Recent Articles
“SHANNI NA JENNY”-ABBY SKILLS Feat.CHEGE

SHANNI NA JENNY-ABBY SKILLS Feat.CHEGE

Ni muda kidogo hatujasikia kitu kutoka kwa Abby Skills ambaye kwa watu wanaokumbuka enzi zile Bongo Fleva inaanza kushika kasi, mtamkumbuka vizuri. Huu hapa ni ...

Read More

BREAKING NEWS: PROFESSOR JAY AJIUNGA NA CHADEMA/ AKABIDHIWA KADI YA UANACHAMA DODOMA

BREAKING NEWS: PROFESSOR JAY AJIUNGA NA CHADEMA/ AKABIDHIWA KADI YA UANACHAMA DODOMA

Pichani Professor Jay akiwa na Kiboya,mdau mkubwa wa muziki nchini ambaye pia ni mwanachama wa CHADEMA. Picha kwa hisani ya Twitter ya Professor. Habari ambazo zinatambaa ...

Read More

BILLBOARD MUSIC AWARDS: JUSTIN BIEBER AZOMEWA/ MIGUEL APIGA MWELEKA

Yawezekana hukupata nafasi ya kuangalia baadhi ya mambo yaliyojiri jana wakati wa Billboard Music Awards ambazo zilitangazwa kutokea Las Vegas,Nevada-mji wa kila aina ya dhambi ...

Read More

KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI AU KUSAHAU?

KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI AU KUSAHAU?

Prodyuza Tudd Thomas. MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All Stars na zingine nyingi, Tudd ...

Read More

“NASHINDWA KULALA”- BONFACE MATEZA

NASHINDWA KULALA- BONFACE MATEZA

Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa msanii Bonface Mateza. MSANII   :  BONFACE MATEZA WIMBO   :  NASHINDWA KULALA STUDIO  :   JAIM RECORD PRODUCER  :  GEORGE   JAMES

Read More

YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

Yanga wakifurahia mojawapo ya magoli kutoka katika mechi hiyo. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog Timu ya soka ya Yanga, jioni hii imewadhihirishia mashabiki wao ...

Read More

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA’s

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA's

Jumapili hii Mei 19 kuanzia saa Kumi na Moja jioni hadi Saa Mbili usiku karibu uburudike na muziki laini wa Jazz ukiletwa kwako na Wakwetu ...

Read More

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

Takribani miaka 11 imepita tangu Eve alipotoa album yake ya mwisho. Habari njema ni kwamba sasa amerejea tena katika ulingo. Album yake ambayo imeshatoka inaitwa ...

Read More

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na wakuu wa mikoa ...

Read More

“RIZIKI YANGU”- LINEX Feat.WYRE

RIZIKI YANGU- LINEX Feat.WYRE

Linex ft. Wyre - riziki yangu Hakuna ubishi kwamba Linex ni miongoni mwa wasanii wa Bongo Fleva wenye kipaji cha hali ya juu katika uimbaji ...

Read More

KIBOKO CHANGU-AMANI Feat.RADIO & WEASEL (NEW VIDEO FROM OGOPA DEEJAYS)

Here is a latest one from Amani Feat. Radio & Weasel. The song title: KIBOKO CHANGU [youtube:https://www.youtube.com/watch?v=b9SzVjb0csc]

Read More

“NIPE NAFASI”-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

NIPE NAFASI-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

Wapo wasanii ambao bado hawana majina makubwa.Hawa wanahitaji support yako hususani kwa wale ambao wana kipaji.Mfano mzuri ni huyu.Anaitwa Baridi.Single yake ambayo aliitoa mwaka jana ...

Read More

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

Bondia Floyd Mayweather Jr, ndiye mwanamichezo mwenye kipato kikubwa zaidi miongoni mwa wanamichezo katika aina mbalimbali za michezo nchini Marekani au Marekani ya Kaskazini kwa ...

Read More



gooo

Yanga wakifurahia mojawapo ya magoli kutoka katika mechi hiyo. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog

Timu ya soka ya Yanga, jioni hii imewadhihirishia mashabiki wao na wapenzi wa soka barani Afrika kwamba msimu huu ulikuwa wao baada ya kuwachapa wapinzani wao wa jadi,Simba kwa jumla ya magoli 2-0 katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mchezo ambao ulionyeshwa kote barani Afrika kupitia SuperSport East 9 ndani ya DStv.

947367_194414630710874_1792139584_n

Mashabiki wa soka nchini Tanzania na barani Afrika waliweza kuona mpambano huu wa watani wa jadi Live kupitia kwenye luninga zao kwenye  SuperSport 9 East ambao walirusha matangazo hayo moja kwa moja kutokea Uwanja wa Taifa.

Katika mchezo huo magoli ya Yanga yalifungwa na Didier Kavumbagu kunako dakika ya 5 ya kipindi cha kwanza na Hamis “Diego” Kiiza kunako dakika ya 63 ya kipindi cha pili.

Kwa matokeo hayo, Yanga inamaliza msimu wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 60, ikifuatiwa na Azam FC yenye 52 na Simba 45.Hii ni mara ya 24 kwa Yanga kutwaa taji la Ubingwa wa Soka Tanzania Bara. Hongera kwa Yanga!

 

Be Sociable, Share!

Jumapili hii Mei 19 kuanzia saa Kumi na Moja jioni hadi Saa Mbili usiku karibu uburudike na muziki laini wa Jazz ukiletwa kwako na Wakwetu Jazz Vibes pamoja na mpiga gitaa nguli, Jessie. Njoo ujumuike na marafiki pamoja na jamaa wengine Velisa’s Beach. Usisahau kuwaambia na wenzako.

image001

Be Sociable, Share!

nyerere_samora

Be Sociable, Share!

diamonzzz

Sijui…lakini nadhani sijawahi kumsikia Diamond akiongelea mahusiano yake na wanawake mbalimbali ukiwemo uhusiano wake na  Wema Sepetu ambao mara kwa mara umekuwa lulu ya magazeti ya udaku, mitandao ya kijamii nk.

Hivi karibuni alipofanya mahojiano na Sporah katika The Sporah Show, Diamond alikuwa tayari kuweka bayana mambo kibao. Ni kwanini alimrekodi Wema Sepetu hivi karibuni? Ni kwanini amekuwa hatulii kwa mwanamke mmoja? Anapenda mwanamke wa namna gani? Ana mipango gani na mwanamke aliyenaye hivi sasa ambaye ana ujauzito wake? Tizama hapa chini interview yake;

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Be Sociable, Share!

WEMA SEPETU

Umewahi kujiuliza ni msanii gani wa kike wa Bongo Movies ambaye analipwa mkwanja mrefu zaidi endapo mtu anamuhitaji ashiriki kwenye filamu yake?

Mtandao wa FilmCentral unaodili zaidi na masuala ya movies nchini Tanzania, unasema kwamba Wema Sepetu ndiye anayelipwa zaidi kwani ukitaka kumtumia kwenye movie yako ni lazima utoe Milioni 10.

Unaweza kusoma habari hiyo zaidi kwa kubonyeza hapa.

Be Sociable, Share!

Limited Seats Only b

Be Sociable, Share!

Sir-Alex-Ferguson

Mabingwa wa Ligi Kuu nchini Uingereza, Premier League ,Manchester United, wametangaza kwamba, Sir Alex Ferguson atastaafu kama meneja wa klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

Sir Alex anatajwa kuwa ndiye meneja mwenye mafanikio makubwa katika historia ya soka la Uingereza.

Tangu alipojiunga na klabu hiyo mnamo mwaka 1986, ameshinda mataji mawili ya Klabu Bingwa Barani Ulaya, mataji kumi na tatu ya Ligi Kuu na Kombe la FA mara tano.

Katika taarifa yake, Sir Alex amesema ni muda muafaka kwake kustaafu wakati klabu ikiwa imejizatiti katika nafasi nzuri. Atabakia Manchester United kama mmoja wa wakurugenzi na balozi.

Chanzo: BBC Swahili.

Be Sociable, Share!

shamim

Baada ya hivi karibuni kuamua kuhamishia makazi yake kimaisha na kimuziki nchini Kenya, yaelekea ile tungo ya Nabii hakubaliki nyumbani kwao inazidi kushika kasi. Kwanza ilikuwa ni kama vile kuanza upya muziki baada ya kuwa signed na record label ya nchini humo Grandpa Records na sasa ni upande wa mapenzi.

Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Post wa nchini humo, Mr.Nice inasemekana hivi sasa “anabanjuka” na mrembo anayeshikilia taji la Miss Kenya 2012, Shamim Nabil. Mtandao huo unaripoti kwamba wawili hao wamekuwa wakionekana sehemu mbalimbali na wakiwa na ishara zote za mapenzi.

Mtandao huo unazidi kusema kwamba Mr.Nice ameahidi kumuoa binti huyo kwani wasichana wa Tanzania wamemuangusha na hivyo anaona ni bora akawaletea wifi kutoka huko.

Picha: Daily Post.

Be Sociable, Share!

Here is a story of a young man who recently made President Uhuru of Kenya laugh. As it turned out, it was his way to even greater things. Check these two videos

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Be Sociable, Share!

Ruge

Kwa muda sasa pamekuwepo na malumbano(japo ya upande mmoja) kati ya Mwanamuziki Lady JayDee ambaye anajiandaa kuachia album yake ya 6 mwishoni mwa mwezi huu na Wakurugenzi wa Kituo Cha Radio na Televisheni cha Clouds FM na Clouds TV, Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga na pia baadhi ya watangazaji wa kituo hicho.

Baada ya kuwa kimya kwa muda, na Ruge Mutahaba naye ameamua kujibu tuhuma au shutuma. Sikiliza Clip hapo chini kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast. Then Be The Judge.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

Read the Next Page →

↑ Go Back to Top of Page