Recent Articles
YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

Yanga wakifurahia mojawapo ya magoli kutoka katika mechi hiyo. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog Timu ya soka ya Yanga, jioni hii imewadhihirishia mashabiki wao ...

Read More

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA’s

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA's

Jumapili hii Mei 19 kuanzia saa Kumi na Moja jioni hadi Saa Mbili usiku karibu uburudike na muziki laini wa Jazz ukiletwa kwako na Wakwetu ...

Read More

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

Takribani miaka 11 imepita tangu Eve alipotoa album yake ya mwisho. Habari njema ni kwamba sasa amerejea tena katika ulingo. Album yake ambayo imeshatoka inaitwa ...

Read More

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na wakuu wa mikoa ...

Read More

“RIZIKI YANGU”- LINEX Feat.WYRE

RIZIKI YANGU- LINEX Feat.WYRE

Linex ft. Wyre - riziki yangu Hakuna ubishi kwamba Linex ni miongoni mwa wasanii wa Bongo Fleva wenye kipaji cha hali ya juu katika uimbaji ...

Read More

KIBOKO CHANGU-AMANI Feat.RADIO & WEASEL (NEW VIDEO FROM OGOPA DEEJAYS)

Here is a latest one from Amani Feat. Radio & Weasel. The song title: KIBOKO CHANGU [youtube:https://www.youtube.com/watch?v=b9SzVjb0csc]

Read More

“NIPE NAFASI”-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

NIPE NAFASI-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

Wapo wasanii ambao bado hawana majina makubwa.Hawa wanahitaji support yako hususani kwa wale ambao wana kipaji.Mfano mzuri ni huyu.Anaitwa Baridi.Single yake ambayo aliitoa mwaka jana ...

Read More

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

Bondia Floyd Mayweather Jr, ndiye mwanamichezo mwenye kipato kikubwa zaidi miongoni mwa wanamichezo katika aina mbalimbali za michezo nchini Marekani au Marekani ya Kaskazini kwa ...

Read More

YANGA Vs SIMBA: SHUHUDIA MECHI HII “LIVE” KUPITIA SuperSport (DStv)

YANGA Vs SIMBA: SHUHUDIA MECHI HII LIVE KUPITIA SuperSport (DStv)

Upo msemo wa Kiswahili unaosema "Mafahali wawili wapiganapo,ziumiazo ni nyasi". Kama kuna ukweli wowote kwenye msemo huo, basi ni dhahiri kwamba wanapombana Yanga na Simba, ...

Read More

MSTAHIKI MEYA JERRY SLAA AFUNGUA TAWI JIPYA LA OFISI ZA DStv TANZANIA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR.

MSTAHIKI MEYA JERRY SLAA AFUNGUA TAWI JIPYA LA OFISI ZA DStv TANZANIA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR.

Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Furaha Samalu katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kuwasili kwa ...

Read More

DIAMOND ON SPORAH SHOW: TOFAUTI NA UJUAVYO…

DIAMOND ON SPORAH SHOW: TOFAUTI NA UJUAVYO...

Sijui...lakini nadhani sijawahi kumsikia Diamond akiongelea mahusiano yake na wanawake mbalimbali ukiwemo uhusiano wake na  Wema Sepetu ambao mara kwa mara umekuwa lulu ya magazeti ...

Read More

BIG BROTHER AFRICA 8: THE CHASE…

BIG BROTHER AFRICA 8: THE CHASE...

Ndani ya wiki mbili zijazo wapenzi wa vipindi au matukio mbalimbali yanajojiri kwenye luninga barani Africa watakuwa na kila sababu ya kuwa “busy” Msimu mpya ...

Read More



Wanasema 4x4

Suma Lee analia.Kwanini? Ni mapenzi. Anasemwa.Wanamsema. Mambo lukuki. Mapenzi yana machozi.Unashangaa? Hujawahi kupenda wewe. Au unachokipenda hujui kama unakipenda.Unaona kwa jicho la kioo cha lami. Ni kama vile unaona dimbwi la maji hivi lakini kumbe sio. Waliosoma Physics bila kukremu wanajua.

Suma Lee katika wimbo huu naamini anarudi kule kwenye upbeat za ki-Hakunaga kitu ambacho naamini ndicho alichokuwa anatakiwa kufanya au kuendelea kukifanya.

Safi hii…isikilize hapa chini

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

 

Be Sociable, Share!

Izzo Bis

Weekend inapofika ni muda wa Love Me. Nimeamua kuuweka wimbo huu mwishoni mwa wiki kwa makusudi kwani naamini kila mtu anahitaji mapumziko na kutafakari. Wimbo unaitwa Love Me. Ni kutoka kwa Izzo Bizness akiwa amewashirikisha Shaa na Barnaba.

Izzo aliibuka vyema kwenye anga za muziki na wimbo wa Rizwani ambao ulikuwa ni ujumbe mkali kwenda kwa “wanaopeleka nchi”(you now what I am talking about) .Kwa hiyo kutoka kwenye msimamo ule,kwa wimbo huu ni kwamba Izzo has gone soft kidogo.It’s time for Love. Take A Listen and Enjoy Your Weekend.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

 

Be Sociable, Share!

ben pol2

Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa Ben Pol. Unaitwa Jikubali. Kimsingi ujumbe uliopo kwenye wimbo huu ni mzuri. Binadamu unatakiwa kujikubali. Unatakiwa kuwa shabiki namba moja wa wewe mwenyewe. Wengine watakwambia huo ni ubinafsi lakini mimi naamini charity starts at home. Ukijikubali ni rahisi kuwakubali wengine.

Lakini kwa upande wa mpangilio na jinsi Ben Pol alivyoimba….somehow I am not feeling this song as much as I expected. Ben Pol is one of the good singers we have and it is my humble opinion that he should produce tracks that allows him to showcase his talent. On this one Ben…we can walk miles apart. It’s Okay.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Here are the Lyrics

Verse1;
Unaweza kuwa Doctor, unaweza kuwa Star
Unataka kuwa Linah, unaweza kuwa Shaa
Kipaji Mali yako, Elimu Ngao yako
Usiache jambo Kati kwenye maisha yako
Unaweza kuwa Diamond, unaweza kuwa Jay
Unaweza kuwa JB, unaweza kuwa Ray
Mi Nakuasa it’s your time,
Huwezi kuwa chini you’ve got somethin’ special
Unampenda Lady Jay dee unamzimia Zitto
Trust me iko siku utatimiza ndoto yako
You can be a Boss, you can be a Lawyer
You can be the President
You’ll be successful
read more

Be Sociable, Share!

MAXI LOPEZ FT LINAH-i need you(pozo langu) me n linah in love

Huu hapa ni mpya kutoka kwa Max Lopez akiwa amemshirikisha Linah. Wimbo unaitwa Pozo Langu. Usikilize hapo chini

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

nakaaya_img

Sijui kama nikisema baada ya kimya cha muda fulani Nakaaya is back nitakuwa nimepatia au nimekosea. Kumbukumbu za haraka hazinijii kwamba mara ya mwisho aliachia single lini. Yote tisa. Kumi ni kwamba Nakaaya yupo tena hewani. Wimbo wake mpya huu hapa. Unaitwa Utu Uzima Dawa.

Yes ukikua na kuelewa kwamba wewe sasa ni mtu mzima na hivyo inabidi ufanye mambo yako kwa kutumia akili zako mwenyewe na sio kwa kutegemea “maisha ya kutengenezewa” basi hiyo ndio dawa. Ndio maisha na ndio utu uzima.

Hii ni production kutoka Fishcrab na Mandugu Digital.Usikilize.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

 

Be Sociable, Share!

diamond-platnumz

Unapodhani kwamba Diamond amepunguza kasi. Unapodhani kwamba sasa mzigo wa kupamba kurasa za mbele za magazeti ya udaku umemuelemea. Unapodhani kwamba huenda sasa sifa za kupendwa na mashabiki na kinadada zimempanda kichwani.Unapodhani kwamba sasa theme za mapenzi zimemwishia, anasema Hapana.

Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa Diamond. Unaitwa Mapenzi Basi. Ni kutoka AM Records chini ya Maneke. Listen

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

Lord-Eyes

The year 2012/2013 has been a tough one for Lord Eyez. He sat in a jail chamber. Got roughened up in the street. His image tarnished. Accused of stealing. It must have been a tough time.

But even with all hurdles and struggles he never forgot one thing. He is Lord Eyez because he is an artist. He belongs in the studios and on stages performing.  So from his most  anticipated Sanaa Album to drop later this year, here is the single Mapito. This track is a production of John Mahundi in collaboration with Bongo Records.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

Black Rhyno-mke mwema

Katika maandiko matakatifu ya dini ya kikristo yaani Biblia, mke mwema ameongelewa vizuri katika Mithali 31. Pale “Mke Mwema” ameelezewa aweje na vitu gani vinaweza kumtambulisha.

Ukweli ni kwamba tunaishi katika dunia tofauti. Zama walizoishi babu zetu tumeshazipoteza. Tumepoteza mila na hata miiko. Bahati nzuri ni kwamba hatujafika. Bado tupo safarini. Yawezekana kumpata “Mke Mwema”.

Nimeikumbuka mistari ya Mithali 31 niliposikiliza wimbo mpya kutoka kwa Black Rhino akimshirikisha Soprano ambao umepewa jina Mke Mwema. Pengine haina uhusiano lakini kwa sababu moja au nyingine nimekumbuka Mke Mwema.

On a side note: Huu naamini ni mojawapo ya nyimbo nzuri zaidi kutoka kwa Black Rhino ambaye mwaka jana alifunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi, Beatrice. Well done Rhino. Usikilize hapa.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

Wakazi-So Harder

This is a new joint from ABACUS EP, called “So Harder” featuring Albino Fulani, One Incredible & Godzilla. The Song was Produced by Duke Tachez of Mlab Records. This song features very diverse artists and it is a collaborative work that includes Tanzanian artists who live abroad (Wakazi, Albino Fulani) and those from right here in Bongo (One, Godzilla). The purpose was not competition but rather making the best music possible, and It will serve as a good way to integrate and bring different fanbases together, and also promote unity among artists.

ABACUS EP will be droppin at the end of the Month, and will feature songs like “Abacus”, “Taking over the Game” and “Tayari Kwa Yote”.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Folllow the artists on twitter @Wakazi @Albinofulani @King_Zilla @DukeTachez

 

Be Sociable, Share!

Timbulo

Huu hapa ni mpya kutoka kwa Timbulo. Unakwenda kwa jina Sina Makosa. Sikiliza

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

 

Be Sociable, Share!

Read the Next Page →

↑ Go Back to Top of Page