na usumbufu uliokuwepo safari hii haujirudii tena mwakani na miaka ijayo. Lazima taratibu za kupata fedha za kununulia mazao ya wakulima zianze na kukamilika mapema kabla ya msimu wa ununuzi kuanza. Aidha, nimewataka wahakikishe kuwa ucheleweshaji wa upatikanaji wa vocha za pembejeo haujitokezi tena mwakani na miaka ijayo. Kwa sasa njia zitafutwe za kuhakikisha kuwa wakulima hawakosi pembejeo kwa sababu ya vocha kuchelewa.</p>
<p>Ndugu Wanananchi;</p>
<p>Vile vile, nimeelekeza kuwa mwakani uwekwe mfumo mzuri utakaowawezesha wafanyabiashara binafsi kushiriki mapema katika ununuzi wa mazao ya wakulima. Pamoja na kuuza sehemu ya mahindi ya NFRA mijini ili kushusha bei hasa katika kipindi cha upungufu wa mahindi mikononi mwa wakulima, NFRA itafute namna bora ya kuuza mazao yaliyopo katika maghala yake mapema kabla ya msimu mpya wa ununuzi haujaanza. Kufanya hivyo kutatoa nafasi katika maghala ili kutoa nafasi ya kuhifadhi bidhaa za msimu mpya.</p>
<p><strong>Uwekezaji</strong></p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika mwaka huu tunaoumaliza leo tulitoa kipaumbele cha juu katika kukuza uwekezaji nchini na tunakusudia kuendelea kufanya hivyo mwaka ujao. Tumekuwa tunatangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini na kuwashawishi wawekezaji wa ndani na nje kujitokeza kuja kuwekeza. Pia tumekuwa tunachukua hatua za kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuifanya Tanzania kuwa nchi nzuri ya kuwekeza na kufanya biashara.</p>
<p>Tumeainisha maeneo ya kipaumbele katika uwekezaji ambayo baadhi yake ni viwanda, kilimo, madini, utalii, biashara, nishati, uchukuzi na teknohama. Lengo letu kuu la kuhimiza uwekezaji nchini ni kutaka kuongeza uwezo na kasi ya kukuza uchumi na kupunguza umaskini kwa kuongeza uzalishaji mali, kuboresha huduma na kukuza ajira.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Mara kadhaa unawasikia watu hapa nchini na kwingineko duniani wakiuliza kwa nini nchi za Afrika, Tanzania ikiwemo ni maskini wakati rasilimali zimejaa tele. Moja ya sababu kubwa ni kutokuwepo kwa uwekezaji wa kutosha wa kuzigeuza rasilimali hizo kuwa bidhaa na huduma za kuuza katika soko na kuwapatia mapato wamiliki wake watakayoyatumia kuboresha hali zao za maisha. . Chukua, kwa mfano, mtu mwenye msitu mkubwa na mzuri anayetaka uwe shamba la kuzalisha mazao yatakayomwezesha kupata mapato yatakayosaidia kubadili maisha yake. Haitakuwa hivyo mpaka pale atakapochukua panga na jembe akafyeka na kulima, baadae akachukua mbegu akapanda, akaweka mbolea, akapalilia, akavuna na kupeleka mazao sokoni kuuza akapata pesa, atakapozitumia kujipatia mahitaji yake ya maisha. Kufyeka, kulima, kupanda, kupalilia, kuvuna na kupeleka sokoni ndiyo uwekezaji.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Ni kutokana na kutambua ukweli huo ndiyo maana sisi katika Serikali tunahimiza na kuvutia wawekezaji ili nchi itumie fursa zilizopo nchini kujiletea maendeleo, kupunguza umaskini na kukuza ajira.</p>
<p>Inakadiriwa kuwa hapa nchini mwaka 2011, kuna watu wenye uwezo wa kufanya kazi 22,152,320 na kati ya watu hao 2,368,672 au sawa na asilimia 10.7 hawana ajira. Ili watu hao waweze kupata ajira itategemea kwa kiasi gani tunafanikiwa kukuza uwekezaji katika sekta na shughuli mbalimbali. Bila ya hivyo kupatikana kwa ajira itakuwa ndoto.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika kuwahamasisha wawekezaji, tunatambua fika umuhimu wa kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wananchi wa Tanzania. Wanahitaji upendeleo maalum na wanahitaji kuwezeshwa na tumekuwa tunafanya hivyo. Ndiyo maana kuna maeneo na shughuli zilizotengwa maalum kwa ajili ya wawekezaji wazawa pekee. Aidha, umewekwa ukomo wa kiwango cha chini cha mtaji ambacho wawekezaji wageni lazima wawe nacho ili watambuliwe kuwa wawekezaji. Tusipofanya hivyo uchumi utatawaliwa na wageni.</p>
<p>Lakini hatukuishia hapo tu, tumelitazama suala la uwezeshaji wa wazawa ili waweze nao kushiriki katika fursa zilizopo nchini mwao. Tumechukua hatua za makusudi kufufua Benki ya Rasilimali kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wawekezaji wazawa kwa shughuli za viwanda na biashara. Pia tunakamilisha mipango ya kuanzisha Benki ya Kilimo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wakulima wazawa. Benki hizo mbili hazitatoa mikopo kwa wawekezaji wageni. Aidha, tumeanzisha mpango wa dhamana kwa wauzaji nje na wenye viwanda vidogo na vya kati, yaani Export Credit Gurantee Scheme na Small and Medium Enterprises Guarantee Scheme&#8221;. Mifuko hiyo maalum inayosimamiwa na Benki Kuu ipo kwa ajili ya kuwasaidia wawekezaji wazawa. Mwaka 2011 wananchi wengi walinufaika na Export Credit Guarantee Scheme kupitia vyama vyao vya ushirika 635 vilivyopatiwa jumla ya shilingi bilioni 108.67. Aidha, makampuni mengine yalipata jumla ya shilingi bilioni 24.35. Ni makusudio yetu kuongeza fedha ili makampuni na na watu wengi wanufaike na fursa hizi.</p>
<p><strong>Uwezeshaji Wajasiriamali Wadogo<br />
</strong><br />
Ndugu wananchi;</p>
<p>Tunatambua kwamba wapo watu wanaopenda kufanya shughuli zao za kujipatia kipato. Tunatambua pia kwamba si kila mtu atapata nafasi ya kuajiriwa, lakini wapo wanaoweza kujiajiri kwa maana ya kuwa na shughuli zao za kuwapatia riziki. Hata hivyo, ili waweze kufanya hivyo wanahitaji kuwa na mtaji, yaani pesa. Si wengi wanao ndugu au jamaa wa kuwapatia pesa wanazozihitaji. Pesa za namna hiyo ziko benki ambako kuzipata kwake kuna masharti magumu, moja likiwa ni dhamana ya kitu kisichoondosheka. Wengi na hasa vijana hawana dhamana ya namna hiyo.</p>
<p>Ni kwa nia ya kuwaondoshea kikwazo hicho ili waweza kukopesheka, ndipo tulipohimiza uanzishaji wa SACCOS na kuanzisha Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi. Ndiyo maana pia kuna Mifuko ya Wanawake na Vijana. Kwenye Mfuko wa Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi, tulitenga shilingi bilioni moja kwa kila Mkoa kwa upande wa Bara na milioni 100 kwa mikoa ya Zanzibar isipokuwa Mkoa wa Mjini Magharibi uliopata shilingi milioni 200. Pesa hizo zilikopeshwa kupitia Benki za NMB na CRDB kila moja ikipewa shilingi bilioni 5.5 kwa maelewano kuwa wao watachangia mara tatu. Pia asasi ndogo za fedha 12 zilipewa jumla ya shilingi bilioni 10.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tathmini iliyofanywa na Baraza la Uwezeshaji la Taifa zinaonesha kuwa jumla ya shilingi bilioni 37.17 zilikopeshwa na benki za NMB na CRDB na jumla ya shilingi bilioni 12.06 zilikopeshwa na asasi 12 za fedha. Jumla ya wananchi 72,912 wamenufaika na mikopo hiyo. Kati yao 46,299 ni wanaume na 36,613 ni wanawake. Mikopo hiyo pia imenufaisha SACCOS 192 na vikundi vingine 86. Kati ya jumla ya shilingi bilioni 49.23 zilizotolewa kwa mikopo, shilingi bilioni 39.275 zimesharejeshwa ambazo ni sawa na asilimia 79.8 ya mikopo iliyotolewa. Kiwango cha urejeshwaji mikopo kinategemewa kuongezeka kwa vile baadhi ya mikopo iliyotolewa kupitia asasi ndogo za fedha bado haijaiva.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Tathmini iliyofanywa inaonyesha pia kwamba yapo mambo mazuri mengi na upungufu kadhaa. Upungufu uliojitokeza ni pamoja na baadhi ya SACCOS kutoza riba kubwa kuliko kiwango cha juu kilichowekwa na serikali cha asilimia 12. Lingine ni kuwa japokuwa vijana ndiyo wanaohitaji uwezeshaji wa kujiajiri lakini ni asilimia 32.5 tu ya vijana waliokopeshwa. Aidha, wanawake walikuwa ni asilimia 38.4 tu ya waliokopeshwa.</p>
<p>Baadhi ya mazuri yaliyojitokeza ni pamoja na: ongezeko la ajira la asilimia 3.8; kuongezeka kwa watu wenye akaunti benki kwani asilimia 33 ya waliokopeshwa walifungua akaunti kwa mara ya kwanza. Lingine muhimu ni kupanda hadhi kwa baadhi ya SACCOS, vikundi na watu binafsi kulikowafanya waweze kupata sifa na nafasi ya kukopeshwa na mabenki. Urejeshwaji wa mikopo kwa takribani asilimia 80 ni wa kuridhisha japo ingekuwa bora kiasi chote au hata zaidi ya hapo kitarejeshwa. Hivyo basi juhudi ziendelee kufanyika katika kurejesha mikopo iliyosalia.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Kwa ujumla tathmini iliyofanyika inaonesha kuwa mpango huu ni wenye manufaa na kwamba yafaa tuendelee nao. Pia kwamba tuuongezee uwezo ili wananchi wengi zaidi wafaidike nao. Serikali inayaafiki mapendekezo hayo na inayafanyia kazi. Ni makusudio yetu kuwa katika bajeti ijayo tutatenga fedha zaidi katika Mfuko huu. Tutaendelea kutumia mpango wa dhamana kwa mabenki ili kuongeza fedha za uwezeshaji. Aidha, tutauboresha mfuko huu na mingineyo yote ya uwezeshaji kiutendaji na kifedha ili watu wetu wengi waweze kunufaika nayo. Tutatengeneza mfumo maalum utakaowawezesha vijana wengi zaidi kunufaika.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Naelewa kuwa upo utaratibu unaozitaka Halmashauri za Wilaya na Miji kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake na vijana. Utekelezaji wa utaratibu huu umekuwa ukisuasua. Napenda kutumia nafasi hii kuzikumbusha Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa zinatekeleza agizo hilo bila kukosa. Wakuu wa Wilaya wafuatilie utekelezaji wa agizo hili na watoe taarifa kwa Wakuu wa Mikoa kila miezi minne ambao nao watatoa taarifa kwa Waziri Mkuu.</p>
<p><strong>Malimbikizo ya Madai ya Watumishi Serikalini<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika mwaka 2011 kero ya malimbikizo ya madai ya stahili mbalimbali za watumishi wa umma wakiwemo walimu imejirudia tena. Tatizo hili nililikuta wakati naanza kazi hii na tukafanya jitihada kubwa na kulipa madeni yote. Baada ya kubaini kuwa limekuwa linajirudiarudia kila baada ya kipindi kifupi, nilitoa maelekezo kwa Halmashauri za Wilaya na Miji na Wizara za Serikali kuhakikisha kuwa tatizo hilo linakoma.</p>
<p>Kuhusu uhamisho nilielekeza kwamba kama Halmashauri au taasisi yoyote ya Serikali haina pesa za uhamisho, isiwahamishe watumishi wake. Niliagiza kuwa mtindo wa kuhamisha watumishi bila ya kuwa na fedha za uhamisho ukomeshwe mara moja. Nilitaka kiongozi au mhusika yeyote atakayekiuka agizo hili alipishwe yeye gharama za kumhamisha mtumishi huyo. Kuhusu madai ya likizo nilielekeza kutengwe fedha za kutosha za likizo kwani mapumziko ni haki na muhimu kwa wafanyakazi. Hata hivyo kama fedha hakuna si busara kulimbikiza madeni. Uzuri wa likizo ni kuwa hazipotei. Wakati wa kustaafu siku za likizo ambazo mtumishi hakuchukua hulipwa.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Nilisema pia kwamba suala la kuwapandisha watumishi vyeo bila kuwarekebishia mishahara yao kwa wakati ni upungufu wa kiutendaji ambao ni lazima ukomeshwe mara moja. Kupandishwa watumishi vyeo ni mpango unaoeleweka na siyo jambo la dharura wala ajali. Kwa mujibu wa utaratibu wa Serikali, mtumishi hupandishwa cheo kwa misingi miwili. Kwanza, kutimiza masharti ya muundo wake wa utumishi, na pili, kuwepo kwa fedha kwenye bajeti ya Wizara au Idara husika kwa madhumuni hayo. Hivyo iweje leo mtu apandishwe madaraja bila kulipwa mshahara stahiki? Hili halieleweki na wala halikubaliki.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Niliagiza viongozi wa Wizara zote na Halmashauri kuhakikisha kuwa watumishi wote wanapandishwa vyeo wakati wao ukiwadia na wanalipwa stahili zao kwa wakati. Hali kadhalika, madeni ya malimbikizo ya mafunzo hayawezi kuwepo kama utaratibu wa serikali wa mafunzo ungefuatwa. Chini ya utaratibu huo mambo matatu hupaswa kuzingatiwa. Kwanza, mpango wa mafunzo wa Wizara, Idara au Taasisi. Pili, watumishi wanaohitaji mafunzo kuingizwa kwenye mpango wa mafunzo wa taasisi husika. Tatu, kutenga fedha za kugharamia mafunzo hayo. Kama fedha haikutengwa, mtumishi hawezi kwenda kusoma. Mtumishi anayejiendeleza nje ya mpango huo atafanya hivyo kwa gharama zake mwenyewe.</p>
<p>Sasa madeni hayo ya mafunzo yanatoka wapi? Kama wako watendaji wanaowaruhusu watumishi walio chini yao kwenda kusoma bila kutengewa fedha kwenye bajeti wawajibishwe ipasavyo.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Baada ya hotuba yangu ya Februari, 2009 na Serikali kulipa takriban shilingi bilioni 64 kwa madai ya walimu mwaka huo, bado Serikali ililipa tena shilingi bilioni 29.8 kati ya Julai 2010 na Oktoba 2011. Hivi sasa nimeambiwa tena kuna madai mapya yaliyofikia shilingi bilioni 52.7. Sina tatizo na madai yanayostahili kulipwa na najua kwamba shilingi bilioni 22.5 zimetolewa na kati ya hizo shilingi bilioni 19.2 zimekwishapelekwa kwenye Halmashauri husika na shilingi bilioni 3.3 ni kwa ajili ya waajiriwa wa Wizara. Zilizobakia zitalipwa kwenye mishahara yao.</p>
<p>Bado ningependa kujua imekuwaje tena kuwe na malimbikizo makubwa kiasi hiki. Mambo haya tulikwishaelewana kuhusu namna ya kuepuka malimbikizo. Kulikoni? Je lini tabia hii ya kulimbikiza madeni itakoma? Nataka majibu toka kwa wahusika.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Hivi karibuni tumelijadili suala la ajira na huduma kwa walimu. Tumegundua kuwa zipo mamlaka kadhaa zinazohusika na ajira na masuala ya walimu na kwamba huenda inachangia kasoro hizi zinazojitokeza. Tumeelewana kuhusu kulitafutia ufumbuzi wa kudum wa suala hilo mapema iwezekanavyo. Labda itasaidia. Naamini baada ya muda si mrefu tutakuwa tumepata jawabu litakaloturidhisha sote. Serikali na walimu ili tuondokane na misuguano isiyokuwa ya lazima.</p>
<p><strong>Mahusiano ya Kimataifa<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika medani ya Kimataifa mwaka 2011, Serikali iliendelea kutetea na kuendeleza maslahi ya Tanzania nje ya nchi. Mahusiano yetu na mataifa na mashirika ya kikanda na kimataifa yamezidi kuimarika. Ahadi yetu katika mwaka 2012 ni kuendeleza juhudi hizo maradufu kwani nchi yetu inanufaika sana kwa ajili hiyo.</p>
<p>Washirika wetu wa maendeleo wameendelea kutuunga mkono, kututia moyo na kutusaidia katika juhudi zetu za kujiletea maendeleo. Tunawashukuru sana kwa ushirikiano mzuri na misaada yao na tunawaahidi kuitumia vizuri misaada hiyo.</p>
<p>Sensa</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Katika kumalizia hotuba yangu nataka kuzungumzia mambo mawili. Jambo la kwanza ni Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Jumapili ya tarehe 26 Agosti, 2012. Hapa nchini tumekuwa na utaratibu wa kufanya sensa kila baada ya miaka 10, na mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2002.</p>
<p>Kufanya Sensa ya Watu na Makazi ni jambo lenye umuhimu wa kipekee kwa taifa. Takwimu na taarifa zitakazokusanywa husaidia taifa katika kupanga mikakati na mipango yake ya maendeleo. Aidha, husaidia Serikali kupima mafanikio ya programu zake mbalimbali za Maendeleo. Husaidia pia kujipanga vizuri katika kufanya mambo yake.</p>
<p>Ndugu Wananchi;</p>
<p>Maandalizi ya kufanyika kwa sensa hiyo yanaendelea vizuri. Maelekezo yanatolewa na yataendelea kutolewa kuhusu namna itakavyofanyika na wajibu wa kila mmoja wetu. Ninawaomba Watanzania wenzangu msikilize maelezo na maelekezo hayo. Pia naomba nyote muhifadhi na kuikumbuka tarehe hiyo ili siku hiyo mtu asikose kuhesabiwa. Mwisho, naomba kila mmoja wetu awepo kuhesabiwa siku hiyo.</p>
<p><strong>Vitambulisho vya UTaifa</p>
<p></strong>Ndugu Wananchi,</p>
<p>Jambo la pili ni vitambulisho vya uraia. Hatimaye azma ya tangu Uhuru ya kila mwananchi kuwa na kitambulisho cha uraia tumeweza kuanza kuitimiza. Mwezi Desemba mwaka 2011, mchakato wa utoaji wa vitambulisho vya uraia umeanza. Mchakato huu ambao ni wa miaka mitatu umegawanyika katika awamu nne kila moja ikihusisha makundi mbalimbali.</p>
<p>Awamu ya kwanza imeanza na watumishi wa Dar-es-Salaam na Zanzibar na vitambulisho vyao vitatolewa wakati wa sherehe za Muungano mwezi Aprili 2012. Baada ya hapo zitafuta awamu nyingine. Nawasihi wananchi wenzangu mjiandae kwa kutayarisha nyaraka muhimu zitakazohitajika kwa ajili ya kufanikisha zoezi hilo. Aidha, naomba kutoa tahadhari kwamba watumishi watakaohusika na zoezi hili wawe waadilifu. Sitapenda kuona au kusikia vitambulisho vinatolewa kwa watu ambao hawastahili kuvipata. Ni wajibu wao kujiridhisha na nyaraka zinazowasilishwa na wananchi na kama watakuwa na mashaka ni vyema kuwasiliana na taasisi husika kwa uthibitisho zaidi.<br />
<strong><br />
Hitimisho<br />
</strong><br />
Ndugu Wananchi; Watanzania Wenzangu;</p>
<p>Wakati tunapojiandaa kuanza mwaka mpya hapo kesho, napenda kuwahakikishia kuwa mimi na wenzangu Serikalini tumedhamiria kwa dhati kuwatumikia kwa moyo wetu wote na kwa nguvu zetu zote. Tutajitahidi kwa kadri ya uwezo wetu na vipaji alivyotujaalia Mwenyezi Mungu kushirikiana nanyi katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa changamoto zinazolikabili taifa letu na watu wake. Naamini kwa pamoja na ushirikiano tutaweza, kila mtu atimize wajibu wake.</p>
<p>Baada ya kusema hayo, nawatakieni nyote heri na fanaka tele katika mwaka mpya 2012. Sote tusherehekee kwa amani na utulivu.</p>
<p>Mungu Ibariki Afrika;</p>
<p>Mungu Ibariki Tanzania.</p>
<p>Asanteni kwa kunisikiliza.</span></p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;t=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;notes=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;Title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-12967'), event, 'post-12967')" onMouseOver="more(this,'post-12967')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-12967')" id="sociable-post-12967" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;t=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;bodytext=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;annotation=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;t=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;title=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;selection=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2012%2F01%2F02%2Fin-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete%2F&amp;t=IN%20CASE%20YOU%20MISSED%20IT%3A%20HOTUBA%20YA%20SALAMU%20ZA%20MWAKA%20MPYA%20YA%20RAIS%20JAKAYA%20MRISHO%20KIKWETE&amp;s=%0D%0A%0D%0ATAREHE%2031%20DESEMBA%2C%202011%0D%0A%0D%0ANdugu%20Wananchi%3B%0D%0A%0D%0ALeo%20tunauaga%20mwaka%202011%20na%20kuukaribisha%20mwaka%202012.%20Naungana%20nanyi%20Watanzania%20wenzangu%20kumshukuru%20Mwenyezi%20Mungu%20kwa%20kutujaalia%20uhai%20na%20bahati%20ya%20kuiona%20siku%20ya%20leo.%20Wapo%20ndugu%2C%20jamaa%20na%20marafiki%20zetu"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-12967',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-12967',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="IN CASE YOU MISSED IT: HOTUBA YA SALAMU ZA MWAKA MPYA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE - http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2012/01/02/in-case-you-missed-it-hotuba-ya-salamu-za-mwaka-mpya-ya-rais-jakaya-mrisho-kikwete/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>TUNAPOMKUMBUKA MWALIMU NYERERE:EULOGY FROM EX-PRESIDENT BENJAMIN W.MKAPA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 14 Oct 2011 11:09:57 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/</guid>
		<description><![CDATA[Leo watanzania wote na wote wanaotupenda na kututakia kheri tunaungana katika kumkumbuka Baba wa Taifa letu,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye alifariki tarehe kama ya leo,14th October 1999 kule nchini Uingereza. Rais mstaafu,Benjamin Mkapa,ambaye ndiye alikuwa madarakani wakati wa msiba wa Mwalimu Nyerere,ameamua kuiweka upya risala aliyoisoma wakati wa mazishi ya kitaifa ya Mwalimu Nyerere.Tunaiweka [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-12402 aligncenter" title="Nyerere and Mkapa" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/10/Nyerere-and-Mkapa.jpg" alt="" width="499" height="422" /></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><em>Leo watanzania wote na wote wanaotupenda na kututakia kheri tunaungana katika kumkumbuka Baba wa Taifa letu,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye alifariki tarehe kama ya leo,14<sup>th</sup> October 1999 kule nchini Uingereza.<br />
</em></span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><em>Rais mstaafu,Benjamin Mkapa,ambaye ndiye alikuwa madarakani wakati wa msiba wa Mwalimu Nyerere,ameamua kuiweka upya risala aliyoisoma wakati wa mazishi ya kitaifa ya Mwalimu Nyerere.Tunaiweka hapa chini kwa ajili yako msomaji wetu.Isome na iwe chachu ya kutafakari.Je,tunamuenzi vipi Mwalimu Nyerere?Tunatenda au tunaishia katika maneno ya kwenye majukwaa ya siasa katika japo kujaribu kusimamia au kutekeleza yale aliyoyasimamia?Hii tuliyonayo hivi leo,ndio Tanzania aliyoiota Hayati Mwalimu Nyerere?Bila shaka,jibu ni hapana.Tumeteleza na kuanguka.Basi tunapotaka kuamka,kujipangusa na kuendelea na safari yetu,tufanye nini?Ni misingi ipi ambayo hatuna budi kuirudia?Je ni katika tamaduni zetu,katika siasa zetu,elimu,utawala au nini?Tusiishie kulalama na kujiona watu tulioshindwa.Tuna uwezo wa kumuenzi kwa vitendo.Tusione aibu ya kukiri makosa yetu.Ulimwengu umetuchanganya.Tuamke sasa.Miaka mingine ya Uhuru isije pita tukizidi kuporomoka kama taifa.Twendeni tukaifanye kazi.<br />
</em></span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><em>Hii hapa chini ni kutoka kwa Rais mstaafu Benjamin William Mkapa;<br />
</em></span></p>
<p style="text-align: center;">
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Tribute to Nyerere<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><em>By Benjamin William Mkapa,<br />
</em></span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">As Managing Editor of then ruling Party and Government Newspapers, I used to post a column regularly, entitled: What they say about US. In this I reproduce features or news analysis, both favourable and critical of Tanzania, written by journalists from all sort of local and International newspapers.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">This year we celebrate fifty years of the independence of mainland Tanzania. And to-day we commemorate the passing on of its Founding Father, Mwalimu Julius K. Nyerere. Having worked with him I have been reflecting on what I could say about him. I have decided that the best tribute I can pay to his life and work is to recall the Eulogy I made on the occasion of the State Funeral at the National Stadium in Dar Es Salaam on 21<sup>st</sup> October 1999. Here it is.<br />
</span></p>
<p style="text-align: center;">
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">State Funeral for Mwalimu Julius Kambarage Nyerere<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><em>One of the legacies of President Mkapa is his handling of the illness, death and subsequent funeral of the Founding President of Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. On Mwalimu&#8217;s State Funeral on Thursday, 21<sup>st</sup> October 1999 at the National Stadium in Dar es Salaam, President Mkapa delivered the following eulogy.<br />
</em></span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">This is the saddest day in the history of our country.  It marks a life ceased and a service ended.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> But, let me first thank the doctors, nurses and staff that day and night struggled to save the life of our beloved Founding Father of the United Republic of Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">I thank everyone who stood by us, and helped us, and all those that sent messages of support and encouragement during Mwalimu&#8217;s illness, and condolences on his demise.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I thank British Prime Minister Tony Blair and Her Majesty&#8217;s Government for being so helpful and supportive throughout the illness and death of Mwalimu Nyerere.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">I thank most sincerely all of you, the leaders and other distinguished people from Africa and beyond that are here to support and comfort us.  We really appreciate your coming.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I ask everyone who helped us and the bereaved family to accept the gratitude of the family, the gratitude of my Government, and the gratitude of the entire people of Tanzania to whom Mwalimu has always been, and will always be, much more than a Founding Father.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> To you, the people of the United Republic of Tanzania, I am also very grateful.  On 26<sup>th</sup> September, I addressed the Nation, explaining the illness of Mwalimu Nyerere and asking everyone to pray for his recovery.  Across the country, across all religious faiths, prayers were said, day and night.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Now that he is no more, we have all joined hands across the country, regardless of tribe, faith, gender or race, to mourn his passing away in unity, solidarity, peace and tranquillity just like Mwalimu taught us. We have learnt well, and this is clearly a good beginning for life after Mwalimu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Since he passed away I have received hundreds of messages of condolences from all corners of the continent and the world sent by Kings and Queens, Presidents and Prime Ministers, leaders of international and regional organisations, political and civil society leaders, and yes, from ordinary citizens of the world. They are unanimous in their description of Mwalimu as a person, as a national leader, as an African statesman and as an international personality.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I cannot read all of the messages to you.  But on behalf of our continent I will read part of the message sent by the OAU Chairman, President Abdelaziz Bouteflika of Algeria.  He refers to Mwalimu as:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">&#8220;(T)he peerless leader who devoted his life to the service of his country and the continent, the tireless defender of just causes and worthy architect of the conquest by African peoples of their rightful place among nations of the world.&#8221;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> On behalf of the international community I will quote the United Nations Secretary General Kofi Annan.  Of Mwalimu he says:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">&#8220;He set an example in Africa by voluntarily renouncing power and handing over to his successor through an orderly constitutional process.&#8221;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Mwalimu is one of the leaders of developing countries who challenged and critiqued the economic prescriptions of financial institutions such as the World Bank and the International Monetary Fund in the early 1980&#8242;s when he was still President, and afterwards as Chairman of the South Commission.  I believe Mwalimu had an influence in changing the perspectives of these institutions and making them more responsive to our points of view.  For that reason, on behalf of international financial institutions, I will read the full message of the President of the World Bank, Mr. James D. Wolfensohn.  He said:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">&#8220;For the men and women who have served the great cause of development in the world, one of the lights of our lives went out today.  Mr. Julius Nyerere was one of the founding fathers of modern Africa.  He was also one of the few world leaders whose high ideals, moral integrity, and personal modesty inspired people right around the globe.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">While world economists were debating the importance of capital output ratios, President Nyerere was saying that nothing was more important for people than being able to read and write and have access to clean water.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">He gave his compatriots a sense of hope and achievement early in their life as a country.  And he gave them a sense of nation with few parallels in Africa and the world – bound by a common language (Kiswahili) and a history almost entirely free of internal divisions and conflict. His political ideals, his deep religious convictions, his equally deep religious tolerance, and his belief that people of all ethnic and regional origins should have equal access to knowledge and material opportunities have marked his country – and Africa – forever.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">He was a leader in the liberation of Southern Africa.  He looked after hundreds of thousands of refugees forced to live in western Tanzania by political turmoil in central Africa.  And he left office peacefully at an age when he could certainly have continued.  He was known as &#8220;Mwalimu&#8221; (or &#8220;Teacher&#8221;) – which was his first profession.  Many of us still regard ourselves as his students, and we feel very honoured to have known and worked with him in his life.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify; margin-left: 36pt;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">To the people of Tanzania – and to his wider family across Africa and around the world – I want to say how much we share your sadness at his passing.  However, the example he set and the ideals he represented will remain a source of inspiration and comfort for all of us.  That is a legacy which even President Nyerere – modest as he was – would have been proud of.&#8221;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> There are very many people in this country who, like me, consider ourselves lucky that our lives were touched by Mwalimu.  I for one have no hesitation to say, with pride, that I learnt politics at the hand of a true master; a man who proved that politics does not have to be, as conventionally portrayed, a dirty game; an upright man, a man who would stand for what is right and just though the heavens fell.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Here was a man who friends, comrades and his fellow citizens loved deeply, and whose political foes respected highly.  A man of outstanding integrity, imbued with an intense love for his fellow human beings across the lines of geography, race, colour, and gender.</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span id="more-12400"></span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Mwalimu was averse to empty praises, averse to the development of a personality cult.  His humility and disdain for flattery is legendary.  But the people of this country, other Africans, developed and developing countries, have all recognised Mwalimu&#8217;s contribution to Tanzania, to Africa and to the world, awarding him over the years with medals, awards, honorary degrees from Africa, East and West Europe, Asia, and the Americas.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> In his 77 years of mortal life, Mwalimu did much for our nation, for the African continent, and for the world.  He made us free and contributed to the freedom of others beyond our borders.  Like Nkrumah, he believed the indignity of one African was the indignity of all Africans; and that as long as there was an African country under colonial domination, the freedom of one African country was meaningless.  He mobilised our national will, spirit and resources for the total liberation of Africa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> His life long philosophy rested on the premise that all human beings are created equal and deserve equal freedom, justice, respect and dignity.  He believed in, and practised, that principle in whose advocacy he was both passionate and inspiring.  He built a united nation with a vision of equality and respect across racial, religious, tribal, and gender divides.  Until this day, the union between Tanganyika and Zanzibar remains an enduring example of African unity.  We shall defend and strengthen this Union with all our might.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> His commitment to unity within the country, and African unity, had an almost missionary zeal.  To him the imperative of unity, solidarity, and co-operation between poor and weak countries in pursuit of greater democracy on a global scale, and the sovereign equality of nations, was paramount.  We are not less human just because we are poor, he consistently told his political and economic interlocutors.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> His view of freedom was all-encompassing.  It was not restricted to political independence, but extended to a vision of a totally liberated human being – in political, economic, social and cultural terms.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> One of the nicknames Tanzanians gave Mwalimu as President was &#8220;Musa&#8221; (Moses).  Like Moses in the Holy Books, he had given us freedom and was leading the People of Tanzania through the desert to the promised land of prosperity.  We believe the new century and millennium will indeed witness a more prosperous Tanzania.  But, alas, like  Moses of the Holy Books, Mwalimu&#8217;s life was cut short before we reached the new century of promise.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> A man of faith, a devout person, he had tremendous respect for all faiths.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Love begets love, trust begets trust, respect begets respect, he taught us. Mwalimu, as a result, was loved, trusted and respected by all tribes, all races, all religions and all regions of Tanzania.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Mwalimu was extremely sensitive to the downtrodden, the weak, the disabled, the powerless.  He was acutely sensitive to the plight of refugees and displaced persons.  Under his leadership, Tanzania was not only peaceful, thereby not generating refugees, but he made Tanzania home to everyone seeking political and personal refuge.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> A few months before he died he visited refugee camps in Western Tanzania and talked to the Burundi refugees there, giving them hope that his role as an international facilitator for the Burundi peace process would soon restore peace in their country so they could go back to their homes. His perseverance in peace efforts, regardless of the many disappointments along the way, never ceased to amaze others and me.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I talked to him a few days before he was admitted to the St Thomas Hospital in London, and even at that stage of his illness, he was impatient to return to Tanzania to carry on with his facilitation of the Burundi peace process.  I had to plead to dissuade him.  A peacemaker, he was a universal man, God&#8217;s gift to mankind.  The gift we can give in return is to quickly finalise the Burundi peace process, and facilitate the voluntary and peaceful repatriation of those who had reason to flee for their lives.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Mwalimu was a teacher in many ways.  He had an unquenchable thirst for knowledge, and an unending desire to impart knowledge to others. A man of great patience, a great listener, he was always willing to weigh and consider a wide array of opinion.  A voracious reader of books, what helped to persuade him to accept a bigger house, in his own words spoken light-heartedly, was because he had run out of room for books in his former smaller house.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> A man of great vision, he had exceptional intellect and wit.  A man of ideas, a creative thinker.  He was always challenged by new ideas, fascinated by the search for truth, for reality, for science and history.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> UNICEF, in their message on his death described Mwalimu as &#8220;a slender, diminutive figure of irresistibly infectious chuckle, with a mind so sharp as to cut to the heart of every argument, but a tongue so kind as to soothe the soul of every adversary.&#8221;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> It has been said that the true measure of humanity is the care one has for the weaker members of society.  On this score, because of his intense spirituality, Mwalimu distinguished himself as a veritable human being.  His concern, perhaps even obsession, with removing inequalities in society, and in the world is legendary.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">His disdain for affluence amid poverty had a spiritual aura and was deeply imbedded in his heart and mind.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mwalimu saw himself as a man with a mission, and refused the distraction that the accumulation of earthly riches would bring in his life.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">My Fellow Citizens,<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">This is a sad occasion.  But I am sure if Mwalimu could speak to us now, he would be exhorting us to pick up his mantle and carry on the struggle against poverty, against injustice, against bigotry.  He would exhort us, as he always did in his lifetime, to cherish and protect the union between Tanganyika and Zanzibar.  He would ask us to be on guard against any divisive tendencies.  He would urge us to move much more quickly to integrate African economies, and promote African unity.  He would appeal for collective South-South self-reliance.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> As sad as we all are, this must also be a celebration of the life of an outstanding human being – an extraordinary man who devoted his whole life and being to the service of others, within and beyond Tanzania.  A man of chiefly heritage who abolished privilege.  A man who is the embodiment of good leadership, leadership as service to others.  A man who is the example of public service for the public good.  We all know, and the world knows, that unlike many post-independence African leaders, he did not use public office for personal enrichment.  What Mwalimu had was what the people of this country willingly gave him.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Today all Tanzanians weep for Mwalimu, a man in whom all kinds of people saw a saviour.  A man who believed in giving everyone an education, so that everyone could have an equal chance in life. There are many in this country today who hold important positions in government and society who will never forget Mwalimu for giving them the key to their present status – the key of education. A man who two years ago at his 75<sup>th</sup> birthday grieved that, &#8220;we are wasting too much life&#8221;. He was talking of the many children and adults who die of preventable or curable diseases, or lack of proper nutrition.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> As the funeral cortege passed the hundreds of thousands of people lining the streets of Dar es Salaam the echo of the cry <em>&#8220;Mkombozi umetuacha&#8221;</em>, meaning, &#8220;Our liberator, you have left us&#8221; was everywhere.  He was so much to everyone; a pillar of what Tanzania is today, a repository of wisdom, counsel and guidance.  He has left us, but we shall not let slip his legacy.  We shall safeguard his achievements and hold high the torch of struggle and freedom he has bequeathed us.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I have been privileged to lead the cortege procession of this unique man and leader through the streets of Dar es Salaam.  I was overcome by the ubiquitous outpouring of genuine grief and sense of loss.  But I was encouraged by the words and hand-written placards that vowed to protect the freedom, unity, solidarity, tolerance, and principles that Mwalimu taught us all his life.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> And I want to assure everyone within and outside Tanzania that my Government will ensure that the legacy of Mwalimu never dies.  We will do all within our power:<br />
</span></p>
<ul style="margin-left: 54pt;">
<li>
<div style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">To maintain national unity, concord and harmony;<br />
</span></div>
</li>
<li>
<div style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">To prosecute the war on poverty with even greater zeal and ensure the fruits of that war are shared as widely and equitably as possible among the downtrodden;  and<br />
</span></div>
</li>
<li>
<div style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">To defend the union between Tanganyika and Zanzibar which he founded together with another of our beloved founding leaders, the late Sheikh Abeid Aman Karume.<br />
</span></div>
</li>
</ul>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Let us not forget, my dear brothers and sisters, that the presence among us of so many leaders from our sub-region and the African continent, from Europe and the Americas and from Asia is testimony to the stature in the world that Mwalimu earned for his pursuit of the legacy he has left us.  Their presence here, therefore, is not only in honour of Mwalimu but also an exhortation to us to be worthy inheritors of Mwalimu&#8217;s legacy.  We must stay the course.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">My Fellow Citizens,<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">There is no doubt that Mwalimu was richly blessed by the Almighty God.  He used those talents as his Maker wanted him to. And as he stands before God at the end of his life&#8217;s ministry, I am sure he can say with confidence: Lord, I used everything you gave me, not for personal gain or comfort, but for the freedom, dignity and well-being of the people you put under my charge, and those well beyond Tanzania&#8217;s borders and shores.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Our world is composed of givers and takers.  The takers may eat better, but the givers sleep better. In death, as in life, Mwalimu sleeps better.  For his entire life was a life of giving, not taking.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">We thank Almighty God most profoundly for the life and service of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> And we whose lives were touched by him join in a chorus of prayer: &#8220;May Almighty God Rest His Soul in Eternal Peace&#8221;.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> I thank you. </span></p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;t=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;notes=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;Title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-12400'), event, 'post-12400')" onMouseOver="more(this,'post-12400')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-12400')" id="sociable-post-12400" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;t=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;bodytext=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;annotation=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;t=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;title=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;selection=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F10%2F14%2Ftunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa%2F&amp;t=TUNAPOMKUMBUKA%20MWALIMU%20NYERERE%3AEULOGY%20FROM%20EX-PRESIDENT%20BENJAMIN%20W.MKAPA&amp;s=%0D%0ALeo%20watanzania%20wote%20na%20wote%20wanaotupenda%20na%20kututakia%20kheri%20tunaungana%20katika%20kumkumbuka%20Baba%20wa%20Taifa%20letu%2CHayati%20Mwalimu%20Julius%20Kambarage%20Nyerere%20ambaye%20alifariki%20tarehe%20kama%20ya%20leo%2C14th%20October%201999%20kule%20nchini%20Uingereza.%0D%0A%0D%0A%0D%0ARais%20mstaafu%2CBenja"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-12400',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-12400',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="TUNAPOMKUMBUKA MWALIMU NYERERE:EULOGY FROM EX-PRESIDENT BENJAMIN W.MKAPA - http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerereeulogy-from-ex-president-benjamin-w-mkapa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>2</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>JK AKUTANA NA KIONGOZI WA SERIKALI YA MPITO YA LIBYA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 23 Sep 2011 15:58:37 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=12219</guid>
		<description><![CDATA[Naamini kwamba unatambua kwamba nchi ya Libya hivi sasa ina kiongozi mpya katika serikali ya mpito.Anaitwa Mustafa Abdel-Jalil.Kiongozi huyo ambaye ameshika usukani wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika baada ya kumng&#8217;oa madarakati Kanali Muamar Gaddafi,naye yupo nchini Marekani kuhudhuria mkutano wa UN na ametumia muda huo kukutana na viongozi mbalimbali akiwemo Rais wetu,Jakaya Mrisho [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Naamini kwamba unatambua kwamba nchi ya Libya hivi sasa ina kiongozi mpya katika serikali ya mpito.Anaitwa Mustafa Abdel-Jalil.Kiongozi huyo ambaye ameshika usukani wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika baada ya kumng&#8217;oa madarakati Kanali Muamar Gaddafi,naye yupo nchini Marekani kuhudhuria mkutano wa UN na ametumia muda huo kukutana na viongozi mbalimbali akiwemo Rais wetu,Jakaya Mrisho Kikwete.Hizi hapa baadhi ya picha wakati viongozi hao walipokutana.</p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-12220 aligncenter" title="JK AND 2" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/09/JK-AND-2.jpg" alt="" width="618" height="412" /></p>
<p style="text-align: center;"><em>Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kiongozi wa Serikali ya Mpito ya Libya Bw.Mustafa Abdel Jalil</em></p>
<p style="text-align: center;"><img class="alignnone size-full wp-image-12221" title="JK AND 3" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/09/JK-AND-3.jpg" alt="" width="627" height="418" /></p>
<p style="text-align: center;"><em>Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo mafupi na kiongozi wa serikali ya mpito ya Libya,Bw.Mustafa Abdel-Jalil jijini New York nchini Marekani.Viongozi hao wanahudhuria Mkutano Mkuu wa 66 wa  Umoja wa Mataifa jijini New York</em></p>
<p style="text-align: center;"><img class="alignnone size-full wp-image-12222" title="JK AND 4" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/09/JK-AND-4.jpg" alt="" width="626" height="417" /></p>
<p style="text-align: center;"><em>Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Balozi wa Tanzania wa kudumu katika Umoja wa Mataifa,H.E Ombeni Sefue kwa Kiongozi wa Serikali ya Mpito ya Libya,Bw.Mustafa Abdel-Jalil</em>.</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;t=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;notes=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;Title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-12219'), event, 'post-12219')" onMouseOver="more(this,'post-12219')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-12219')" id="sociable-post-12219" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;t=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;bodytext=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;annotation=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;t=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;title=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;selection=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F23%2Fjk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya%2F&amp;t=JK%20AKUTANA%20NA%20KIONGOZI%20WA%20SERIKALI%20YA%20MPITO%20YA%20LIBYA&amp;s=Naamini%20kwamba%20unatambua%20kwamba%20nchi%20ya%20Libya%20hivi%20sasa%20ina%20kiongozi%20mpya%20katika%20serikali%20ya%20mpito.Anaitwa%20Mustafa%20Abdel-Jalil.Kiongozi%20huyo%20ambaye%20ameshika%20usukani%20wa%20nchi%20hiyo%20ya%20kaskazini%20mwa%20Afrika%20baada%20ya%20kumng%27oa%20madarakati%20Kanali%20Muamar%20Gadda"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-12219',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-12219',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="JK AKUTANA NA KIONGOZI WA SERIKALI YA MPITO YA LIBYA - http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/23/jk-akutana-na-kiongozi-wa-serikali-ya-mpito-ya-libya/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>6</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>USIA WA MAMA&#8230;.</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 19 Sep 2011 13:53:53 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=12188</guid>
		<description><![CDATA[Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,Mizengo Pinda, akimsikiliza kwa makini Mama Maria Nyerere alipomtembelea kijijini kwake Mwitongo Butiama.Waziri Mkuu Pinda yupo katika ziara mkoani Mara. Unaweza kuhisi Mama Maria alikuwa akimwambia nini Waziri Mkuu Pinda?Can you caption this? Be Sociable, Share! Tweet]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-12189 aligncenter" title="Mizengo Pinda" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/09/Mizengo-Pinda.jpg" alt="" width="607" height="423" /></p>
<p>Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,Mizengo Pinda, akimsikiliza kwa makini Mama Maria Nyerere alipomtembelea kijijini kwake Mwitongo Butiama.Waziri Mkuu Pinda yupo katika ziara mkoani Mara.</p>
<p>Unaweza kuhisi Mama Maria alikuwa akimwambia nini Waziri Mkuu Pinda?Can you caption this?</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=USIA%20WA%20MAMA....%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;t=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=USIA%20WA%20MAMA....&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&title=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;notes=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;Title=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-12188'), event, 'post-12188')" onMouseOver="more(this,'post-12188')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-12188')" id="sociable-post-12188" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;t=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;bodytext=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;annotation=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;t=USIA%20WA%20MAMA...."></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;title=USIA%20WA%20MAMA....&amp;selection=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F09%2F19%2Fusia-wa-mama%2F&amp;t=USIA%20WA%20MAMA....&amp;s=%0D%0AWaziri%20Mkuu%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20ya%20Tanzania%2CMizengo%20Pinda%2C%20akimsikiliza%20kwa%20makini%20Mama%20Maria%20Nyerere%20alipomtembelea%20kijijini%20kwake%20Mwitongo%20Butiama.Waziri%20Mkuu%20Pinda%20yupo%20katika%20ziara%20mkoani%20Mara.%0D%0A%0D%0AUnaweza%20kuhisi%20Mama%20Maria%20alikuwa%20akimwambia"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-12188',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-12188',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="USIA WA MAMA.... - http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/09/19/usia-wa-mama/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>2</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>MAKAMU WA RAIS,DR.BILAL AMUAGA BALOZI WA MISRI ANAYEMALIZA MUDA WAKE</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 22 Aug 2011 19:43:31 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/</guid>
		<description><![CDATA[Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Jumatatu Agosti 22, 2011 amekutana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Wael Adel Nasr ambaye amefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kumuaga kufuatia kupangiwa kazi nyingine, ikiwa ni baada ya kukaa nchini kwa miaka minne. Balozi Nasr ambaye sasa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-11969 aligncenter" title="Makamu wa Rais Bilal" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/08/Makamu-wa-Rais-Bilal1.jpg" alt="" width="615" height="413" /></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Jumatatu Agosti 22, 2011 amekutana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Wael Adel Nasr ambaye amefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kumuaga kufuatia kupangiwa kazi nyingine, ikiwa ni baada ya kukaa nchini kwa miaka minne.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Balozi Nasr ambaye sasa anahamia kitengo cha nchi za Afrika Mashariki na Kati kama mwakilishi wa Misri alimwambia Makamu wa Rais Dkt. Bilal kuwa kuwepo kwake Tanzania kumemfunza mengi na kubwa ni kuwa Tanzania ni nchi ya amani na upendo hali iliyomfanya kuishi bila kujiona mgeni katika kipindi chote alichokuwepo nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Balozi huyo aliongeza kuwa, hali inayoshabihiana katika utamaduni na maisha sambamba na mahusiano ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili ni miongoni mwa sifa nyingine ambazo zimeyafanya maisha yake nchini Tanzania kuwa mazuri, hali inayomlazimu kutamka kuwa anaondoka Tanzania kimwili lakini moyo wake upo hapa Tanzania.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Akizungumzia mapinduzi yaliyofanyika nchini mwake, Balozi Nasr amefafanua kuwa, mapinduzi hayo yatabadili kwa kiasi kikubwa sera ya Mambo ya nchi za Nje ya Misri ambapo sasa nchi hiyo itarejesha sera inayotazama mahusiano ya karibu katika kuleta ukombozi na utanuzi wa demokrasia katika Afrika, kama ilivyokuwa wakati wa harakati za kupigania uhuru wa nchi za Afrika.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">&#8220;Kama unakumbuka ndege ya kwanza kutua Tanganyika ilitoka Misri tena ilitua saa mbili baada ya Tanganyika kutangazwa huru. Hii inaonyesha kuwa ndege ile ilianza safari ya kuja Dar es Salaam saa kama nne kabla ya kutangazwa uhuru wa Tanganyika na hili ni moja ya mambo tunayoyakumbuka sana katika mahusiano yetu na Tanzania,&#8221; alisema Balozi Nasr.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Kwa upande wake Makamu wa Rais Dkt. Bilal alimwambia Balozi Nasr kuwa anashukuru kwa maelezo mazuri aliyoyatoa juu ya Tanzania na kwamba anatambua mchango wa Misri katika maendeleo ya Afrika na akasisitiza kuwa ni wakati sasa Afrika kujitegemea kwa kuongeza mashirikiano katika kukuza uchumi wa wananchi wa bara hili.</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span id="more-11966"></span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Dkt. Bilal alisema, mashirikiano ya kiuchumi katika COMESA, SADC na EAC ni mfano wa muhimu na kwamba jitihada maridhawa zinatakiwa kufanywa ili mashirikiano hayo yakue ikiwemo kuanzisha mapya baina ya nchi na nchi. &#8220;Hakuna sababu ya kulalama kuhusu sababu ya Tanzania kutokuwa mjumbe wa COMESA, bado Misri inaweza kufanya makubaliano na Tanzania, na kisha kuweza kufanya mambo mengi pamoja baina ya nchi hizi mbili,&#8221; alisema na kuongeza;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">&#8220;Natambua kuwa yapo mazungumzo yanayoendelea katika jumuiya zetu za SADC, EAC na COMESA juu ya kutanua wigo wa ushirikiano kiuchumi, lakini mazungumzo haya si lazima yasubiliwe sana. Inawezekana nchi moja moja zikawa na maafikiano juu ya kutanua mahusiano ya kiuchumi jambo ambalo linaweza kufanyika kwa Tanzania na Misri na Tanzania haina hofu yoyote ya kushirikiana kiuchumi na Misri,&#8221; alimalizia.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Imetolewa na: Boniphace Makene<br />
</strong></span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Mwandishi wa Habari wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
</strong></span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Jumatatu Agosti 22, 2011<br />
</strong></span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><br />
</span></p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;t=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;notes=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;Title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-11966'), event, 'post-11966')" onMouseOver="more(this,'post-11966')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-11966')" id="sociable-post-11966" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;t=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;bodytext=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;annotation=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;t=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;title=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;selection=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F22%2Fmakamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake%2F&amp;t=MAKAMU%20WA%20RAIS%2CDR.BILAL%20AMUAGA%20BALOZI%20WA%20MISRI%20ANAYEMALIZA%20MUDA%20WAKE&amp;s=%0D%0AMakamu%20wa%20Rais%20wa%20Jamhuri%20ya%20Muungano%20wa%20Tanzania%20Dkt.%20Mohammed%20Gharib%20Bilal%20leo%20Jumatatu%20Agosti%2022%2C%202011%20amekutana%20na%20Balozi%20wa%20Misri%20nchini%20Tanzania%20Wael%20Adel%20Nasr%20ambaye%20amefika%20ofisini%20kwake%20Ikulu%20jijini%20Dar%20es%20Salaam%20kumuaga%20kufuatia%20kupangiwa"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-11966',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-11966',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="MAKAMU WA RAIS,DR.BILAL AMUAGA BALOZI WA MISRI ANAYEMALIZA MUDA WAKE - http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/22/makamu-wa-raisdr-bilal-amuaga-balozi-wa-misri-anayemaliza-muda-wake/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>WILLIAM NGELEJA:PART OF THE SOLUTION OR PART OF THE PROBLEM?</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 14 Aug 2011 15:24:12 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Siasa]]></category>
		<category><![CDATA[Tanzania/Zanzibar]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=11937</guid>
		<description><![CDATA[Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO Be Sociable, Share! Tweet]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-11938 aligncenter" title="William Ngeleja" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/08/William-Ngeleja.jpg" alt="" width="552" height="829" /></p>
<p>Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;t=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;notes=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;Title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-11937'), event, 'post-11937')" onMouseOver="more(this,'post-11937')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-11937')" id="sociable-post-11937" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;t=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;bodytext=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;annotation=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;t=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;title=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;selection=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F08%2F14%2Fwilliam-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem%2F&amp;t=WILLIAM%20NGELEJA%3APART%20OF%20THE%20SOLUTION%20OR%20PART%20OF%20THE%20PROBLEM%3F&amp;s=%0D%0APicha%20na%20Mwanakombo%20Jumaa-MAELEZO"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-11937',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-11937',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="WILLIAM NGELEJA:PART OF THE SOLUTION OR PART OF THE PROBLEM? - http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/08/14/william-ngelejapart-of-the-solution-or-part-of-the-problem/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>3</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA,MH.MUSTAFA HAIDI MKULO AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO NA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2011/2012</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 08 Jun 2011 20:14:47 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bunge]]></category>
		<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/</guid>
		<description><![CDATA[JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA 2011/2012 UTANGULIZI: 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kujadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2012. Pamoja na hotuba hii, vipo vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu mbalimbali za Bajeti. Kitabu cha Kwanza kinahusu makisio [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="alignnone size-full wp-image-11586" title="Mkullo 2011-2012" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/06/Mkullo-2011-2012.jpg" alt="" width="378" height="500" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>WIZARA YA FEDHA</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>2011/2012</strong><br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong> UTANGULIZI:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">1.<strong> <em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kujadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2012. Pamoja na hotuba hii, vipo vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu mbalimbali za Bajeti. Kitabu cha <strong>Kwanza </strong>kinahusu makisio ya mapato. Kitabu cha <strong>Pili</strong> kinaelezea makisio ya matumizi ya kawaida kwa Wizara na Idara zinazojitegemea ambapo cha <strong>Tatu</strong> kinahusu makisio ya matumizi ya kawaida kwa Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na cha <strong>Nne</strong> kinaelezea makadirio ya matumizi ya maendeleo kwa Wizara, Idara zinazojitegemea, Mikoa pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Aidha, upo Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2011 ambao ni sehemu ya Bajeti hii.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">2.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>awali ya yote napenda kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa tena kuongoza kwa muhula wa pili wa Serikali ya Awamu ya Nne. Aidha, <span style="color: black;">ninamshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa imani kubwa aliyonayo kwangu kwa kunichagua kwa mara nyingine tena kuongoza Wizara kubwa na nyeti, ninamuahidi kuwa sitamuangusha.</span> Pia ninampongeza Dkt. Mohammed Gharib Billal kwa kuchaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Vile vile,<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ninampongeza Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mb.) kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge na kuteuliwa tena na hatimaye kupitishwa na Waheshimiwa Wabunge kuwa Waziri Mkuu kwa muhula wa pili wa Serikali ya Awamu ya Nne.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">3.     <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napenda kukupongeza wewe binafsi Mhe. Spika Anne Makinda (Mb.) kwa kuchaguliwa kuwa Spika na hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Bunge katika Afrika Mashariki. Kuchaguliwa kwako kunatokana na imani kubwa waliyonayo Waheshimiwa Wabunge kwa kuzingatia busara zako, uwezo na uzoefu wako ndani ya Bunge hili. Napenda pia kumpongeza Mhe. Job Ndugai (Mb.) kwa kuchaguliwa kuwa Naibu Spika. Nawapongeza pia mawaziri wenzangu wote pamoja na Naibu mawaziri wote, kwa kuteuliwa kwao na Mhe. Rais kushika nyadhifa hizo. Aidha, napenda niwapongeze wabunge wote kwa kuchaguliwa na kuteuliwa kuingia katika Bunge hili.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">4.    <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> naomba pia nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha matayarisho ya Bajeti hii. Maandalizi ya Bajeti ya Serikali yanahusisha wadau na vyombo mbalimbali. Kipekee ninaishukuru Kamati ya Fedha na Uchumi chini ya uenyekiti wa Mhe. Dkt. Abdallah Omari Kigoda, Mbunge wa Handeni, pamoja na kamati nyingine za kisekta kwa ushauri mzuri waliotoa wakati wakichambua mapendekezo ya Bajeti hii.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">5.    <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> naomba niishukuru kwa namna ya pekee Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kutayarisha kwa wakati Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2011 na nyaraka mbalimbali za sheria ambazo ni sehemu ya bajeti hii. Kwa upande wa Wizara ya Fedha, nawashukuru Naibu Mawaziri, Mhe. Gregory Teu (Mb) na Mhe. Pereira Ame Silima (Mb). Namshukuru Katibu Mkuu Ndugu Ramadhani M. Khijjah na Naibu Makatibu Wakuu, Ndugu Laston T. Msongole, Dkt. Servacius B. Likwelile na Ndugu Elizabeth Nyambibo. Napenda kuwashukuru Prof. Benno Ndulu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Ndugu Harry Kitilya, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Dkt. Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa. Aidha, napenda kuwashukuru Wakuu wa Idara na wafanyakazi wote wa Wizara ya Fedha. Vile vile, namshukuru Mpigachapa Mkuu wa Serikali kwa kuchapisha Hotuba hii kwa wakati. Mwisho, nawashukuru wataalamu na wale wote waliotoa mapendekezo kuhusu sera, mikakati na masuala mbalimbali ya kodi ambayo yamezingatiwa katika kuandaa Bajeti hii.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">6.      <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> huu ni mkutano wa kwanza wa Bajeti kwa Bunge hili baada ya uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge uliofanyika mwezi Oktoba mwaka 2010 na kukirejesha Chama Cha Mapinduzi pamoja na Serikali yake katika kipindi cha pili cha Awamu ya Nne. Wananchi wana matumaini makubwa kwa Bunge hili kwamba litasaidia kuongeza kasi ya kuwapatia maendeleo na kuondokana na umasikini wa kipato unaowakabili wananchi walio wengi. Hili linajidhihirisha kwa uwepo wa Waheshimiwa Wabunge wenye umri, jinsia, elimu, na uzoefu mbalimbali. Ni matumaini ya Serikali kuwa uwepo huo wa Waheshimiwa Wabunge utakuwa ni chachu katika kuwaletea maendeleo wananchi kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">7.<strong><em> Mheshimiwa Spika,</em></strong> Bajeti ya mwaka wa fedha unaoishia 2010/2011, imeendelea kutumika kama chombo muhimu katika kutekeleza Sera na Malengo ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii. Katika kipindi hiki, yamekuwepo mafanikio ya kuridhisha katika kutoa huduma bora kwa wananchi na kuimarisha miundombinu ili kuwezesha kukua kwa uchumi na kupunguza umaskini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">8.    <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Bajeti ya mwaka 2011/12 itazingatia vipaumbele vifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)        Umeme;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Maji;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Miundombinu ya usafiri na usafirishaji (reli, bandari, barabara, viwanja vya ndege, Mkongo wa Taifa);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Kilimo na umwagiliaji; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Kupanua ajira kwa sekta binafsi na ya umma.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Bajeti itahakikisha pia kuwa mafanikio yaliyopatikana katika sekta za elimu na afya yanalindwa pamoja na kuimarisha ubora wa huduma zinazotolewa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Mikakati ya Kupunguza Makali ya Maisha kwa Mwananchi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">9.    <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali inatambua changamoto zinazowakabili wananchi katika kupambana na makali ya maisha. Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2011/12, pamoja na mambo mengine, inalenga katika kuchukua hatua za kurekebisha hali hiyo. Kumekuwepo na changamoto mbalimbali ambazo zinahitaji hatua za makusudi kuchukuliwa na wadau mbalimbali ikiwemo Serikali, sekta binafsi na mwananchi mmoja mmoja ili kupunguza makali ya maisha kwa mwananchi. Hatua zitachukuliwa maeneo yafuatazo:-:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)      <strong> Kasi ya kupanda kwa bei za bidhaa na huduma: </strong>Kasi ya ongezeko la bei za bidhaa na huduma nchini pamoja na mambo mengine inasababishwa na: kuongezeka kwa bei za mafuta katika soko la dunia; kutopatikana kwa umeme wa uhakika na hivyo kuathiri uzalishaji; na upungufu wa chakula nchini na nchi jirani. Serikali itachukua hatua mbalimbali kukabiliana na hali hiyo kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)    <strong>Ongezeko la bei za mafuta ya petroli:</strong> Ongezeko la bei za mafuta ya petroli linatokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa bei katika soko la dunia. Kwa mfano baada ya msukosuko wa uchumi duniani bei ya mafuta ilishuka hadi Dola za Kimarekani 40 kwa pipa. Kwa sasa bei ya mafuta katika soko la dunia imefikia takribani Dola 120 kwa pipa ambayo ni mara tatu ya bei iliyokuwepo awali. Aidha, ongezeko la bei linachangiwa pia na kuongezeka kwa gharama za bima ya mizigo kwa meli zinazoleta mizigo nchini kutokana na tishio la maharamia baharini, uagizaji wa mafuta wa kampuni moja moja na migogoro ya kisiasa katika nchi za Mashariki ya Kati na kaskazini mwa bara la Afrika. Pamoja na sababu zilizotajwa, bidhaa ya mafuta ya petroli inapoingia hapa nchini hutozwa ushuru wa bidhaa (excise duty) na ushuru wa mafuta (fuel levy). Zipo pia tozo mbalimbali zinazotozwa na Mamlaka zinazotoa huduma katika mfumo wa uagizaji na upokeaji wa mafuta. Taasisi zinazotoza tozo hizo ni pamoja na EWURA, SUMATRA, Shirika la Viwango la Taifa (TBS), Kiwanda cha TIPER, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mamlaka ya Bandari na makampuni yanayoagiza mafuta. Pamoja na hatua zilizochukuliwa na Serikali za kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani na kuweka viwango maalum vya ushuru wa bidhaa kwenye mafuta, bado bei ya mafuta imeendelea kuwa kubwa na kuongeza gharama za maisha.</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span id="more-11584"></span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, ili kupunguza makali ya ongezeko la bei ya mafuta nchini, Serikali imeamua kufanya mapitio ya namna ya kukokotoa tozo zinazotozwa na Mamlaka mbalimbali kwa lengo la kuzipunguza na zoezi hili litakamilika katika mwaka wa fedha 2011/12. Aidha, Serikali pia inakamilisha taratibu za ununuzi wa mafuta kwa wingi kwa lengo la kuyauzia makampuni ya usambazaji kwa bei ya jumla. Kanuni zitakazotoa mwongozo katika uagizaji mafuta kwa pamoja zimekamilika na utaratibu huu unategemewa kuanza katika mwaka wa fedha 2011/12. Utaratibu huu unatarajiwa kupunguza bei na gharama za usafirishaji wa mafuta hayo. Pamoja na juhudi hizi za Serikali, sekta binafsi inahimizwa kuwezesha upatikanaji wa huduma ya kutumia gesi kama nishati mbadala wa mafuta ya petroli hasa mijini.  Ni matarajio yangu kwamba hatua hizi zitaleta unafuu wa bei ya mafuta hapa nchini na hivyo kupunguza gharama za maisha kwa wananchi na kuboresha uchumi kwa ujumla.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)    <strong>Upungufu wa Nishati ya umeme:</strong> Nchi yetu inakabiliwa na upungufu wa nishati ya umeme kutokana na kiwango kidogo cha uzalishaji  usioendana na mahitaji. Kwa kuzingatia kuwa umeme una umuhimu wa kipekee katika kukuza uchumi wa nchi, Serikali itachukua hatua kadhaa za kukabiliana na upungufu huu, ikiwemo kukamilisha mradi wa kuzalisha umeme wa megawati 100 Dar es Salaam na ule wa megawati 60 Mwanza; kuiwezesha TANESCO kupata mikopo kutoka taasisi za fedha za kimataifa kwa ajili ya kununulia mitambo ya uzalishaji na kuangalia upya namna ya kugawanya shughuli za Uzalishaji, Usafirishaji na Usambazaji; kwa lengo la kuiachia TANESCO kujikita kwenye eneo ambalo ina uwezo nalo kiushindani na hivyo kuleta  ufanisi katika sekta nzima ya umeme. Aidha, kutokana na kukamilishwa kwa sera, sheria na kanuni za ubia kati ya Serikali na sekta binafsi (PPP), Serikali itaandaa utaratibu wa kuhusisha sekta binafsi katika sekta ya umeme na inatarajiwa kwamba baadhi ya miradi ya uzalishaji umeme itatekelezwa kwa njia ya ubia kati ya Serikali na sekta binafsi. Serikali imeshaanza majadiliano na wawekezaji katika uzalishaji wa umeme kwa ubia katika miradi ifuatayo; Mtwara MW 300, Mpanga MW 144, na miradi ya usafirishaji umeme wa kV 400 ya Morogoro-Tanga-Kilimanjaro-Arusha km 682 na upanuzi wa Gridi ya Kaskazini Magharibi kwa mikoa ya Kagera, Kigoma na Rukwa &#8211; km 1000. Serikali inawashauri wananchi kuanza kutumia vyanzo mbadala vya umeme wa jua, upepo na nishati inayotokana na biogesi pamoja na kutumia kwa uangalifu nishati ya umeme iliyopo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)    <strong>Kuimarisha Hifadhi ya Chakula: </strong>Kutokana na kuendelea kuwepo kwa upungufu wa chakula kulikosababishwa na ukame katika baadhi ya maeneo ya nchi, Serikali itaendelea kuimarisha hifadhi ya chakula kwa kuongeza ununuzi wa mazao ya chakula katika Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Serikali (NFRA). Aidha, hifadhi hiyo itatumika kupunguza bei ya chakula nchini kwa kusambaza nafaka kwa bei nafuu katika masoko wakati wa uhaba. Kadhalika, wananchi wanashauriwa kuendelea kulima mazao yanayohimili ukame pamoja na kilimo cha umwagiliaji na kuzingatia kuweka akiba ya chakula cha kutosha.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)  <strong> Kuongeza Ajira:</strong> <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Ukosefu wa ajira, hasa kwa vijana umeendelea kuwa ni changamoto kubwa, hivyo, Serikali inafanya juhudi za makusudi kupanua ajira katika maeneo mbalimbali kama ifuatavyo:-<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)      Mpango wa Ukanda wa Kilimo wa Kusini mwa Tanzania (Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania-SAGCOT). Mpango huu ni mkakati wa kuleta mapinduzi ya kilimo ambao utatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na na wadau mbalimbali wa kilimo, wakiwemo washirika wa maendeleo. Utekelezaji wa Mpango huu ambao ni sehemu ya Kilimo Kwanza, utasaidia kupunguza umaskini miongoni mwa wananchi wanaoishi vijijini kwa kuwaongezea mavuno ya mazao yao na kukuza ajira miongoni mwa Watanzania. Katika mwaka 2011/12 Benki ya Dunia inatarajia kuchangia Dola za Kimarekani milioni 60 sawa na shilingi bilioni 92.8. Tunakamilisha taratibu za kupata fedha hizo na tutawasilisha Bungeni kwa ajili ya kuidhinisha matumizi yake.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong><em> Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali pia itaendelea kufanya maboresho ya kilimo cha mazao, ufugaji na uvuvi. Kwa upande wa mazao, Tanzania ina mabonde mazuri yenye rutuba kwa kilimo cha mpunga katika mikoa ya Tabora, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Pwani, Mbeya, Kilimanjaro, Tanga na Morogoro.  Chini ya utaratibu huu, wakulima wadogo wadogo watawezeshwa kupata huduma za mikopo, ugani, mbegu bora na mbolea. Utafiti unaonesha kuwa kwa kutumia vizuri mabonde hayo, pembejeo na tija katika uzalishaji, inawezekana kutoa fursa za ajira mchanganyiko.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)      Viwanda vya kusindika mazao ya kilimo vitasaidia kuongeza thamani ya mazao na ajira. Aidha, eneo jingine la kuongeza ajira ni kupitia mwingiliano (linkage) baina ya viwanda vya nguo na sekta ya kilimo. Juhudi zinazoendelea za kuimarisha upatikanaji wa nishati ya umeme kwa kutumia vyanzo mbadala vya umeme wa maji na mafuta ambavyo ni upepo, jua na biogesi, zitasaidia kufanikisha mpango wa uzalishaji wa bidhaa viwandani. Kadhalika, Serikali itaboresha mazingira ya sekta ya viwanda (vikubwa, vidogo na vya kati), ili kuviwezesha kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)      Kuongeza kasi ya utekelezaji wa MKURABITA, ili mpango huu uweze kuchangia ongezeko la ajira. Serikali kwa kushirikiana na AZAKI, AZISE na wadau wengine, itaendelea kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wa kati (SMEs), ili kuongeza ajira. SIDO, VETA na vyuo vya maendeleo ya wananchi na vijana vitaboreshwa zaidi ili visaidie kutoa mafunzo ya ujasiriamali ambayo yataongeza ajira. Serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwawezesha waombaji wa mikopo kwa kutumia dhamana ya Serikali kupitia mifuko iliyo chini ya Benki Kuu na kupitia benki zao za biashara kupata mikopo kwa ajili ya shughuli zao za uzalishaji. Utaratibu huu umenufaisha wajasiriamali wengi ikiwa ni pamoja na vyama vya ushirika na sekta binafsi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)      Kuharakisha maboresho yanayoendelea katika sekta ya fedha na utekelezaji wa sera ya uwezeshaji ambazo zitasaidia upatikanaji wa mikopo kwa wananchi ili waweze kupata mitaji na kujiajiri. Hatua zinazochukuliwa na Serikali katika eneo hili ni pamoja na kuharakisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa, kuanzishwa kwa taasisi ya kuratibu taarifa sahihi za waombaji wa mikopo (<em>credit reference bureau</em> ) ambayo itakuwa inahifadhi taarifa sahihi za wakopaji (credit reference databank); na mwisho, kuhamasisha mashirika ya umma, sekta binafsi na mifuko ya hifadhi ya jamii kuongeza fursa za ajira katika maeneo yao kwa kuwekeza katika vitega uchumi na kutoa mafunzo ya kujiajiri kwa vijana wasio na ajira.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">10.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> ni matarajio yangu kwamba hatua hizi zitasaidia kuleta unafuu na hivyo kupunguza gharama za maisha kwa wananchi na kuboresha uchumi kwa ujumla. Serikali inaomba ushirikiano wa kila mmoja wetu ili hatua hizo zilete matokeo yanayotarajiwa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA SERA ZA BAJETI YA MWAKA 2010/11:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">11.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>Mfumo wa Bajeti wa mwaka 2010/11 ulizingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025; Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II); Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs); Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu ya Mwaka 2005; Mkakati wa Pamoja wa Misaada Tanzania (MPAMITA); na Mkakati wa Taifa wa Madeni.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">12.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika mwaka wa fedha 2010/11, Serikali<strong><em><br />
</em></strong>imeendelea kutekeleza majukumu yake kulingana na misingi ya sera ilizojiwekea. Sera hizo zililenga katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato, kusimamia matumizi ya fedha za umma na uwajibikaji. Aidha, Serikali ilikusudia kuendelea kudhibiti Deni la Taifa pamoja na kuboresha mahusiano yetu na wahisani wanaosaidia Bajeti ya Serikali.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">13.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>kwa kuzingatia sera za uchumi jumla pamoja na misingi na sera za Bajeti, katika kipindi cha mwaka 2010/11, Serikali ilikadiria kukusanya mapato na kutumia kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo jumla ya shilingi trilioni 11.6. Kwa mwaka huo, Serikali ilipanga kukusanya mapato ya ndani ya shilingi trilioni 6.0; mapato kutoka Serikali za mitaa kiasi cha shilingi bilioni 172.6; misaada na mikopo ya kibajeti shilingi bilioni 821.6; misaada na mikopo ya miradi ya maendeleo na ya kisekta kiasi cha shilingi trilioni 2.5; mikopo ya ndani na nje shilingi trilioni 1.3; mikopo ya kulipia dhamana na hatifungani shilingi bilioni 797.6; na mapato kutokana na ubinafsishaji shilingi bilioni 30.0.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">14.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2010/11, mafanikio yaliyojitokeza ni pamoja na yafuatayo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)      Kiwango cha ukusanyaji wa mapato ya ndani hadi mwezi Machi 2011 kiliongezeka kwa asilimia 21 ikilinganishwa na mapato yaliyokusanywa kipindi kama hicho mwaka 2009/10. Aidha, katika kipindi hicho, ukusanyaji wa mapato uliongezeka kutoka wastani wa shilingi bilioni 390 kwa mwezi mwaka 2009/10 hadi shilingi bilioni 473 mwaka 2010/11;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Kugharamia Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba 2010 kama ilivyopangwa;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)   Kufanikisha ununuzi wa tani 182,000 za chakula cha Hifadhi ya Taifa, kwa kutumia jumla ya shilingi bilioni 57, ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa chakula lililojitokeza katika baadhi ya maeneo nchini;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)   Kugharamia mafunzo kwa wanafunzi 4,598 katika fani ya maafisa ugani wa kilimo na mifugo;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)    Serikali imeendelea kulipa madeni ya watumishi kulingana na uhakiki uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)   Mishahara na stahili za watumishi ziliendelea kulipwa kwa wakati;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii) Serikali imelipa kiasi cha shilingi bilioni 200 kama sehemu ya gharama kwa ajili ya ununuzi wa genereta zenye uwezo wa kufua umeme wa megawati 60 kwa mkoa wa Mwanza na megawati 100 kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Aidha, Serikali imechukua hatua za dharura za kupunguza makali ya mgao wa umeme katika gridi ya Taifa kwa kugharamia ununuzi wa mafuta ya kuendesha mitambo ya kufua umeme ya IPTL, ambapo jumla ya shilingi bilioni 18.5 zimetumika;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii)   Kwa ushirikiano na Serikali ya China, Serikali iliendelea na ujenzi wa jengo maalum kwa ajili ya matibabu ya moyo katika hospitali ya Muhimbili pamoja na wodi za kulaza wagonjwa wa saratani katika hospitali ya Ocean Road;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ix)   Kuongeza mtaji kwa shilingi bilioni 50 katika benki ya rasilimali (TIB) na hivyo kukuza mtaji hadi shilingi bilioni 92. Aidha, shilingi bilioni 20 ziliongezwa kwenye dirisha la kilimo na kufanya dirisha hilo kuwa na shilingi bilioni 42; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">x)    Kufanikisha utoaji wa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi 96,328 ambapo jumla ya shilingi bilioni 185 zimetumika, ikilinganishwa na wanafunzi 72,035 na shilingi bilioni 145 zilizotumika kwa kipindi kama hicho mwaka 2009/10.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MAPATO YA NDANI:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">15.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika kipindi cha mwaka wa fedha 2010/11, Serikali ilitarajia kukusanya mapato ya ndani ya kiasi cha shilingi bilioni 6,003.6 sawa na asilimia 17.3 ya Pato la Taifa. Ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani, hatua mbalimbali zilizochukuliwa ni pamoja na:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)                Kuendelea kuimarisha mifumo ya ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha kuwa pale inapowezekana malipo yanafanyika kupitia kwenye mabenki;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)        Kuweka mkakati wa kuboresha huduma za utalii kwa kutathmini hoteli ili ziwe katika viwango vinavyokubalika kimataifa kwa lengo la kuongeza mapato yanayotokana na ada;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)       Kuhimiza utekelezaji wa Sheria ya Fedha Na. 13 ya mwaka 2008 na Waraka wa Hazina Na. 8 wa mwaka 2008/09 inayoelekeza mashirika na taasisi kuchangia katika Mfuko Mkuu wa Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)       Kuendelea kupanua wigo wa kodi kwa kusajili walipa kodi wapya na kuimarisha uchumi tulivu pamoja na kuweka mazingira bora ya biashara ili kuwezesha kukua kwa sekta binafsi;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)        Kuendelea kusimamia kwa karibu mageuzi makubwa yanayoendelea ndani ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, chini ya mpango wake wa Tatu wa Maboresho wa Miaka Mitano ambayo yamekuwa msingi wa kukua kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani mwaka hadi mwaka;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)       Kuchukua hatua za kuboresha ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi kutoka Wizara na Idara za Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii)     Kupitia upya utaratibu wa kutoa misamaha ya kodi kwa lengo la kuongeza udhibiti; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii)   Kuendelea kuhakikisha kwamba watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wanajengewa uwezo kwa kuwapatia utaalam wa kutosha ili kuongeza ufanisi katika ukadiriaji na ukusanyaji wa mapato katika Serikali za Mitaa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">16.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika kipindi cha mwaka 2010/11, Serikali ilifanya marekebisho ya Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148. Marekebisho mengi yaliyofanyika katika Sheria hii yalilenga kutoa kipaumbele katika kukuza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo na mifugo na kuongeza mchango wake kwenye Pato la Taifa. Hivyo, marekebisho hayo yalijumuisha kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa mashine na vifaa vya kukusanyia, kusafirishia na kusindika maziwa pamoja na vifungashio vya maziwa ili kuhamasisha uwekezaji katika sekta ndogo ya maziwa na hivyo kuboresha kipato cha wananchi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">17.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali ilisamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye mashudu kwa ajili ya chakula cha mifugo ili kuhamasisha ufugaji bora na kuwawezesha wakulima wa mbegu za mafuta kupata bei yenye tija kwa mauzo ya bidhaa hiyo; kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye zana za kilimo, na huduma za kuzalisha mifugo kwa njia ya kupandisha mifugo na kutumia mashine maalum za kuzalishia/kutotolea vifaranga pamoja na vifungashio vya juisi za matunda. Aidha, Serikali ilitoa unafuu maalum wa kodi ya ongezeko la thamani kwenye mabanda yanayotumika katika kilimo cha maua na kusamehe kodi ya usafirishaji wa maua kwa ndege kwenda nje ya nchi. Hatua hizi zimepelekea kuongezeka kwa uzalishaji na usindikaji wa maziwa, uagizaji wa matanki ya kuhifadhia maziwa, upatikanaji wa zana za kilimo, pamoja na uzalishaji wa mifugo na mazao ya kilimo kwa baadhi ya maeneo nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">18.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>Serikali ilitoa unafuu maalum wa kodi ya ongezeko la thamani kwenye uuzaji wa bidhaa na huduma zitolewazo kwa wakulima waliosajiliwa au mashamba ya vyama vya ushirika kwa ajili ya kujenga miundombinu ya mashamba kama vile mifereji ya umwagiliaji, barabara za mashambani, ujenzi wa maghala au huduma nyinginezo za namna hiyo; na kutoza kodi ya ongezeko la thamani kwa kiwango cha asilimia sifuri kwenye usindikaji wa mafuta ya kula kwa wazalishaji wa mafuta ya kula wanaotumia mbegu za mafuta zinazozalishwa hapa nchini. Hatua hizi kwa pamoja zimesaidia kupunguza gharama za uzalishaji na kuboresha thamani ya bidhaa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">19.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> hatua hizi zimepelekea kuongezeka kwa upatikanaji wa zana za kilimo, pamoja na uzalishaji wa mifugo na mazao ya kilimo kwa baadhi ya maeneo nchini. Takwimu za awali zinaonesha kuwa uzalishaji wa alizeti unatarajiwa kuongezeka kutoka tani 328,533 mwaka 2009/10, hadi tani 666,030 mwaka 2010/11; uzalishaji wa karanga kutoka 475,918 mwaka 2009/10, hadi kufikia tani 600,300 mwaka 2010/11; na ufuta kutoka tani 146,919 mwaka 2009/10, hadi kufikia tani 326,660 mwaka 2010/11. Hadi kufikia Aprili 2011, uagizaji wa vifaa vinavyotumika kuunganisha mabanda maalum yanayotumika kuzalishia maua (green houses) uliongezeka kutoka nyumba zenye uzito wa kilo 4,542,959 mwaka 2009/10, hadi kilo 7,181,228. Hata hivyo, matokeo ya hatua nyingine zilizochukuliwa katika kuboresha uzalishaji kwenye kilimo yatajitokeza katika muda wa kati na mrefu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">20.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika kipindi cha mwaka 2010/11, Serikali pia ilifanya marekebisho ya Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332 kwa  kuweka wigo wa ukomo wa maeneo ya uchimbaji wa madini kwa nia ya kudhibiti gharama zinazotakiwa kutolewa katika kukokotoa faida itakayotozwa kodi ya mapato kuwa ni zile zinazohusika; kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato yanayotokana na ajira kutoka asilimia 15 hadi asilimia 14, ili kuwaongezea kipato na kuwapunguzia mzigo wa kodi watumishi wenye kipato cha chini; na kuwataka wafanyabiashara wenye namba za utambulisho wa mlipa kodi (TIN), kuzuia asilimia 2 kila wanapofanya malipo kwa wasiokuwa na namba hizo, kutokana na bidhaa au huduma walizopata kutoka kwao, ili kuwahamasisha wasiokuwa na namba kwenda kusajiliwa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">21.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>hatua hii, pamoja na juhudi nyinginezo ziliwezesha kuongeza idadi ya walipa kodi wapya ambapo hadi Machi, 2011 jumla ya walipakodi waliosajiliwa na TIN  wamefikia 686,098, ikilinganishwa na lengo la kusajili walipa kodi 674,442 ifikapo Juni, 2011. Maboresho ya kodi ya mapato kwa sekta ya madini yanatarajiwa kuongeza mapato katika muda wa kati na mrefu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">22.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika kipindi cha mwaka 2010/11, Serikali ilifanya marekebisho katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147 kwa kupunguza ushuru wa bidhaa kwenye mafuta mazito ya kuendeshea mitambo kutoka shilingi 97, hadi shilingi 80 kwa lita moja, ili kupunguza gharama za uzalishaji wa bidhaa nchini,<strong><em><br />
</em></strong>katika kuzingatia dhamira ya Serikali ya kukuza viwanda, kuongeza ajira na mapato ya ndani. Aidha, katika kipindi hicho, Serikali ilifanya marekebisho ya Sheria ya Magari SURA 124 pamoja na Sheria ya Usalama Barabarani, SURA 168 kwa kupandisha ada ya usajili, uhamisho wa umiliki na ada ya mwaka ya leseni za magari ili kuongeza mapato.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">23.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>kwa kuzingatia matakwa ya Itifaki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, mwaka 2010/11 Mawaziri wa Fedha wa Nchi wanachama waliridhia kufanya marekebisho mbalimbali katika Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka 2004 ili kuboresha sekta za viwanda, kilimo na usafirishaji kama vichocheo muhimu katika kukuza uchumi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">24.   <em><strong>Mheshimiwa Spika,</strong><br />
</em>katika kipindi cha Julai 2010 hadi Machi 2011 mapato ya ndani, yakijumuisha mapato ya Serikali za Mitaa, yalifikia shilingi bilioni 4,256.3, sawa na asilimia 69 ya lengo la bajeti ya mwaka 2010/11 la shilingi bilioni 6,176.2. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 3,910.6 ni mapato ya kodi, shilingi bilioni 227.4 ni mapato yasiyo ya kodi na mapato ya Serikali za Mitaa yalikuwa shilingi bilioni 118.2.<em><br />
</em><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">25.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> mapato halisi ya ushuru wa forodha yalikuwa shilingi bilioni 343.2, sawa na asilimia 70 ya lengo la mwaka la kukusanya shilingi bilioni 493.1. Mapato kutokana na ushuru wa bidhaa kutoka nje yalifikia shilingi bilioni 455.0, sawa na asilimia 73 ya bajeti ya shilingi bilioni 622.8, wakati shilingi bilioni 258.7, zilikusanywa kutokana na ushuru wa bidhaa zilizozalishwa nchini, ikilinganishwa na bajeti ya shilingi bilioni 404.2, sawa na asilimia 64. Aidha, mapato kutokana na Kodi ya Ongezeko la Thamani kutoka nje yalifikia shilingi bilioni 664.6, ikilinganishwa na bajeti ya shilingi bilioni 999.3, sawa na asilimia 67, wakati shilingi bilioni 611.2 zilikusanywa kutokana na Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa mauzo ya ndani, ikilinganishwa na bajeti ya shilingi bilioni 992.3 sawa na asilimia 62. Makusanyo halisi yanayotokana na Kodi ya Mapato yalikuwa shilingi bilioni 1,255.8, ikiwa ni asilimia 74 ya bajeti ya shilingi bilioni 1,702.3. Aidha, mapato halisi yatokanayo na vyanzo vingine vya kodi yalikuwa shilingi bilioni 449.7, ikiwa ni asilimia 72 ya bajeti ya shilingi bilioni 620.9.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">26.    <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>mapato yasiyo ya kodi kwa kipindi cha Julai 2010 hadi Machi 2011, yalikuwa shilingi bilioni 227.4, ikilinganishwa na bajeti ya shilingi bilioni 365.0, sawa na asilimia 62. Aidha, mapato ya Serikali za Mitaa yalikuwa shilingi bilioni 118.2, sawa na asilimia 68 ya bajeti ya shilingi bilioni 172.6.<span style="color: red;"><br />
</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong> MIKOPO YA NDANI:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">27.  <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika mwaka 2010/11, Serikali ilipanga kukopa shilingi bilioni 1,397.6, kutoka vyanzo vya ndani ili kugharamia bajeti yake.  Kati ya kiasi hicho, shilingi bilioni 600.0 ni kwa ajili ya kugharamia miradi ya maendeleo na shilingi bilioni 797.6 ni kwa ajili ya kulipia hatifungani zitakazoiva. Hadi Machi 2011, kiasi cha shilingi bilioni 1,107.5 kilikopwa kwa ajili hiyo. Kiasi hiki kinajumuisha dhamana za Serikali zenye thamani ya shilingi bilioni 607.6 zilizouzwa katika soko ili kulipia zilizoiva  na shilingi bilioni 499.9 zilitumika kugharamia miradi ya maendeleo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MISAADA NA MIKOPO YA MASHARTI NAFUU KUTOKA NJE:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">28.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Sheria ya Mikopo, Dhamana na Misaada ya mwaka 1974 (kama ilivyorekebishwa mwaka 2004) na Kanuni zake, imeendelea kuwa msingi na nguzo kuu ya ukopaji mikopo, utoaji dhamana na kupokea misaada ikiwemo misamaha/ unafuu wa madeni.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">29.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika kipindi cha Julai 2010 hadi Machi 2011, misaada na mikopo ya kibajeti ilikuwa shilingi bilioni 845.7, sawa na asilimia 103 ya makadirio. Ongezeko hili limetokana na nchi ya Canada kuongeza mchango wake wa misaada ya kibajeti mara mbili ya makadirio ya awali. Misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ikijumuisha mifuko ya kisekta ilifikia shilingi bilioni 1,427.6, sawa na asilimia 58 ya makadirio.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>TATHMINI YA UWEZO WA NCHI KUKOPA NA KULIPA MADENI (SOVEREIGN CREDIT RATING):</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">30.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kufuatia kuanza kutengemaa kwa uchumi wa dunia  baada  msukosuko wa kiuchumi duniani na nia ya Serikali ya kuboresha upatikanaji wa taarifa zilizohakikiwa kuhusu mwenendo mzuri wa Taifa kiuchumi, kisiasa, na utawala bora.  Serikali inaendelea kumtafuta Mshauri Mwelekezi wa Kimataifa kwa ajili ya kusimamia zoezi la kutathmini uwezo wa Nchi  wa kukopa na kulipa madeni (Sovereign Credit Rating). Mambo muhimu yanayozingatiwa katika tathmini hii ni pamoja na; hali ya utulivu wa kisiasa; kasi ya kukua kwa uchumi; udhibiti wa usimamizi wa bajeti ya Serikali; udhibiti wa masoko ya fedha na hali ya mfumuko wa bei; na urari wa malipo ya nje ya nchi. Hatua hii itasaidia kuwavutia wawekezaji na wakopeshaji kutokana na kuwepo kwa taarifa ya hali ya uchumi, siasa na utawala wa nchi na hivyo kurahisisha upatikanaji wa mikopo nafuu kutoka nje ya nchi kwa Serikali na kwa sekta binafsi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Deni la Taifa </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">31.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> mwaka 2000/01, Deni la Taifa, lilikuwa Dola za Kimarekani bilioni 8.55 ikilinganishwa na Dola bilioni 10.01 mwaka 2005/06 na kupungua mwaka 2006/07 hadi kufikia Dola bilioni 7.53. Kupungua kwa deni hilo kulitokana na misamaha mbalimbali ya madeni kutoka nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa chini ya utaratibu wa (HIPC na MDRI). Aidha, Deni la Taifa liliongezeka hadi kufikia Dola bilioni 10.54 mwaka 2009/10, kutoka Dola bilioni 9.36 mwaka 2008/09. Kati ya Deni la mwaka 2009/10, Dola bilioni 5.99 ni deni la nje na Dola bilioni 4.55 ni deni la ndani, ikijumuisha Dola bilioni 1.63 za dhamana za Serikali kwa miradi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Utegemezi wa Bajeti </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">32.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em><br />
</strong>pamoja na mafanikio niliyoyaeleza kwenye mwenendo wa mapato hapo juu, Bajeti ya Serikali imekuwa ikitegemea misaada ya wahisani, ambayo hivi sasa (2010/11) ni asilimia 17 ya bajeti kutoka asilimia 28 mwaka 2007/08. Kwa kuzingatia umuhimu wa Taifa kujitegemea kifikra na kirasilimali katika kuleta maendeleo, Serikali imeamua kuchukua hatua madhubuti za kuongeza mapato ya ndani, ikiwa ni pamoja na kupanua wigo, kuongeza ufanisi katika ukusanyaji na kutambua walipa kodi wapya; na kudhibiti matumizi ili ifikapo mwaka 2015, kiwango cha utegemezi wa misaada ya wahisani kwenye Bajeti ya serikali kisizidi asilimia 10.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MATUMIZI:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">33.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, katika mwaka wa fedha 2010/11, sera za matumizi ya Serikali zililenga katika kuboresha usimamizi na udhibiti wa matumizi ya fedha za umma ili kuongeza ufanisi pamoja na kutoa kipaumbele kwa maeneo muhimu ya kiuchumi yanayochochea kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini, hususan wa kipato. Katika kipindi cha Julai 2010 hadi Machi 2011, jumla ya matumizi ilikuwa shilingi bilioni 7,169.3, sawa na asilimia 67 ya makadirio ya mwaka. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 5,226.9 ni matumizi ya kawaida na shilingi bilioni 1,942.4 ni matumizi ya maendeleo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">34.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> hadi Machi 2011, malipo ya mishahara ya watumishi wa Serikali yalikuwa shilingi bilioni 1,749.1, sawa na asilimia 79 ya Makadirio ya mwaka. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 569.96 zilitolewa kwa ajili ya Wizara na Idara zinazojitegemea, shilingi bilioni 52.9 kwa ajili ya Sekretarieti za Mikoa na shilingi bilioni 1,126.2 kwa ajili ya Halmashauri. Aidha, jumla ya shilingi bilioni 443.9 zililipwa kwa ajili ya mishahara ya taasisi na mashirika ya umma.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">35.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>kwa kipindi cha Julai, 2010 hadi Machi, 2011 malipo ya riba kwa madeni ya ndani yalifikia shilingi bilioni 173.6, sawa na asilimia 74 ya makadirio ya mwaka. Aidha, kiasi cha shilingi bilioni 44.6 kilitumika kulipia riba kwa madeni ya nje, sawa na asilimia 34 ya makadiro ya mwaka. Kwa upande wa madeni mengine (CFS Others), jumla ya shilingi bilioni 361.3 zilitumika ikiwa ni asilimia 66 ya makadirio ya mwaka na kiasi cha shilingi bilioni 1,955.3 kilitumika kugharamia matumizi mengineyo. Kwa ujumla, matumizi yalifanyika kulingana na upatikanaji wa mapato.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">36.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika kipindi cha Julai 2010 hadi Machi 2011, matumizi kwa ajili ya miradi ya maendeleo yalifikia jumla ya shilingi bilioni 1,942.4, ambapo shilingi bilioni 514.8 ni fedha za ndani na shilingi bilioni 1,427.6 ni fedha za nje, ikilinganishwa na lengo la mwaka mzima la kutumia shilingi bilioni 1,366.1 na bilioni 2,452.9, kwa mtiririko huo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">37.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em><br />
</strong>kwa kutambua umuhimu wa vitambulisho vya Taifa, Serikali imekamilisha taratibu za kumpata mzabuni na tayari mkataba umekwishasainiwa. Mradi huu utagharimu jumla ya shilingi bilioni 355 mpaka utakapokamilika. Kwa mwaka 2011/12, jumla ya shilingi bilioni 70 zitatumika kama ilivyopangwa. Awamu ya kwanza ya uzalishaji wa vitambulisho hivyo itakamilika mwishoni mwa mwaka 2011. Mradi huu ukikamilika utawezesha wananchi kuwa na utambulisho na hivyo kusaidia, pamoja na mambo mengine,  kuongeza wigo wa ulipaji kodi, kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali, ikiwa ni pamoja na huduma za kifedha, na kuwatambua wahamiaji haramu. <strong> </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MASUALA YANAYOHUSU SERIKALI ZA MITAA:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">38.   <em><strong>Mheshimiwa Spika</strong>,</em> katika mwaka 2010/11, Serikali kuu imeendelea kuzipa uwezo Serikali za mitaa wa kusimamia rasilimali watu na fedha ili ziweze kutoa huduma kwa wananchi kwa ufanisi. Aidha, Serikali imeendelea kuzipatia fedha, watumishi na vitendea kazi na ushauri wa kitaalamu kulingana na maeneo yaliyoainishwa kwenye bajeti. Hadi kufikia machi, 2011, Serikali za mitaa zilikuwa zimepokea jumla ya shilingi bilioni 1,358.6, sawa na asilimia 90 ya lengo la shilingi bilioni 1,504.7 zilizotarajiwa kupelekwa kwa kipindi hicho.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">39.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em>,</strong> kwa upande wa mapato ya ndani, Serikali za mitaa, zimeendelea kukusanya mapato kutoka katika vyanzo mbalimbali kwa mujibu wa sheria ya fedha za Serikali za mitaa SURA 290. Katika mwaka wa fedha 2010/11, mapato kutoka halmashauri yalikadiriwa kuwa shilingi bilioni 172.6. Hadi kufikia mwezi Machi, 2011, mapato halisi yaliyokusanywa kwenye halmashauri yalifikia jumla ya shilingi bilioni 118.2, ambayo, ni sawa na asilimia 68 ya bajeti. Aidha, Serikali imetekeleza majukumu mengi ikiwa ni pamoja na:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)         Kulipa kiasi cha shilingi bilioni 10.5 kwa ajili ya madeni ya watumishi wa Serikali za Mitaa wasio walimu, kulingana na uhakiki uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)        Ujenzi wa hospitali 3 za mikoa ya Manyara, Singida na Mbeya, pamoja na ukarabati wa hospitali 10 za mikoa na 17 za wilaya;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)       Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma, nyumba 3 za wakuu wa mikoa, ofisi 22 za Halmashauri na nyumba 210 katika Halmashauri mbalimbali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)       Ukarabati wa ofisi 17 za wakuu wa mikoa, ofisi 26 pamoja na nyumba 23 za wakuu wa Wilaya; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)        Kuboreshwa na kusambazwa kwa Mfumo wa IFMIS (Integrated Financial Management Information System) kwenye ngazi ya Halmashauri ili kuimarisha uwajibikaji, ufuatiliaji na tathmini ya matumizi ya fedha za umma.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>USIMAMIZI WA FEDHA ZA UMMA:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">40.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2009/10, inaonesha kutetereka kwa udhibiti na usimamizi wa fedha za umma katika Wizara, Idara na Sekretarieti za Mikoa, ikilinganishwa na taarifa ya mwaka 2008/09. Taarifa inaonesha kupungua kwa Hati safi za ukaguzi zilizotolewa kwa Wizara na Idara za Serikali, kutoka asilimia 87 hadi asilimia 77, wakati hati zenye shaka zimeongezeka kutoka asilimia 10 hadi asilimia 20. Aidha, kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa, hati safi za ukaguzi zimepungua kutoka asilimia 58 mwaka 2008/09, hadi 48.5 mwaka 2009/10, wakati hati zenye mashaka zimeongezeka kutoka asilimia 41 hadi asilimia 48.5.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">41.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> baadhi ya sababu za kupungua kwa hati safi za ukaguzi ni  kutofuatwa kikamilifu kwa Viwango vya Kimataifa vya utoaji wa taarifa za kihasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS), Sheria ya Ununuzi ya Umma ya mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2005, kukosekana kwa usimamizi na ufuatiliaji wa karibu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kutozingatiwa kwa mfumo wa udhibiti wa ndani, ukosefu wa mafunzo endelevu kwa watumiaji wa mfumo wa <em>IFMIS</em> kwenye Serikali za Mitaa na kutotekelezwa kwa mapendekezo ya ukaguzi kwa miaka iliyopita.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Usimamizi na Udhibiti wa Fedha za Umma &#8211; Serikali za Mitaa<br />
</strong></span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">42.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika kuimarisha usimamizi na udhibiti wa fedha za umma, Sheria ya Fedha za Umma SURA 348 imepitiwa na kurekebishwa ili kuwapatia Mlipaji Mkuu wa Serikali na Mhasibu Mkuu wa Serikali mamlaka ya kusimamia na kufuatilia usimamizi wa fedha za umma katika ngazi ya Serikali za Mitaa. Kupitia marekebisho haya, Serikali imeunda nafasi ya Mhasibu Mkuu wa Serikali Msaidizi atakayeshughulikia usimamizi wa fedha katika Serikali za Mitaa, na hivyo kuwezesha utekelezaji wa dhima ambayo imekusudiwa na mabadiliko haya.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Usimamizi wa Mashirika ya Umma</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">43.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika miaka ya hivi karibuni, zimejitokeza changamoto nyingi katika kusimamia wakala, taasisi na mashirika ya umma. Baadhi ya mashirika na taasisi za umma zinazotakiwa kujiendesha kibiashara zimeshindwa kujiendesha kwa ufanisi na kuwa mzigo mkubwa kwa kutegemea ruzuku kutoka Serikali Kuu, kinyume na lengo la kuanzisha mashirika na taasisi hizo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">44.      <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kutokana na changamoto hizo, Serikali imefanya mabadiliko katika muundo wa Wizara ya Fedha kwa kuifanya Ofisi ya Msajili wa Hazina kuwa wakala anayejitegemea, kwa lengo la kuzisimamia kwa karibu wakala, taasisi na mashirika ya umma na hivyo kuongeza ufanisi, tija, mapato na kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka Serikali Kuu. Serikali inapitia sheria zilizoanzisha mashirika na taasisi mbalimbali na sheria nyinginezo zinazohusiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina, ili kuondoa muingiliano wa kiutendaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MKAKATI WA KUKUZA UCHUMI NA KUPUNGUZA UMASKINI (MKUKUTA II):</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">45.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali ilikamilisha maandalizi ya MKUKUTA Awamu ya Pili (MKUKUTA II) na kuanza kutekelezwa mnamo Julai 2010. Kama nilivyojulisha Bunge lako Tukufu katika kikao cha bajeti mwaka 2010/11, MKUKUTA II ni nyenzo kuu ya kuliwezesha Taifa kufikia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi. Serikali inaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kugharimia MKUKUTA II hasa kwa vipaumbele vinavyogusa wananchi walio wengi na kuboresha huduma za jamii. Ugharamiaji wa Mkakati huu unategemea bajeti ya Serikali, michango ya jamii na sekta binafsi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">46.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> MKUKUTA II umejikita katika maeneo muhimu yafuatayo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Miundombinu hususan, barabara za vijijini, reli, bandari, viwanja vya ndege, nishati ya umeme na miundombinu ya mawasiliano na habari pamoja na usafirishaji wa nishati ya mafuta na gesi;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Sekta ya Kilimo ikiwa ni pamoja na maendeleo ya Mifugo na Uvuvi;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)   Sekta ya Viwanda, lengo likiwa kuendeleza viwanda vitakavyotumia rasilimali za ndani; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)   Dhana ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi, kwa maana ya kupanua na kuimarisha ushiriki na mchango wa sekta binafsi katika maeneo ya miundombinu, uzalishaji wa mazao ya chakula, biashara pamoja na utoaji wa huduma za jamii kama vile afya, usafirishaji, elimu na mafunzo na huduma za kifedha.<span style="color: red;"><br />
</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Tume ya Pamoja ya Fedha</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">47.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Tume ya Pamoja ya Fedha ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliundwa kwa mujibu wa Ibara ya 134 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Tume ya Pamoja ya Fedha SURA 140. Tume imetoa taarifa kadhaa na mapendekezo ikiwemo taarifa iliyotolewa mwaka 2006, kuhusu vigezo vya kugawana mapato na kuchangia gharama za muungano. Taarifa hiyo imefanyiwa mapitio mwaka 2010, ili kuiboresha na imewasilishwa kwa Wizara ya Fedha ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Wizara ya Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mwezi April 2011. Kila upande unaendelea kufanya uchambuzi wa mapendekezo ya Tume na utawasilisha maoni yake katika kikao cha pamoja, chini ya uenyekiti wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mapema mwaka 2011/12.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">48.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika mwaka 2010/2011, Serikali iliendelea kutekeleza Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, kwa kutoa mikopo yenye masharti nafuu kupitia mifuko na program mbalimbali; kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika (SACCOS) na VICOBA kama njia bora ya kupata mikopo yenye masharti nafuu, kuongeza kipato, ajira na kupunguza umaskini. Matokeo ya uhamasishaji huo ni kuongezeka kwa vyama hivyo mara tatu kutoka 1,875 mwaka 2005 hadi 5,344 mwaka 2010, na kuongezeka kwa idadi ya wanachama wa vyama hivyo kutoka 1,360,850 hadi 2,100,000. Akiba na amana za wanachama zimeongezeka zaidi ya mara tano, kutoka shilingi bilioni 31.4 mwaka 2005, hadi shilingi bilioni 174.6 mwaka 2010. Aidha, Serikali imekamilisha Mwongozo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi. Vile vile, maandalizi ya Mwongozo wa Kitaifa wa Kutoa Mafunzo ya Ujasiriamali yanaendelea.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">49.   <em><strong>Mheshimiwa Spika</strong>,</em> katika mwaka 2011/2012, Serikali itaendelea kutekeleza Sera ya Taifa ya Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi, kwa kuieneza ili wananchi wengi waielewe na kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wake; kutoa mafunzo kwa wajasiriamali; kuhamasisha uwekaji akiba, uwekezaji na kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika; na kufanya tafiti zenye lengo la kuendeleza stadi za ujasiriamali na kuanzisha na kuboresha shughuli za kiuchumi. Serikali itaendelea pia kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo kupitia utaratibu unaosimamiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii &#8211; TASAF.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MWELEKEO WA BAJETI YA MWAKA 2010/11 HADI JUNI, 2011:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">50.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, kulingana na mwenendo wa makusanyo ya mapato kwa kipindi cha miezi tisa ya mwaka 2010/11, inategemewa kwamba hadi kufikia Juni, 2011 Serikali itaweza kukusanya jumla ya shilingi bilioni 5,553.7, sawa na asilimia 93 ya lengo la shilingi bilioni 6,003.6.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">51.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kwa  upande wa mikopo na misaada ya kibajeti, hadi kufikia Juni 2011, kiasi cha shilingi bilioni 927.9 zinakadiriwa kupatikana, ikilinganishwa na shilingi bilioni 821.6 zilizokadiriwa hapo awali sawa na ongezeko la asilimia 13. Mwelekeo unaonesha kwamba, hadi kufikia Juni 2011 sehemu kubwa ya fedha zilizokadiriwa kupatikana kutokana na misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo zitapatikana.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">52.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kwa upande wa matumizi, Serikali imeendelea kutoa fedha kulingana na upatikanaji wa mapato na kwa kuzingatia vipaumbele vilivyopangwa. Mwelekeo ni kwamba matumizi yatakuwa chini ya lengo la bajeti ya mwaka 2010/11 kutokana na upungufu wa mapato. Aidha, kabla ya mwisho wa mwaka 2010/11, Serikali italipa madeni yaliyohakikiwa ya vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na posho ya nyumba kwa Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma na pango la nyumba kwa Waheshimiwa Majaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MISINGI NA SHABAHA ZA BAJETI KWA MWAKA 2011/2012:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">53.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Bajeti ya mwaka 2011/12 inazingatia maeneo muhimu ya utekelezaji ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Awamu ya Pili ya Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUKUTA II); Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015; Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015; Mkakati wa Pamoja wa Misaada Tanzania (MPAMITA) na Mkakati wa Taifa wa Madeni.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">54.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> maeneo muhimu yatakayozingatiwa katika utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2011/12 ni kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)        Kukabiliana na changamoto za kupunguza makali ya maisha kwa wananchi kama nilivyoeleza hapo awali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Kuendelea kuboresha mfumo wa makusanyo ya mapato ya ndani, kuboresha mazingira ili kuvutia wawekezaji wa ndani na nje na uendelezaji wa sekta binafsi ili kupanua wigo na kuongeza vyanzo vipya vya mapato;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Kuendelea na utekelezaji wa mradi wa Vitambulisho vya Taifa; uanzishwaji wa anuani za makazi na utekelezaji wa MKURABITA;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Kuhakikisha kwamba maduhuli ya Serikali yanakusanywa ipasavyo na kuwasilishwa katika Mfuko Mkuu wa Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Kutenga rasilimali katika maeneo ya kuongeza kasi ya ukuaji uchumi kama vile miundombinu ya umeme, maji, barabara, bandari, kilimo, umwagiliaji, pamoja na TEHAMA;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)     Kuimarisha utawala bora na uwajibikaji;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii)   Kuendelea kutekeleza mipango na mikakati maalum ya kuharakisha ukuaji wa uchumi, kama vile kuvutia wawekezaji kwenye miradi ya uzalishaji kwa ajili ya kuuza nje (EPZ) na wa uanzishaji wa maeneo maalum ya uwekezaji (SEZs);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii) Kukamilisha uandaaji wa awamu ya nne ya programu ya maboresho ya usimamizi wa fedha za umma (PFMRP IV);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ix)     Kuimarisha uandaaji na utekelezaji wa sera za fedha ziendane na zile za mapato na matumizi ili kupunguza mfumuko wa bei na ongezeko la riba pamoja na kuongeza mikopo kwa sekta binafsi na kuhakikisha uhimilivu katika deni la Taifa;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">x)      Kuimarisha urari wa malipo kwa kusindika bidhaa kabla ya kusafirishwa nje,  hasa mazao ya kilimo, madini na bidhaa nyingine;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xi)     Kutafuta mikopo ya masharti nafuu na ya kibiashara kutoka benki mbalimbali ili kuongeza uwezo wa Serikali kugharamia miradi mikubwa ya maendeleo;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xii)   Kuharakisha utekelezaji wa Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na ya Binafsi ili kupanua fursa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xiii) Kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xiv) Kulinda na kudumisha mafanikio yaliyopatikana katika Sekta za huduma za jamii (Elimu, Maji na Afya).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>SERA ZA MAPATO:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">55.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> katika mwaka 2011/12, Sera za mapato zinalenga kukusanya mapato ya ndani, yasiyopungua shilingi bilioni 6,775.9, sawa na asilimia 17.2 ya Pato la Taifa, ikilinganishwa na matarajio ya kukusanya shilingi bilioni 5,553.7 au asilimia 16.0 ya Pato la Taifa kwa mwaka 2010/11. Kati ya kiwango hicho, mapato ya kodi ni shilingi bilioni 6,228.8, mapato yasiyo ya kodi ni shilingi bilioni 547.1 na mapato kutokana na vyanzo vya Halmashauri ni shilingi bilioni 350.5.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">56.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali itaendelea kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kuchukua hatua mbalimbali za kiutawala kwa kuhusisha maeneo ya mapato ya kodi na yasiyo ya kodi, pamoja na kupanua wigo wa mapato katika maeneo mengine. Maeneo ya kisera  yatakayozingatiwa ili kuongeza mapato ni pamoja na: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)        Kuimarisha utaalamu na mbinu za kuhakiki kodi kutoka kwenye kumbukumbu za biashara (audit capacity); kuimarisha mfumo wa utawala wa kodi kwa kutumia vitalu (Block Management System); kuingiza sekta isiyo rasmi kwenye mfumo wa kodi; kutekeleza utawala wa kodi kwa kutumia mfumo wa viashiria hatarishi (Enterprise wide Risk Management); na kudhibiti mbinu zote za ukwepaji Kodi;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Kuhuisha Sheria mbalimbali zinazoruhusu misamaha ya kodi kwa nia ya kudhibiti misamaha hiyo. Kwa sasa misamaha hiyo ni asilimia 2.5 ya Pato la Taifa na lengo ni kufikia angalau asilimia 1 ya Pato la Taifa katika muda wa kati;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Kuendelea kuimarisha mifumo ya ukusanyaji wa mapato kwa kuhakikisha kuwa malipo yanafanyika kupitia benki; na kuanza kutumia mfumo wa kulipa kodi kwa kutumia mfumo wa M-PESA kwa malipo ya Kodi yasiyozidi shilingi 500,000 ili kuondoa kero ya walipa kodi kukaa kwenye mistari;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Kuimarisha TEHAMA katika utawala wa kodi – hasa katika utozaji kodi kwenye sekta za Mawasiliano na Fedha, ukaguzi wa kina (Forensic Audit), na utunzaji na uchambuzi wa takwimu;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Kuendelea kuimarisha matumizi na udhibiti wa Mashine za Elektroniki za kutoa  stakabadhi za kodi (Electronic Fiscal Devices-EFDs) na kutoa elimu kwa walipakodi na wafanya biashara kuhusu matumizi ya mashine hizi;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)     Kusimamia Mpango wa tatu wa Miaka Mitano wa Maboresho ya utendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa lengo la kuongeza ufanisi zaidi katika kukusanya mapato;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii)   Kuboresha Mifumo ya Ukusanyaji na Usimamiaji kwa Mapato yasiyo ya Kodi kwa kupitia upya mfumo wa utoaji stakabadhi na leseni, pamoja na kuboresha viwango vya kubakiza maduhuli (retention) kwa Wizara, Idara na Taasisi za Serikali;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii) Kupitia upya mfumo wa ukusanyaji wa kodi ya majengo (Property tax) katika majiji, manispaa, miji, wilaya na miji midogo na kuboresha mfumo wa ukusanyaji wake, kwa kutumia taarifa mpya za thamani za majengo hayo na kusimamia ulipaji wa kodi hiyo, ikiwa ni pamoja na kupitia upya vyanzo vya mapato na mfumo wa ukusanyaji katika Serikali za Mitaa;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ix)     kuendelea kuimarisha uchumi tulivu na kuweka mazingira bora ya biashara ili kuwezesha  sekta binafsi kukua na hatimaye kuweza kuchangia katika mapato;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">x)      Kuimarisha miundombinu ya bandari, reli na barabara ili kuchochea biashara na hatimaye kuongeza mapato; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xi)     kuimarisha usimamizi na udhibiti wa bidhaa zipitazo katika bandari zetu kwenda nchi za jirani, hasa bidhaa za mafuta, ili kuzuia uvujaji wa mapato ya serikali.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MISAADA NA MIKOPO: </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">57.  <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, katika bajeti ya mwaka 2011/12, Serikali inatarajia kupokea jumla ya misaada na mikopo yenye masharti nafuu kiasi cha shilingi bilioni 3,923.6, ikilinganishwa na kiasi cha shilingi bilioni 3,274.6 kwa mwaka 2010/11. Hili ni ongezeko la shilingi bilioni 648.99, sawa na asilimia 20, ukilinganisha na kiwango<span style="color: black;"> cha mwaka 2010/11. </span>Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 869.4 ni misaada na mikopo ya kibajeti na shilingi bilioni 3,054.1 ni misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo ikijumuisha mifuko ya kisekta.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">58.  <em><strong>Mheshimiwa Spika</strong>,</em> napenda kuwatambua na kuwashukuru washirika wetu wa maendeleo ambao wameendelea kutoa misaada na mikopo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu licha ya nchi zao kuathirika na msukosuko wa uchumi Duniani. Wahisani hao ni: Uingereza, Denmark, Uholanzi, Ubelgiji, Canada, China, Finland, Ufaransa, Ujerumani, Ireland, Italia, Japani, Korea ya Kusini, Norway, Sweden, Uswisi, Marekani, India, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, BADEA, Umoja wa Ulaya, Global Fund, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Kuwait Fund, Nordic Fund, Opec Fund, Saudi Fund, na Mashirika ya Umoja wa Mataifa. Wote tunawashukuru sana kwa michango yao.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MIKOPO YA KIBIASHARA: </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">59.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kiwango cha mikopo yenye masharti ya kibiashara kinazingatia tathmini ya uhimilivu wa deni la Taifa, ambapo kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 1,500 zinakadiriwa kukopwa kwa muda wa miaka mitatu, 2010/11 – 2012/13. Hivyo, Dola za Kimarekani milioni 822, sawa na shilingi bilioni 1,271.6. zinatarajiwa kutumika mwaka 2011/12. Kati ya kiasi hiki, Dola milioni 297 sawa na shilingi  bilioni 459 ni albaki ya mikopo iliyotarajiwa mwaka 2010/11 na Dola milioni 525, sawa na shilingi bilioni 812 zinatarajiwa kupatikana mwaka 2011/12. Fedha hizi zitatumika kwa miradi ya maendeleo ikijumuisha miradi ya miundombinu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MIKOPO YA NDANI: </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">60.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, katika mwaka 2011/12, Serikali inakusudia kukopa kiasi cha shilingi bilioni 1,204.3 katika soko la fedha la ndani. Kati ya kiasi hiki, shilingi bilioni 393.4 kwa ajili ya kuziba nakisi ya mapato ya Serikali na kiasi cha shilingi bilioni 810.9 ni kwa ajili ya kulipia dhamana zinazoiva.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>SERA ZA MATUMIZI</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">61.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> sera za matumizi ya Serikali zinalenga katika kuboresha usimamizi na udhibiti wa matumizi ya fedha za umma, yakijumuisha udhibiti wa ulipaji wa mishahara, matumizi katika miradi ya maendeleo, ruzuku ya pembejeo, ununuzi wa umma na kuendelea kudhibiti ulimbikizaji wa madeni. Msisitizo utawekwa kwenye kutekeleza maeneo yaliyoainishwa kwenye misingi na shabaha za bajeti ya mwaka 2011/12, ili kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">62.<strong><em> Mheshimiwa Spika</em>,</strong> kwa kuzingatia maeneo ya kipaumbele niliyoyaainisha katika aya ya 9, mchanganuo wa bajeti kwa baadhi ya sekta kwa mwaka 2011/12 ni kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)        Miundombinu ya barabara, reli, bandari na Mkongo wa Taifa zimetengewa shilingi bilioni 2,781.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 1,505.1 mwaka 2010/11 sawa na ongezeko la asilimia 85;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Nishati na madini imetengewa shilingi bilioni 539.3 ikilinganishwa na shilingi bilioni 327.2 mwaka 2010/11, sawa na ongezeko la asilimia 65;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Maji imetengewa shilingi bilioni 621.6 ikilinganishwa na shilingi bilioni 397.6 mwaka 2010/11, sawa na ongezeko la asilimia 56;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Kilimo na umwagiliaji kimetengewa shilingi bilioni 926.2 ikilinganishwa na shilingi bilioni 903.8 mwaka 2010/11, sawa na ongezeko la asilimia 2.5;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Elimu imetengewa shilingi bilioni 2,283.0 ikilinganishwa na shilingi bilioni 2,045.4 mwaka 2010/11, sawa na ongezeko la asilimia 12; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)     Afya imetengewa shilingi bilioni 1,209.1 ikilinganishwa na shilingi bilioni 1,205.9 mwaka 2010/11, sawa na ongezeko la asilimia 0.3.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Kudhibiti Matumizi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">63.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em>, </strong>Serikali itahakikisha kwamba taratibu za kifedha na ununuzi wa umma zinafuatwa kikamilifu pamoja na kuondokana na matumizi yasiyokuwa ya lazima:-<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)  Katika mwaka wa fedha wa 2011/12, Serikali itaendelea kuchukua hatua mbalimbali za udhibiti wa matumizi, ikiwa ni pamoja na kuimarisha ukaguzi wa mishahara, (Payroll Audit) ambapo Maafisa Masuuli watafanya ukaguzi wa malipo ya mishahara ya asasi/taasisi zao kila mwezi. Chini ya utaratibu huu wakuu wa Idara watawajibika pia kufanya ukaguzi wa mishahara ili kuhakikisha  kuwa watumishi wanaolipwa mishahara ni wale walio chini yao. Wakuu wa Idara na Maafisa  Wahasibu watawajibika kwa malipo ya mishahara hewa.  Aidha, Serikali itaendesha ukaguzi wa mara kwa mara kwa malipo ya mishahara kupitia Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali na pia kupitia Sehemu ya Ufuatiliaji wa Matumizi ya Serikali na Utendaji Kazi katika Idara ya Bajeti ya Serikali. Katika mwaka 2011/12, Serikali imepanga kufanya sensa ya watumishi wote wa Serikali na Taasisi kwa kuandaa siku maalum ya malipo ya mshahara dirishani &#8220;National Pay Day&#8221;. Aidha, Serikali itasimamia utekelezaji wa Waraka Na. 2 wa Hazina wa mwaka 2010 kuhusu uwajibikaji na udhibiti katika usimamizi wa malipo ya mishahara pamoja na ukamilishaji wa maboresho ya mfumo wa kuandaa mishahara (Lawson, version 9), ambao utaimarisha udhibiti wa malipo ya mshahara.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)      Eneo lingine ambalo litazingatiwa ni ukaguzi wa miradi ya maendeleo. Kazi hii itafanywa na Kitengo cha Ukaguzi wa Kiufundi (Technical Audit Unit) ambacho kitakuwa chini ya Idara mpya ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Ukaguzi huu utajikita katika kuhakikisha kuwa matumizi ya fedha katika miradi husika, yanaendana na thamani halisi ya fedha iliyotumika (Value for Money).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)      Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali aliyoitoa mwezi Machi 2011 imeonesha kuwa kuna udhaifu mkubwa wa usimamizi wa fedha za umma katika Serikali za Mitaa. Katika jitihada za kukabiliana na hali hii, Serikali inaendelea kupunguza idadi ya Akaunti za Benki katika  Halmashauri hadi zifikie sita. Hivyo, kuanzia tarehe 1 Julai, 2011 Serikali za Mitaa zitakuwa na akaunti zifuatazo: Akaunti ya Mapato, Akaunti ya Amana, Akaunti ya Mishahara, Akaunti ya Matumizi ya Kawaida, Akaunti ya Matumizi ya Maendeleo na Akaunti ya Mfuko wa Barabara. Hatua hii itasaidia kudhibiti matumizi ya fedha, kuongeza uwazi na uwajibikaji na kuboresha utoaji wa taarifa za mapato na matumizi. Aidha, Serikali imeendelea kuimarisha mfumo wa uwajibikaji na ufuatiliaji katika Serikali za Mitaa ili kupata thamani stahiki ya fedha za umma. Vilevile,  Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, pamoja na mambo mengine, atakuwa na majukumu ya kusimamia masuala ya ukaguzi wa ndani katika Serikali za Mitaa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)      Kila mwaka Serikali inatumia sehemu kubwa ya bajeti yake katika ununuzi wa bidhaa na huduma mbalimbali. Hivyo, katika mwaka wa fedha 2011/12, Serikali imedhamiria kuweka mfumo wa ununuzi wa umma unaowezesha Serikali na Taasisi zake kupata bidhaa na huduma zenye ubora unaotakiwa kwa bei nzuri. Aidha, Serikali itaendelea na juhudi zake za kudhibiti matumizi yake kwa kusitisha ununuzi wa magari ya aina zote isipokuwa  kwa sababu maalum na kwa kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu. Vile vile, Serikali itasitisha ununuzi wa samani za ofisi hususan zile zinazoagizwa nje ya nchi; kupunguza malipo ya posho mbalimbali yasiyokuwa na tija; kupunguza matumizi ya mafuta kwa magari ya Serikali; kupunguza safari za ndani na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na ukubwa wa misafara; na pia kuendelea kupunguza uendeshaji wa semina na warsha isipokuwa pale inapobidi na kwa kibali cha Ofisi ya Waziri Mkuu; pamoja na kupunguza gharama za maonesho na sherehe mbalimbali.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">e)      Tangu kutungwa kwa Sheria ya Ununuzi wa Umma SURA 410 yamejitokeza mapungufu mbalimbali katika utekelezaji wa Sheria hii. Mapungufu hayo ni pamoja na yale yaliyobainishwa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya mwaka 2009/10, ambapo baadhi ya Idara na taasisi za Umma zimeonesha udhaifu katika utekelezaji wa Sheria hii. Aidha, ili kushughulikia mapungufu haya, Serikali iliwasilisha Muswada wa Sheria wenye mapendekezo ya marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma 2010 katika mkutano wa Bunge uliofanyika mwezi Aprili mwaka huu. Muswada huu ulijadiliwa na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi pamoja na wadau mbalimbali, ambapo ilitolewa michango  ya kina yenye lengo la kuboresha Muswada. Serikali kwa kuthamini michango hii, iliona ni vyema kuchapisha upya Muswada huu na baada ya kukamilika kwa zoezi hili, Serikali inatarajia kuuwasilisha Bungeni kwa ajili ya kujadiliwa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">f)        Kuendelea kuimarisha mtandao wa kompyuta wa mfumo wa usimamizi wa fedha (IFMIS) katika ngazi zote za Serikali kwa lengo la kudhibiti matumizi na kuzuia malimbikizo ya madeni; kutoa mafunzo kwa wahasibu juu ya uandaaji wa hesabu katika viwango vya kimataifa vya uhasibu katika sekta ya umma (IPSAS) ili viweze kuzingatiwa kikamilifu; kutumia utaratibu wa kufanya malipo kwa kutumia TISS na kuanza kutumia utaratibu huu wa malipo katika Ofisi za Hazina ndogo na Sekretarieti za Mikoa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">g)    Serikali itaendelea kudhibiti utoaji wa dhamana za Serikali kwa Wizara, Idara na Taasisi za Serikali. Aidha Wizara, Idara na Taasisi za Serikali zinatakiwa kuomba fedha za miradi mbalimbali kwa utaratibu wa kawaida wa kibajeti na sio kwa utaratibu wa kuomba dhamana. Hatua hii itasaidia kupunguza maombi ya dhamana ili kuepuka ongezeko la deni la Taifa lisilohimilika.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">64.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong><span style="color: black;"> katika mwaka wa fedha 2010/11, Bunge lilipitisha Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ya mwaka 2010 (Public Private Partnership Act Na.19 of 2010). Kupitia Sheria hii, Sekta Binafsi kwa kushirikiana na sekta ya umma itaweza kujenga na kuendesha miradi muhimu na kutoa huduma za kijamii na kiuchumi kama kilimo, miundombinu, viwanda, madini, elimu, afya, mazingira, TEHAMA, biashara, michezo na burudani; hivyo kutoa nafasi kwa Serikali kuelekeza nguvu katika vipaumbele vingine. Aidha, Sheria hii inakusudia kuwawezesha wananchi kupata huduma za uhakika, endelevu, na kwa gharama nafuu, hivyo kuinua uchumi wa nchi yetu kwa kasi kubwa.</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">65. </span><strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong><span style="color: black;">, miradi ya ubia itakuwa na faida nyingi kwa taifa letu kama ifuatavyo:</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">i)        Kuongeza ushindani katika soko la ajira na hivyo kuchochea ufanisi; </span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">ii)      Kupanuka kwa biashara na kuongeza wigo wa kodi ya mapato;</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">iii)     Kutumia raslimali-fedha za sekta Binafsi ambazo kwa kawaida ni nyingi na zinahitajika sana katika kuongeza mzunguko wa fedha katika uchumi wa nchi;</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">iv)     Kuipunguzia au kuiondolea mzigo Serikali wa kubeba mashirika yasiyo na ufanisi na kuelekeza nguvu katika vipaumbele vingine; na</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><span style="color: black;">v)      Wananchi kupata uhakika wa huduma na kwa gharama nafuu.</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">66.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong><span style="color: black;">Sheria ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi, imeanzisha vitengo viwili. Kitengo kimoja kiko Kituo cha Uwekezaji Tanzania ambacho kitahusika na kutangaza na kutoa vivutio kwa wawekezaji. Kitengo cha pili kiko Wizara ya Fedha ambacho kitahusika na kuifanyia tathmini miradi ya ubia na kuhakikisha kuwa miradi inayoanzishwa hapa nchini inajiendesha kibiashara, na kwa misingi ya thamani ya fedha, na haisababishi mzigo kwa Serikali. Serikali inakusudia kuvipatia vitengo hivi watalaam zaidi na wenye ujuzi wa fani ya Ubia kimataifa.</span><br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Majadiliano kati ya Wizara na Kamati za Kisekta za Bunge </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">67.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong><span style="color: black;">katika mchakato wa kupitisha bajeti katika baadhi ya kamati za Kisekta za Bunge, kulikuwa na maoni kwamba bajeti za baadhi ya Sekta hizo zilizopangwa kwa mwaka 2011/12, ni ndogo na kutoa ushauri kwamba ziongezwe. Serikali imetafakari hayo yote na imeazimia kufanya marekebisho kwa baadhi ya mafungu ya bajeti kwa kuzingatia upatikanaji wa mapato mapya. Marekebisho hayo yatawasilishwa bungeni kwa ajili ya kuidhinishwa.</span><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Maslahi ya Watumishi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">68.   <em><strong>Mheshimiwa Spika, </strong>Serikali</em> itaendelea kuboresha maslahi ya watumishi kulingana na uwezo wa mapato yake kwa lengo la kuwawezesha kumudu gharama za maisha. Maeneo ambayo yatatiliwa mkazo ni pamoja na malipo ya mshahara na likizo kwa wakati, kuhakikisha watumishi wanalipwa mafao yao mara baada ya <span style="color: black;">kustaafu</span>, <span style="color: black;">pamoja</span> na pensheni zao za kila mwezi. Sambamba na hayo, Serikali itatoa mafunzo kwa maafisa wa Hazina ndogo na wa mahakama zote zinazoshughulikia mirathi, na kuweka mikakati ya pamoja kuwaondolea kero wasimamizi na warithi wa mali ya marehemu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Usimamizi wa Mashirika ya Umma</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">69.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>katika mwaka wa fedha wa 2011/12, <span style="color: black;">Ofisi</span> ya <span style="color: black;">Msajili</span> wa Hazina, pamoja na mambo mengine, imelenga kufanya yafuatayo katika usimamizi wa wakala, taasisi na mashirika ya umma:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)            Kuwezesha wakala, taasisi na mashirika ya umma kuingia mikataba ya utendaji na Wizara mama;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Kutekeleza ukaguzi wa kimenejimenti kwa wakala, taasisi na mashirika ya umma;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Kuuandaa mfumo wa uperembaji na uhakiki wa menejimenti na Bodi za wakala, taasisi na mashirika ya umma;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Kuongeza makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi kwa kuzingatia Sheria ya Fedha Na. 13 ya mwaka 2008 pamoja na Waraka wa Hazina Na. 8 wa 2008/09;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Kuunda Mfuko wa Uwekezaji kwa ajili ya mitaji ya wakala, taasisi na mashirika ya umma;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)         Kutathmini mfumo wa uwiano wa mishahara ya wakala, taasisi na mashirika ya umma;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii)       Kuratibu uperembaji na uhakiki wa mashirika yaliyobinafsishwa; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii)     Kuendelelea kushauri Serikali juu ya uwekezaji katika wakala, taasisi na mashirika ya umma.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MASUALA YANAYOHUSU SERIKALI ZA MITAA:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">70.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali itaendelea kuboresha utendaji na uwajibikaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kupitia Programu ya Maboresho ya Serikali za Mitaa (LGRP II) ili kuwawezesha Wakurugenzi kusimamia majukumu yao kikamilifu. Serikali pia itawajengea uwezo Waheshimiwa Madiwani ili wasimamie utendaji wa Halmashauri zao na kuhakikisha nidhamu ya kazi inaimarishwa kulingana na sheria, taratibu na kanuni za utumishi wa umma. Aidha, kamati za kupambana na rushwa pamoja na kamati za maadili za Halmashauri zitaimarishwa ili kusimamia nidhamu ya watumishi wa kada zote na kuhakikisha utendaji wao unazingatia maslahi ya taifa. Vile vile, Serikali itaimarisha mfumo wa tathimini ya utendaji kazi &#8211; OPRAS kwa watendaji wa Halmashauri na kufanya mapitio ya vigezo vya kupima utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri (Peformance Assessment Criteria) ili kuongeza tija na ufanisi wa watendaji wa Serikali za Mitaa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">71.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em><br />
</strong>Serikali za Mitaa zitaendelea kukusanya mapato kutoka katika vyanzo vyake, ambapo jumla ya shilingi bilioni 350.5 zinakadiriwa kupatikana kutoka vyanzo hivyo. Kiwango hicho cha mapato ni sawa na asilimia 5.2 ya mapato ya ndani yanayokusanywa na Serikali Kuu. Kiwango hicho kinaonesha juhudi zitakazochukuliwa na Serikali kuboresha ukusanyaji ikilinganishwa na asilimia 2.9 ya mapato ya ndani yanayotarajiwa mwaka 2010/11. Serikali itaendeleza juhudi za ukusanyaji mapato katika ngazi ya Halmashauri, ili kuhakikisha kwamba mapato hayo yanawiana na fursa zilizopo. Baadhi ya hatua zitakazochukuliwa, ni pamoja na: kuendelea kuboresha mifumo ya ukusanyaji na usimamizi wa mapato kutoka vyanzo vya Halmashauri; kupitia upya vyanzo vya Halmashauri vilivyofutwa; kupitia mfumo wa kodi ya majengo katika majiji, manispaa, miji, wilaya na miji midogo; na kuainisha mianya ya upotevu wa mapato na vyanzo mbadala vya kuongeza mapato ya Serikali za Mitaa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">72.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em><br />
</strong>kwa upande wa matumizi, Serikali itaendelea kuboresha uratibu na usimamizi wa matumizi ya Halmashauri. Baadhi ya hatua zitakazotekelezwa ni pamoja na kuziwezesha na kuziimarisha Idara za Mipango, uhasibu na ukaguzi wa ndani ili kuongeza uwajibikaji, usimamizi na udhibiti wa fedha katika Halmashauri; kuboresha na kupanua miundombinu ya barabara, maji na umeme; kuendelea kutekeleza sera ya ugatuaji wa madaraka kwa wananchi kwa kujenga uwezo wa Halmashauri katika kusimamia utekelezaji wa majukumu yao; na kuendelea kutekeleza program mbalimbali za maboresho.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ADA, TOZO NA HATUA NYINGINE ZA MAPATO:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">73.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Serikali itaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera na kiutawala ili kuongeza mapato ya kodi na yasiyo ya kodi, na kupanua wigo wa mapato katika maeneo mengine. Aidha, Serikali itaendelea kufanya mapitio ya sheria mbalimbali zinazotoa misamaha ya kodi kwa lengo la kudhibiti na kupunguza misamaha hiyo; kusimamia Mpango wa tatu wa Miaka Mitano wa Maboresho ya utendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA); Kuendelea kuingiza Sekta isiyo rasmi kwenye mfumo wa kodi; kupitia upya mfumo wa ukusanyaji wa kodi ya majengo katika majiji, manispaa, miji, wilaya na miji midogo; na kufanya mapitio ya vyanzo vya mapato na mfumo wa ukusanyaji katika Serikali za Mitaa ili kuongeza mapato.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">74.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> marekebisho ya mfumo wa kodi yanahusu sheria zifuatazo:-<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)  Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA  148;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)  Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)  Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)  Sheria ya Elimu na  Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">e)  Sheria ya Ushuru wa Stempu, SURA 189;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">f)   Sheria ya ushuru wa Mafuta ya Petroli, SURA 220;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">g)  Sheria ya Leseni za Biashara, SURA 208;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">h)  Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa, SURA 290;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)    Sheria ya Usalama Barabarani, SURA 168.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">j)    Marekebisho madogo madogo katika baadhi ya sheria za kodi;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">k)  Marekebisho ya Ada na Tozo Mbalimbali za Wizara, Mikoa na Idara zinazojitegemea;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">l)    Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ya mwaka 2004;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>A.</strong><br />
<strong>Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">75.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> ili kuhamasisha uwekezaji na kuboresha uzalishaji katika Sekta za Kilimo, Mifugo, Viwanda, Biashara na Utalii na kuziwezesha kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa, napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148 kama ifuatavyo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye Vipuri vya Zana za kilimo zifuatazo:- fyekeo (threshers), mashine za kukausha na kukoboa mpunga (rice dryers and mills), mashine za kupandia mbegu (planters), na matrekta ya kukokota kwa mkono (power tillers).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye chakula cha kuku (NASCOR Pellet Feed). Hatua hii ina lengo la kuhamasisha uwekezaji katika ufugaji wa kuku hapa nchini;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)  Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye nyuzi (Nylon Fishing Twine) zinazotumika kutengeneza nyavu za kuvulia samaki. Hatua hii inalenga katika kupunguza gharama za uzalishaji na kuendeleza sekta ya uvuvi hapa nchini;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)  Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani  kwenye vipuri vya mashine za kunyunyiza na kutifua udongo (sprayers and harrows) na mashine za kupanda nafaka (grain conveyors); na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)    Kuanzisha utaratibu wa marejesho ya Kodi kwenye mauzo ya rejareja kwa bidhaa za ndani zinazouzwa kwa abiria ambao sio raia wa Tanzania wanaosafiri nje ya nchi. Utaratibu huu utaanza kutekelezwa kwa kuanzia na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa mauzo ya thamani ya shilingi 400,000 na zaidi. Utekelezaji wa utaratibu huu mpya utaanza  rasmi tarehe 1 Januari 2012.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">76.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza pia kufanya marekebisho katika Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148 kwa nia ya kuongeza mapato na kuhamasisha Mashirika na Taasisi mbalimbali ziweze kuchangia katika juhudi za serikali za kuboresha huduma katika sekta ya elimu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)  Kuondoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye kuuza na kupangisha majengo ya kuishi ya nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii) Kuondoa unafuu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani uliokuwa unatolewa kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (Non Governmental Organizations). Hatua hii haitazihusu Taasisi za Kidini (Religious Organizations); na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii)    Kutoa unafuu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa Mashirika yasiyo ya kiserikali (Non Governmental Organizations) kwa vifaa vya matumizi binafsi ya kawaida (household consumables) kama vile vyakula, mavazi, na vifaa kama sabuni ambavyo vinatolewa msaada kwenye vituo mahsusi vya kulelea watoto yatima na shule.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hatua hizi katika Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa pamoja zitaongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi <strong>milioni 71,518.9.</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>B.</strong> <strong> Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">77.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho ya sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332 kama ifuatavyo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Kusamehe kodi ya mapato kwenye posho wanazolipwa wafanyakazi wa Serikali na wanaofanya kazi kwenye Taasisi zinazopata ruzuku kutoka kwenye bajeti ya Serikali..<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Kufuta Kodi ya Zuio kwa usafirishaji wa samaki nje ya nchi kwa kutumia ndege za nje. Hatua hii inalenga katika kuhamasisha mauzo ya samaki nje ya nchi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hatua hizi za Kodi ya Mapato zitapunguza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi <strong>milioni 20,287.5</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>C.</strong><br />
<strong> Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">78.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147 kama ifuatavyo:-<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)         Kupunguza ushuru wa bidhaa kwenye mafuta mazito ya kuendeshea mitambo kutoka shilingi 80 hadi shilingi 40 kwa lita  ili  kupunguza gharama za uzalishaji wa bidhaa hapa nchini;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)        Kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 50 badala ya asilimia 120 kwenye mifuko ya plastiki za microns 30 na zaidi yaani Polymers of ethylene na nyinginezo za (HS. Code 3923.2900).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)      Kurekebisha kwa asilimia 10 viwango vya Ushuru wa bidhaa mbalimbali isipokuwa zile za mafuta ya Petroli kama ifuatavyo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)      Vinywaji baridi kutoka shilingi 63 kwa lita hadi shilingi 69 kwa lita;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)      Bia inayotengenezwa na nafaka ya hapa nchini na ambayo haijaoteshwa, kutoka shilingi 226 kwa lita hadi shilingi 249 kwa lita;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)      Bia nyingine zote, kutoka shilingi 382 kwa lita hadi shilingi 420 kwa lita;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)      Mvinyo uliotengenezwa kwa zabibu inayozalishwa nje ya nchi kwa kiwango kinachozidi asilimia 25, kutoka shilingi 1,223 kwa lita hadi shilingi 1,345  kwa lita;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">e)      Mvinyo uliotengenezwa kwa Zabibu inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango kinachozidi asilimia 75 utatozwa shilingi 420 kwa lita; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">f)       Vinywaji vikali, kutoka shilingi 1,812 kwa lita hadi shilingi 1,993 kwa lita.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(iv) Kurekebisha viwango vya Ushuru wa bidhaa kwenye sigara kama ifuatavyo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)        Sigara zisizo na kichungi na zinazotengenezwa kutokana na tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha angalau asilimia 75, kutoka shilingi 6,209  hadi shilingi 6,830 kwa sigara elfu moja;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)        Sigara zenye kichungi na zinazotengenezwa kutokana na tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha angalau asilimia 75, kutoka shilingi 14,649 hadi shilingi 16,114;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)        Sigara nyingine zenye sifa tofauti na (a) na (b) kutoka shilingi 26,604  hadi shilingi 29,264  kwa sigara elfu moja;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)         Tumbaku ambayo iko tayari kutengeneza sigara (cut filler) kutoka shilingi 13,436  hadi shilingi 14,780 kwa kilo; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">e)    Ushuru wa (Cigar) unabaki asilimia 30.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Hatua hizi katika Ushuru wa Bidhaa kwa pamoja zinatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi <strong>milioni 99,521.5</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>D.</strong><br />
<strong>Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">79.    <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho kwenye sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82 kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Kufanya marekebisho katika mgawanyo wa mapato yatokanayo na tozo ya kuendeleza ufundi stadi (Skills Development Levy) ya asilimia 6 ili asilimia 4 zipelekwe kwenye Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, na asilimia 2 zipelekwe Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Vocational Education and Training Authority &#8211; &#8220;VETA&#8221;). Lengo la hatua hii ni kuongeza fedha za mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hatua hii katika Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi haitarajiwi kupunguza wala kuongeza mapato ya Serikali.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>E.</strong> <strong>Sheria ya Ushuru wa Stempu, SURA 189</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">80.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho ya Ushuru wa Stempu, SURA 189 kama ifuatavyo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)                 Kusamehe ushuru wa stempu wakati umiliki wa mali (Asset) unapohamishiwa katika chombo maalum (Kampuni) cha kutekeleza na kusimamia uzalishaji wa kipato (Special Purpose Vehicle &#8220;SPV&#8221;) kwa madhumuni ya kutoa dhamana zinazotegemea hiyo mali ambayo umiliki wake umehamishwa. Hatua hii inalenga katika kuhamasisha miradi ya uwekezaji inayohitaji fedha nyingi, mfano; miradi ya barabara, madaraja, nishati na maji. Aidha, ni njia mbadala ya mabenki ya upatikanaji wa fedha za kugharamia miradi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> Hatua hii ya ushuru wa stempu haitapunguza mapato ya Serikali bali inalenga katika kuhamasisha utunzaji wa akiba na kuchochea uwekezaji (Savings Mobilization and Investment Promotion).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>F.</strong> <strong> Sheria ya Ushuru wa Mafuta ya Petroli, SURA 220 </strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> 81.  <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Ushuru wa mafuta ya petroli, SURA 220 kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Kusamehe Ushuru wa Mafuta ya Petroli unaotozwa kwenye mafuta yanayotumika kwenye kuendesha meli, na vifaa vingine vinavyotumika katika utafiti wa mafuta na gesi na msamaha huu utatolewa kupitia Tangazo la Serikali. Aidha, maombi ya msamaha yatahakikiwa na kupitishwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kabla ya kuwasilishwa Wizara ya Fedha. Hatua hii inalenga katika kutoa unafuu wa gharama kwa Kampuni zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Ili kutatua tatizo la ucheleweshaji wa marejesho ya kodi (tax refunds) kwenye mafuta yanayonunuliwa na Kampuni za madini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaanzisha utaratibu wa kuweka kiasi cha fedha kwenye Akaunti maalum (escrow account) ambacho kinawiana na kiwango cha mahitaji ya mafuta kwa mwezi. Aidha Kampuni itaruhusiwa kununua mafuta kwenye matanki ya Kampuni za waagizaji wa mafuta bila ya kulipia kodi kwa kiwango cha fedha ilichoweka kwenye akaunti. Endapo mahitaji ya mafuta kwa mwezi yatakuwa makubwa zaidi ya kiwango  ilichoweka kwenye akaunti, Kampuni hiyo itawajibika kuongeza fedha za ziada zenye kukidhi mahitaji yake. Hatua hii inatarajiwa kutatua tatizo la ucheleweshaji wa marejesho ya kodi iliyolipwa kwenye mafuta.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaandaa utaratibu wa utekelezaji utakaohusisha kampuni za madini na kampuni za mafuta.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hatua hizi kwa pamoja zitapunguza mapato ya Serikali kwa shilingi <strong>milioni 2,007.6</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>G.</strong><br />
<strong>Sheria ya Leseni ya Biashara, SURA 208</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">82.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Leseni ya Biashara, SURA 208 ili kutoza ada ya leseni ya biashara kwa viwango na maeneo yafuatayo: -<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)  Mamlaka za Miji (Majiji, Manispaa na Miji) zitoze shilingi 50,000 kwa mwaka kwa kila aina ya biashara inayostahili kupewa leseni ya biashara (isipokuwa ya vileo) inayoendeshwa katika maeneo ya mamlaka hizo.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)  Halmashauri za Wilaya zitoze na kukusanya Ada ya leseni ya biashara ya shilingi 30,000 kwa mwaka kwa biashara zinazoendeshwa katika maeneo ya miji midogo na vituo vya biashara.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)  Halmashauri za vijiji zitoze na kukusanya shilingi 10,000 kwa mwaka kwa kila biashara inayoendeshwa katika maeneo yake.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Lengo la hatua hii ni kuimarisha usimamizi wa Kanuni za biashara hapa nchini na kuwianisha ukuaji wa biashara na mapato yanayokusanywa. Pia itaongeza mapato kwa Serikali za Mitaa na kuongeza uwezo katika kuhimili mahitaji yao. Aidha, utekelezaji wa hatua hii unazingatia Sera ya Serikali ya ugatuaji madaraka kwa wananchi (Decentralization by Devolution &#8220;D by D&#8221;).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>H.</strong> <strong>Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa,   SURA 290</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">83.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa SURA 290 ili kuziwezesha Serikali za Mitaa kutoza ada ya leseni ya biashara kwa viwango na maeneo yaliyoainishwa kwenye sheria ya leseni ya biashara.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>I.</strong> <strong>Sheria ya Usalama Barabarani, SURA168</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">84.    <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura, 168 ili kuongeza ukomo wa kiwango cha faini inayotozwa kwa kufanya makosa wakati wa uendeshaji gari barabarani (Traffic Notification Fee) kutoka shilingi 20,000 hadi shilingi 300,000.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>J.</strong> <strong>Marekebisho madogo madogo katika baadhi ya Sheria za Kodi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">85.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho mengine madogo madogo yasiyo ya kisera katika Sheria mbalimbali za kodi ili ziwe sanjari na azma ya kurahisisha utekelezaji wake.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>K.</strong><br />
<strong>Marekebisho ya Ada na Tozo Mbalimbali za Wizara, Mikoa na Idara zinazojitegemea.</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">86.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> napendekeza kufanya marekebisho ya viwango vya ada na tozo mbali mbali zinazotozwa na Wizara, Mikoa na Idara zinazojitegemea ili kuvihuisha kulingana na hali halisi ya ukuaji wa uchumi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>L.</strong> <strong>Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ya mwaka 2004</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">87.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> kikao cha maandalizi ya Bajeti cha Mawaziri wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Pre-Budget Consultations of EAC Ministers for Finance) kilichofanyika tarehe 7 Mei 2011 jijini Kampala, Uganda; kilipendekeza marekebisho ya viwango vya Ushuru wa pamoja wa Forodha (EAC Common External Tariff &#8220;CET&#8221;) na Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Customs Management Act, 2004). Marekebisho hayo yanalenga katika kukuza Sekta za Viwanda, Usafirishaji, Mifugo, Biashara na Utalii. Aidha yanalenga pia katika kuboresha afya ya jamii na kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">88.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> maeneo yanayopendekezwa kufanyiwa marekebisho kwenye viwango vya Ushuru wa Pamoja wa Forodha (EAC Common External Tariff) ni yafuatayo:-<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Tanzania iruhusiwe kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 35 kwenye ngano inayotambuliwa katika HS Code 1001.90.20 na HS Code 1001.90.90 kwa muda wa mwaka mmoja. Lengo la hatua hii ni kupunguza gharama za uingizaji nchini wa bidhaa hiyo na kuwezesha walaji kupata vyakula kwa bei nafuu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty remission) kwenye malighafi ya kutengeneza sabuni (Palm Stearin, RBD) inayotambuliwa katika HS Code 1511.90.40 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Hatua hii inalenga kutoa unafuu wa kodi kwenye viwanda vidogo na vya kati vya kutengeneza sabuni hapa nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)    Kutenganisha malighafi zinazotambulika katika HS Code 2710.19.59 ili kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty remission) kwenye malighafi za kutengeneza manukato na sabuni (white oil).  Hatua hii inalenga katika kupunguza gharama za uzalishaji viwandani.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)    Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty remission) kwenye malighafi za kutengeneza maganda ya viberiti (duplex boards) yanayotambuliwa katika HS Code 4810.92.00. Hatua hii inalenga katika kupunguza gharama za uzalishaji na kulinda Viwanda vya Viberiti kutokana na ushindani wa viberiti vinavyoagizwa nje.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> v)  Kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 0 kwenye waya za chuma ambazo zimenakisiwa na zink (Galvanized Plated/Coated Wire), zinazotambuliwa katika HS Code 7217.20.00 kwa kuwa waya ambazo hazikunakisiwa (Non Plated/Coated Wire) hutozwa ushuru wa forodha wa asilimia 10. Lengo la hatua hii ni kuwianisha ushuru wa malighafi inayotumika kuzalisha bidhaa hii ili iendane na kanuni/taratibu za kutoza ushuru zinazozingatia viwango vya usindikaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> vi)  Kupunguza ushuru wa forodha kwenye mifuko ya plastiki ya kuhifadhia malighafi za matunda (aseptic bags) kutoka asilimia 25 hadi asilimia 10 inayotambuliwa katika HS Code 3923.29.00 kwa kipindi cha mwaka mmoja ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuhamasisha usindikaji wa mazao ya matunda hapa nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)         Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty remission) kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenye shaba ghafi (copper Cathodes) inayotambuliwa katika HS Code 7403.11.00. Hivi sasa bidhaa hii inatozwa ushuru wa asilimia 10 ambapo shaba iliyotengenezwa kwa ukamilifu (copper alloys/refined copper) hutozwa ushuru wa asilimia 0, ambapo ni kinyume na matakwa ya sheria ya ushuru wa forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka 2004. Lengo la hatua hii ni kuwianisha ushuru wa malighafi inayotumika kuzalisha bidhaa hii ili iendane na kanuni/taratibu za kutoza ushuru zinazozingatia viwango vya usindikaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">viii) Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha (duty remission) kwa waunganishaji wa majokofu (refrigerators and freezers) ili walipe ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye vifaa vya kuunganisha majokofu hayo (component parts and inputs for assemblers of refrigerators and freezers). Hatua hii inalenga katika kuhamasisha uzalishaji wa bidhaa hizo na kuongeza ajira hasa kwa vijana.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> ix)  Kutenganisha malighafi zinazotambulika katika HS Code 2309.90.00 ili kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye malighafi za kutengeneza vyakula vya mifugo (premixes). Lengo ni kutoa unafuu katika bei za chakula cha mifugo na kuhamasisha ufugaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> x)   Kuendelea kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 25 yanayotambuliwa katika HS Code 8702.10.99 na HS Code 8702.90.99.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> xi) Kuendelea kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye magari ya mizigo yenye uwezo kati ya tani 5 na tani 20 yanayotambuliwa katika HS Code 8704.22.90 kwa muda wa mwaka mmoja.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye magari ya mizigo yenye uwezo zaidi ya tani 20 yanayotambuliwa katika HS Code 8704.23.90 kwa muda wa mwaka mmoja.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xiii) Kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye mabasi yatakayoagizwa kwa ajili ya mradi wa mabasi wa jiji la Dar es Salaam yanayotambuliwa katika HS Code 8702.10.99 na HS Code 8702.90.99 kwa muda wa mwaka mmoja.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(xiv) Kutenganisha bidhaa zinazotambulika katika HS Code 8703.90.10 ili kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye pikipiki maalumu za kubeba wagonjwa (motorcycle ambulances). Hatua hii inalenga kuimarisha utoaji wa huduma ya kusafirisha wagonjwa hasa katika maeneo ya vijijini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> xv)  Kutenganisha virutubisho vya chakula vinavyotambulika katika HS Code 2106.90.90 ili kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye virutubisho vya vyakula vya binadamu (food supplements) ili kuendana na Sera ya Serikali ya kuboresha afya za wananchi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">xvi) Kutenganisha bidhaa zinazotambulika katika HS Code 9616.10.00 ili kutoza ushuru wa forodha wa asilimia 10 badala ya asilimia 25 kwenye malighafi za kutengeneza vifaa vya kunyunyizia (scent sprays and other similar toilet sprays and mounts and heads).<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(xvii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye matrekta ya kukokota mizigo yanayotambuliwa katika HS Code 8701.20.90 kwa muda wa mwaka mmoja. Hatua hii inalenga katika kuboresha usafirishaji mizigo na kuongeza ufanisi katika Sekta ya usafirishaji.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(xviii) Kuendelea kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye migahawa ya Majeshi ya Ulinzi kwa kipindi cha mwaka mmoja.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">89.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> Mawaziri wa Fedha walikubaliana kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Customs Management Act, 2004) kama ifuatavyo:-<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)     Kufanya marekebisho katika kifungu cha pili (2) cha Jedwali la Tano la Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kuliwezesha Jeshi la Polisi kunufaika na msamaha wa ushuru wa forodha kama linavyonufaika Jeshi la Ulinzi. Hatua hii inalenga katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)    Kufanya marekebisho katika Jedwali la Tano (5) la Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa nia ya kutekeleza yafuatayo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">a)  Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye mitego ya mbung&#8217;o (tsetse fly traps). Hatua hii inalenga katika kuchochea ukuaji wa kilimo na kuboresha mazingira ya kuvutia utalii hapa nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">b)  Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye vifaa vya kudhibiti usalama (security equipments: &#8211; hand held metal detectors, walk through metal detectors, CCTV cameras, bomb detectors and undercarriage mirrors). Hatua hii inalenga katika kuboresha usalama wa raia na mali zao.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">c)  Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye magari yanayoendeshwa kwa kutumia beteri (battery operated vehicles/Golf carts). Hatua hii itaimarisha huduma za kitalii na huduma za afya kwani magari haya yanaweza kutumika kubeba wagonjwa ndani ya hospitali na kubeba wageni na mizigo katika maeneo ya hoteli.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">d)  Kutoa msamaha wa Ushuru wa forodha kwenye magari yanayotumika kubeba abiria katika viwanja vya ndege (Apron buses) ili kuboresha huduma kwa wasafiri na kuweka mazingira yenye kuvutia wageni na hasa watalii.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">e)  Kutoa msamaha wa ushuru wa forodha kwenye malighafi za kutengeneza vifaa vinavyotumia mionzi ya jua (inputs for manufacture of solar panels) kwa lengo la kuhamasisha uzalishaji wa vifaa hivyo hapa nchini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">f)   Kupunguza kiwango cha ada ya ukaguzi (Destination Inspection Fee) kinachotozwa kwenye bidhaa za biashara zinazotoka nje kutoka asilimia 1.2 ya thamani ya huduma ya kuzifikisha hadi bandarini (FOB) na kuwa asilimia 0.6. Hatua hii inalenga katika kupunguza muda wa kuondoa mizigo bandarini na kupunguza gharama za uingizaji bidhaa na hivyo kupunguza bei za bidhaa kutoka nje.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hatua hizi kwa pamoja zinatarajiwa kupunguza mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi <strong>milioni 4,669.7</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>M.  Tarehe ya Kuanza Kutekeleza Hatua Mpya       za Kodi</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">90.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> hatua hizi za kodi zinazopendekezwa zitaanza kutekelezwa tarehe 1 Julai, 2011, isipokuwa pale ilipoelezwa vinginevyo.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MFUMO WA BAJETI KWA MWAKA 2011/12:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">91.  <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, kwa kuzingatia sera za uchumi pamoja na misingi na sera za bajeti, SURAya Bajeti inaonesha kwamba jumla ya shilingi bilioni 13,525.9 zinahitajika kutumika katika kipindi cha 2011/12. Jumla ya mapato yanayotarajiwa ni shilingi bilioni 13,525.9. Kati ya mapato hayo, Serikali inalenga kukusanya mapato ya kodi na yasiyo ya kodi ya jumla ya shilingi bilioni 6,775.9, sawa na asilimia 17.2 ya Pato la Taifa. Aidha, mapato kutoka vyanzo vya Halmashauri ni shilingi bilioni 350.5. Kadhalika, Serikali inategemea kukopa kiasi cha shilingi bilioni 2,475.9 kutoka vyanzo vya ndani na nje. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 810.9 ni kwa ajili ya kulipia hatifungani na dhamana za Serikali zinazoiva, shilingi bilioni 393.4 ni mikopo kutokana na mauzo ya hatifungani za Serikali na shilingi bilioni 1,271.6 zitatokana na mikopo yenye masharti ya kibiashara.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"> 92. <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, washirika wa Maendeleo wanatarajiwa kuendelea kuchangia bajeti kupitia misaada na mikopo ya jumla ya shilingi bilioni 3,923.6. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 869.4 ni misaada na mikopo ya kibajeti na shilingi bilioni 3,054.1 ni misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ikijumuisha mifuko ya kisekta.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">93.  <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, kwa upande wa matumizi, katika mwaka 2011/12 Serikali imepanga kutumia jumla ya shilingi bilioni 13,525.9 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo. Kati ya fedha hizo, kiasi cha shilingi bilioni 8,600.3 kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, ikijumuisha shilingi bilioni 3,270.3 kwa ajili ya mishahara ya watumishi<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">wa Serikali, taasisi na wakala za Serikali na shilingi bilioni 1,910.4 kwa ajili ya Mfuko Mkuu wa Serikali. Aidha, jumla ya shilingi bilioni 4,925.6 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ambapo shilingi bilioni 1,871.5 ni fedha za ndani na shilingi bilioni 3,054.1 ni fedha za nje.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">94.  <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, kutokana na maelezo ya mfumo wa Bajeti yaliyotolewa hapo juu, Sura ya Bajeti kwa mwaka 2011/12 itakuwa kama ifuatavyo:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>Mapato                                                  Shilingi milioni</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>A: </strong>Mapato ya Ndani                                            6,775,952<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(i)    Mapato ya Kodi (TRA)        6,228,836<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(ii)  Mapato Yasiyo ya Kodi       547,116<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>B: </strong>Mapato ya Halmashauri                                    350,496<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>C:</strong> Mikopo na Misaada ya Nje                            3,923,551<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>D:</strong> Mikopo ya Ndani                                              1,204,262<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>E:</strong> Mikopo ya Masharti ya Kibiashara                  1,271,634       <strong>JUMLA YA MAPATO YOTE                 <span style="text-decoration: underline;">13,525,895</span></strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>F: </strong>Matumizi ya Kawaida                                     8,600,287<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(i)    Mfuko Mkuu wa Serikali   1,910,376<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(ii)  Mishahara                           3,270,292<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(iii)Matumizi Mengineyo           3,419,619<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Wizara            2,727,472<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mikoa                 49,981<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Halmashauri     642,166<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>G:</strong> Matumizi ya Maendeleo                                4,924,608<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(i)  Fedha za Ndani                     1,871,471<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">(ii)Fedha za Nje                         3,054,137<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>JUMLA YA MATUMIZI YOTE                   <span style="text-decoration: underline;">13,525,895</span></strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>HITIMISHO:</strong><br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">95.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong> Bajeti ya mwaka 2011/12 ni mwendelezo wa juhudi za Serikali za kuwaletea maendeleo wananchi. Bajeti hii imezingatia:<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">i)        Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">ii)      Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Awamu ya Pili (MKUKUTA II);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iii)     Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">iv)     Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015;<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">v)      Mkakati wa Pamoja wa Misaada Tanzania (MPAMITA);<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vi)     Mkakati wa Taifa wa Madeni; na<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">vii)   Sera za Kijumla za Uchumi kwa mwaka 2011/12.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">96.   <strong><em>Mheshimiwa Spika,</em></strong> ili kufikia malengo hayo mapema zaidi, kila mwananchi anapaswa kujituma na kushiriki kikamilifu, kwa kutumia fursa zilizopo za kuzalisha mali na kujiongezea kipato. Ni matumaini yangu kuwa utekelezaji sahihi wa Bajeti hii utaiwezesha Serikali kuwaletea wananchi maendeleo tunayokusudia. Bajeti ya mwaka 2011/12 imeandaliwa katika kipindi ambacho nchi yetu inakabiliwa na changamoto ya kiuchumi ikiwemo upungufu wa umeme na ongezeko la bei za mafuta katika soko la dunia. Hali hii imetishia ustawi wa uchumi na uwezo wa kukusanya mapato ya ndani. Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto hizi, ikiwa ni pamoja na kuharakisha miradi ya uzalishaji umeme na uanzishwaji wa hifadhi kubwa ya mafuta yanayoagizwa. Wakati Serikali ikichukua hatua hizi, wananchi wanaombwa kuanza kutumia kwa uangalifu vyanzo hivyo vya nishati, ili kupunguza gharama. Hivyo, ni matumaini ya Serikali kwamba bajeti ya mwaka 2011/12 itatekelezwa kama ilivyopangwa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">97.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>Serikali ya Awamu ya Nne, imedhamiria kwa dhati kuendeleza misingi imara ya kujenga uwezo katika kukusanya mapato ya ndani. Hili litawezekana kwa kuwekeza katika vichocheo vya ukuaji uchumi ili kuongeza wigo wa mapato ya ndani kwa lengo la kutuongezea uwezo wa kujitegemea. Kama nilivyoeleza hapo awali, maeneo yafuatayo ya kimkakati yatazingatiwa katika mgao wa rasilimali katika muda wa kati: nishati ya umeme; reli, bandari; TEHAMA; maji; kilimo na kulinda mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya elimu na afya. Hivyo basi, hatuna budi kila mmoja wetu na kwa pamoja kuongeza ubunifu katika uzalishaji wenye tija utakaoongeza Pato la Taifa na hatimaye kuondokana na umaskini.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">98.   <strong><em>Mheshimiwa Spika, </em></strong>bajeti hii imezingatia ushauri wa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Fedha na Uchumi na Kamati nyingine za Kisekta. Pia, imezingatia mawazo na mapendekezo ya wadau mbalimbali, wakiwemo wafanyabiashara, wenye viwanda, sekta ya kilimo, utalii na wengine wengi. Nawashukuru wote hao kwa mawazo na ushauri wao.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">99.   <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, nachukua fursa hii kuwashukuru wapiga kura wangu wote wa Jimbo la Kilosa kwa kunichagua tena kuwa Mbunge wao kwa kipindi kingine cha  miaka mitano. Napenda kuwaahidi kwamba tutashirikiana pamoja kuliletea maendeleo Jimbo letu la Kilosa. Ninaamini kwamba sitawaangusha. Mwisho nachukua pia nafasi hii kumshukuru kipekee mke wangu mpendwa kwa kuwa msaada mkubwa kwangu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">100.      <strong><em>Mheshimiwa Spika</em></strong>, kama nilivyoeleza awali Serikali inatambua makali ya maisha yanayowakabili wananchi. Kuna tatizo la upungufu wa umeme, kuongezeka kwa bei za mafuta ya petroli na gharama za usafiri, tatizo la ajira na haja ya kuboresha hifadhi yetu ya chakula.  Serikali sikivu ya Chama cha Mapinduzi imejipanga kikamilifu kukabiliana na changamoto hizo.  Ni matumaini ya Serikali kwamba hatua za kukabiliana na changamoto hizo nilizozieleza zitasaidia kuondoa kero hizo na hivyo kuboresha maisha ya wananchi.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;">
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">101.    <em><strong>Mheshimiwa Spika,</strong><br />
</em>naomba kutoa hoja.<br />
</span></p>
<p style="text-align: justify;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><br />
</span></p>
<p>
<!--START ADSENSE -->
<div>
<script type="text/javascript"><!--
google_ad_client = "pub-0374983608542503";
google_ad_width = 336;
google_ad_height = 280;
google_ad_format = "336x280_as";
google_ad_type = "text";
google_ad_channel = "";
google_color_border = "FFFFFF";
google_color_link = "55870a";
google_color_bg = "FFFFFF";
google_color_text = "000000";
google_color_url = "000000";
//--></script>
<script type="text/javascript"
  src="http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/show_ads.js">
</script>
</div>
<!--END ADSENSE -->
</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;t=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;notes=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;Title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-11584'), event, 'post-11584')" onMouseOver="more(this,'post-11584')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-11584')" id="sociable-post-11584" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;t=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;bodytext=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;annotation=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;t=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;title=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;selection=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F08%2Fhotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012%2F&amp;t=HOTUBA%20YA%20WAZIRI%20WA%20FEDHA%2CMH.MUSTAFA%20HAIDI%20MKULO%20AKIWASILISHA%20BUNGENI%20MAPENDEKEZO%20YA%20SERIKALI%20KUHUSU%20MAKADIRIO%20NA%20MAPATO%20NA%20MATUMIZI%20KWA%20MWAKA%202011%2F2012&amp;s=%0D%0AJAMHURI%20YA%20MUUNGANO%20WA%20TANZANIA%0D%0A%0D%0AWIZARA%20YA%20FEDHA%0D%0A%0D%0A2011%2F2012%0D%0A%0D%0A%20UTANGULIZI%3A%0D%0A%0D%0A1.%20Mheshimiwa%20Spika%2C%20naomba%20kutoa%20hoja%20kwamba%20Bunge%20lako%20Tukufu%20likubali%20kujadili%20na%20kupitisha%20makadirio%20ya%20mapato%20na%20matumizi%20ya%20Serikali%20kwa%20mwaka%20wa%20fedha%202011%2F20"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-11584',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-11584',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA,MH.MUSTAFA HAIDI MKULO AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO NA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2011/2012 - http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/08/hotuba-ya-waziri-wa-fedhamh-mustafa-haidi-mkulo-akiwasilisha-bungeni-mapendekezo-ya-serikali-kuhusu-makadirio-na-mapato-na-matumizi-kwa-mwaka-20112012/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>5</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>NI WAKATI WA BAJETI</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 07 Jun 2011 17:06:35 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Serikali/Uongozi]]></category>
		<category><![CDATA[Tanzania]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=11565</guid>
		<description><![CDATA[Macho,masikio,fikra na mawazo ya wengi yanaelekea mjini Dodoma ambapo hapo kesho,serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete kupitia kwa Waziri wa Fedha,Mh.Mustafa Mkullo(pichani) itawakilisha bajeti yake kwa mwaka 2011/12. Kimsingi,kama unataka kujua mipango ya serikali na jinsi gani ahadi zilizotolewa na wabunge na hata Rais mwenyewe wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita,bajeti ndio msema kweli. Kwa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-11566 aligncenter" title="Mustafa-Mkulo" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/06/Mustafa-Mkulo.jpg" alt="" width="380" height="430" /></p>
<p>Macho,masikio,fikra na mawazo ya wengi yanaelekea mjini Dodoma ambapo hapo kesho,serikali ya Jakaya Mrisho Kikwete kupitia kwa Waziri wa Fedha,Mh.Mustafa Mkullo(pichani) itawakilisha bajeti yake kwa mwaka 2011/12. Kimsingi,kama unataka kujua mipango ya serikali na jinsi gani ahadi zilizotolewa na wabunge na hata Rais mwenyewe wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita,bajeti ndio msema kweli. Kwa maana hiyo kuna umuhimu wa kila mtu kufuatilia japo kwa kiasi fulani tu,ili kupata fununu ya jinsi gani kesho itakavyokuwa.</p>
<p>Bajeti hiyo kwa ufupi huanisha jinsi gani serikali imejiandaa kukusanya mapato yake(zaidi kutoka katika kodi na misaada kutoka kwa wafadhili-sijui mpaka lini) na jinsi gani itayatumia mapato hayo kutekeleza majukumu yake ya msingi kama vile ulinzi na usalama,upatikanaji wa huduma za afya, uendelezwaji na ukarabati wa miundo mbinu,utoaji wa elimu nk.</p>
<p>Je,kuna mapya gani kutoka katika bajeti ya mwaka jana kuja bajeti ya mwaka huu?Hali ya uchumi wa nchi hii(kama nchi na sio watu binafsi) ikoje?Je,itakuwa ni bajeti iliyolenga katika kumkomboa mwananchi au imelengwa katika kumwongezea aliyenacho? Majibu kwa maswali hayo na mengineyo mengi,yatategemea sana kitakachojiri au kitakachotamkwa kutoka katika mkoba utakaobeba &#8220;bajeti&#8221; hiyo hapo kesho.</p>
<p>Nchi za Kenya na Uganda nazo zinatarajiwa kuwa na sessions za uwasilishwaji wa bajeti hiyo kesho hiyo hiyo.</p>
<!-- Start Sociable --><div class="sociable"><div class="sociable_tagline"><a class='sociable_tagline' target='_blank' href='http://blogplay.com' style='color:#333333;text-decoration:none'>Be Sociable, Share!</a></div><ul class='clearfix'><li><a title="Twitter" class="option1_32" style="background-position:-288px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://twitter.com/intent/tweet?text=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI%20-%20http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F%20(via%20@sociablesite)"></a></li><li><a title="Facebook" class="option1_32" style="background-position:-96px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.facebook.com/share.php?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;t=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li><a title="email" class="option1_32" style="background-position:-160px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="https://mail.google.com/mail/?view=cm&fs=1&to&su=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&body=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&ui=2&tf=1&shva=1"></a></li><li><a class="option1_32" style="cursor:pointer;background-position:-128px 0px" rel="nofollow" title="Add to favorites - doesn't work in Chrome"  onClick="javascript:AddToFavorites();"></a></li><li><a title="StumbleUpon" class="option1_32" style="background-position:-224px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.stumbleupon.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li><a title="Delicious" class="option1_32" style="background-position:-32px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://delicious.com/post?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;notes=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li><a title="Google Reader" class="option1_32" style="background-position:-224px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/reader/link?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;srcURL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;srcTitle=BongoCelebrity+"></a></li><li><a title="LinkedIn" class="option1_32" style="background-position:-288px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.linkedin.com/shareArticle?mini=true&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;source=BongoCelebrity+&amp;summary=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li><a title="BlinkList" class="option1_32" style="background-position:0px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.blinklist.com/index.php?Action=Blink/addblink.php&amp;Url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;Title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li><a style="cursor:pointer" rel="nofollow" onMouseOut="fixOnMouseOut(document.getElementById('sociable-post-11565'), event, 'post-11565')" onMouseOver="more(this,'post-11565')"><img style='margin-top:9px' src='http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/more.png'></a></li></ul><div onMouseout="fixOnMouseOut(this,event,'post-11565')" id="sociable-post-11565" style="display:none;">   

    <div style="top: auto; left: auto; display: block;" id="sociable">



		<div class="popup">

			<div class="content">

				<ul><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Myspace" class="option1_32" style="background-position:0px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.myspace.com/Modules/PostTo/Pages/?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;t=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Digg" class="option1_32" style="background-position:-64px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://digg.com/submit?phase=2&amp;url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;bodytext=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Reddit" class="option1_32" style="background-position:-128px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reddit.com/submit?url=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Google Bookmarks" class="option1_32" style="background-position:-192px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.google.com/bookmarks/mark?op=edit&amp;bkmk=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;annotation=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="HackerNews" class="option1_32" style="background-position:-256px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://news.ycombinator.com/submitlink?u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;t=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="MSNReporter" class="option1_32" style="background-position:-352px 0px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://reporter.es.msn.com/?fn=contribute&amp;Title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;URL=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;cat_id=6&amp;tag_id=31&amp;Remark=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Sphinn" class="option1_32" style="background-position:-192px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://sphinn.com/index.php?c=post&amp;m=submit&amp;link=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Posterous" class="option1_32" style="background-position:-64px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://posterous.com/share?linkto=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;title=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;selection=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li><li style="heigth:32px;width:32px"><a title="Tumblr" class="option1_32" style="background-position:-256px -32px" rel="nofollow" target="_blank" href="http://www.tumblr.com/share?v=3&amp;u=http%3A%2F%2Fwww.bongocelebrity.com%2F2011%2F06%2F07%2Fni-wakati-wa-bajeti%2F&amp;t=NI%20WAKATI%20WA%20BAJETI&amp;s=%0D%0AMacho%2Cmasikio%2Cfikra%20na%20mawazo%20ya%20wengi%20yanaelekea%20mjini%20Dodoma%20ambapo%20hapo%20kesho%2Cserikali%20ya%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20kupitia%20kwa%20Waziri%20wa%20Fedha%2CMh.Mustafa%20Mkullo%28pichani%29%20itawakilisha%20bajeti%20yake%20kwa%20mwaka%202011%2F12.%20Kimsingi%2Ckama%20unataka%20kujua%20mipang"></a></li></ul>			

			</div>        

		  <a style="cursor:pointer" onclick="hide_sociable('post-11565',true)" class="close">



		  <img onclick="hide_sociable('post-11565',true)" title="close" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/plugins/sociable/images/closelabel.png">

		  </a>

		</div>

	</div> 

  </div></div><div class='sociable' style='float:none'><ul class='clearfix'><li id="Twitter_Counter"><a href="https://twitter.com/share" data-text="NI WAKATI WA BAJETI - http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/ (via #sociablesite)" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/" class="twitter-share-button" data-count="horizontal">Tweet</a><script type="text/javascript" src="//platform.twitter.com/widgets.js"></script></li><li id="Facebook_Counter"><iframe src="//www.facebook.com/plugins/like.php?href=http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/&send=false&layout=button_count&show_faces=false&action=like&colorscheme=light&font" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden;height:32px;width:100px" allowTransparency="true"></iframe></li><li id="Google_+"><g:plusone annotation="bubble" href="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/" size="medium"></g:plusone></li><li id="LinkedIn_Counter"><script src="http://platform.linkedin.com/in.js" type="text/javascript"></script><script type="IN/Share" data-url="http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/" data-counter="right"></script></li><li id="StumbleUpon_Counter"><script src="http://www.stumbleupon.com/hostedbadge.php?s=2&r=http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/"></script></li></ul></div><!-- End Sociable -->]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2011/06/07/ni-wakati-wa-bajeti/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>2</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 10:34:03 -->
