Recent Articles
YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0/ MASHABIKI BARANI AFRIKA WAFURAHIA MECHI KUPITIA SuperSport EAST 9

Yanga wakifurahia mojawapo ya magoli kutoka katika mechi hiyo. Picha kwa hisani ya Bin Zubeiry Blog Timu ya soka ya Yanga, jioni hii imewadhihirishia mashabiki wao ...

Read More

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA’s

PERONI JAZZ SUNDAYS @ VELISA's

Jumapili hii Mei 19 kuanzia saa Kumi na Moja jioni hadi Saa Mbili usiku karibu uburudike na muziki laini wa Jazz ukiletwa kwako na Wakwetu ...

Read More

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

EVE JUU YA ALBUM YAKE MPYA, BOYFRIEND WAKE MPYA, DMX NK

Takribani miaka 11 imepita tangu Eve alipotoa album yake ya mwisho. Habari njema ni kwamba sasa amerejea tena katika ulingo. Album yake ambayo imeshatoka inaitwa ...

Read More

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mama Maria Nyerere, Naibu Waziri wa Afya Dr. Seif Rashid wakipozi na wakuu wa mikoa ...

Read More

“RIZIKI YANGU”- LINEX Feat.WYRE

RIZIKI YANGU- LINEX Feat.WYRE

Linex ft. Wyre - riziki yangu Hakuna ubishi kwamba Linex ni miongoni mwa wasanii wa Bongo Fleva wenye kipaji cha hali ya juu katika uimbaji ...

Read More

KIBOKO CHANGU-AMANI Feat.RADIO & WEASEL (NEW VIDEO FROM OGOPA DEEJAYS)

Here is a latest one from Amani Feat. Radio & Weasel. The song title: KIBOKO CHANGU [youtube:https://www.youtube.com/watch?v=b9SzVjb0csc]

Read More

“NIPE NAFASI”-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

NIPE NAFASI-BARIDI -YOU CAN NOW OWN IT

Wapo wasanii ambao bado hawana majina makubwa.Hawa wanahitaji support yako hususani kwa wale ambao wana kipaji.Mfano mzuri ni huyu.Anaitwa Baridi.Single yake ambayo aliitoa mwaka jana ...

Read More

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

BONDIA FLOYD MAYWEATHER JR.AONGOZA KWA KIPATO KIKUBWA KWA MWAKA WA PILI MFULULIZO

Bondia Floyd Mayweather Jr, ndiye mwanamichezo mwenye kipato kikubwa zaidi miongoni mwa wanamichezo katika aina mbalimbali za michezo nchini Marekani au Marekani ya Kaskazini kwa ...

Read More

YANGA Vs SIMBA: SHUHUDIA MECHI HII “LIVE” KUPITIA SuperSport (DStv)

YANGA Vs SIMBA: SHUHUDIA MECHI HII LIVE KUPITIA SuperSport (DStv)

Upo msemo wa Kiswahili unaosema "Mafahali wawili wapiganapo,ziumiazo ni nyasi". Kama kuna ukweli wowote kwenye msemo huo, basi ni dhahiri kwamba wanapombana Yanga na Simba, ...

Read More

MSTAHIKI MEYA JERRY SLAA AFUNGUA TAWI JIPYA LA OFISI ZA DStv TANZANIA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR.

MSTAHIKI MEYA JERRY SLAA AFUNGUA TAWI JIPYA LA OFISI ZA DStv TANZANIA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR.

Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Furaha Samalu katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kuwasili kwa ...

Read More

DIAMOND ON SPORAH SHOW: TOFAUTI NA UJUAVYO…

DIAMOND ON SPORAH SHOW: TOFAUTI NA UJUAVYO...

Sijui...lakini nadhani sijawahi kumsikia Diamond akiongelea mahusiano yake na wanawake mbalimbali ukiwemo uhusiano wake na  Wema Sepetu ambao mara kwa mara umekuwa lulu ya magazeti ...

Read More

BIG BROTHER AFRICA 8: THE CHASE…

BIG BROTHER AFRICA 8: THE CHASE...

Ndani ya wiki mbili zijazo wapenzi wa vipindi au matukio mbalimbali yanajojiri kwenye luninga barani Africa watakuwa na kila sababu ya kuwa “busy” Msimu mpya ...

Read More



flavy3

Be Sociable, Share!

Mubelwa

Mubelwa Bandio(Kulia) akiwa katika mahojiano na DJ Joe CatDaddy

Ukiwa katika viunga vya Washington DC nchini Marekani na ukatokea kutega radio yako kwenye 93.9 FM WKYS unaweza kukuta aliyepo mitamboni ni Joseph Mgaza au kwa wengi DJ Joe CatDaddy. DJ Joe ni mtanzania ambaye kwa miaka zaidi ya 17 sasa amekuwa akifanya kazi katika kituo cha radio cha Kiss (93.9 WKYS). Ni miongoni mwa DJs ambao vipindi vyao husikilizwa zaidi kitu ambacho ni ishara tosha kwamba anafanya vizuri sana.

Rafiki yangu Mubelwa Bandio ambaye wengi tunamuita Mzee wa Changamoto hivi karibuni alifanya naye mahojiano ambayo ameyaweka pia katika mtandao wake wa Changamoto.

Hii hapa ni video ya mahojiano hayo.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

 

Be Sociable, Share!

casual1

Did you know that Flaviana Matata is/was the first celebrity from Tanzania to grant this blog/site an interview? The idea of creating a blog/site that focuses on celebrities from Tanzania while focusing on their positives rather than negatives was new. BC had just started. Few knew us or even believe in what we could deliver and stand for.

Flaviana and her Manager, Maria Sarungi thought it was a good platform and granted me an exclusive interview. At that time, Flaviana was Miss Universe Tanzania and had just secured the 6th spot in Miss Universe 2007 competition which was held in Mexico City, Mexico. The world was so obsessed with her bald-head. Everyone was talking about her.

Here is the link to that interview.

Since then I have done lots of interviews and we are still rocking. Press here to read a lot more.

 

 

Be Sociable, Share!

Vanessa6

Vanessa Mdee a.k.a Vee

She has seen the world. She has hosted shows across the globe. She has walked on red carpets all over the world while interviewing and interacting with some of the globally recognized and loved celebrities. Simply put it this way; she lives her dream.

 

Her name is Vanessa Mdee, a 24 year old who is also known as Vee among her friends and fans. In 2007, when she was just 19 years old, Vee made history by becoming the first ever MTV VJ from Tanzania. Today, she is one of the most recognized VJs in Africa and even beyond the African borders.

 

As if being a VJ is not enough, Vee is also a DJ/ Host of “The Hit List” show at Choice FM broadcasting from Mikocheni in Dar-es-salaam.  That’s not all; Vee is a HIV/AIDS Activist, Model, Motivational Speaker and MC. Recently, she added the title Singer/ Musician to her long and ever growing resume.

 

Vanessa, a graduate of The Catholic University Of Eastern Africa where she studied Law, is passionate about everything she does. You can feel the energy in her veins through the discipline and ethics she places into all that she does.  She is a humanitarian who deeply believes in Africa as the future.

 

I recently had a chance to interview her. Here are the excerpts;

 

BC: Hi Vanessa, I can’t even put it well how happy I am to have this opportunity to interview you. Welcome to BC. How are you doing?

 VEE: I’m sound so well Thank YOU – how you feeling? Thanks so much for taking the time.

 

BC: When I was researching for this interview, at certain point I think I got shocked. At this young age, it seems like you have achieved and have been involved in a lot. I, therefore, guess my first question should be how do you manage to do that you are doing and involved with? You must have excellent time and organizational management skills! Tell me about it…

 

VEE: Thanks, it’s funny when it’s all put down on paper it feels like a whole lot but I’m just getting started. I really do have my parents to thank for the discipline. Our household was one of rules and curfews, pleases and thank You’s. Until the age of 18 it was mandatory for my siblings and I to be in bed by 11pm – not one minute later. I hated it then but I get it now. Structure is vital.

 

BC: You were  (and I suppose still is) Tanzania’s first ever MTV VJ. I believe that was a dream that came true since you always wanted to be on TV…can you remind our readers how did that come about? How was the process?

 

VEE: Man, working for MTV is still so much fun for me, still the most amazing opportunity, still as challenging and thrilling as it was when I won the nationwide VJ search in 2007. I woke up one day and my best friend Salha had decided that it was mine to have – so we auditioned. The rest is history as they say.

 Vanessa5Vanessa, the present and the future.

BC: The bio that is posted on MTV website, clearly put forward a picture of you as a devoted activist as far as HIV/AIDS is concerned. You are actually a UNAIDS Youth Ambassador. How did you that come about? Did you come across a personal tragedy around the issue that motivated you to act or it was/ is purely out of humanity trace?

read more

Be Sociable, Share!

Here is the Official HD video for the song Skibobo from Goldie that features our own,AY. You can also listen to the audio version here.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Be Sociable, Share!

You may recall back in  July this year, I posted these photos of the video shoot of one of Miriam’s Chemmoss songs from her new/upcoming album “LOVEBIRD”. Here is the best of the news. The video is ready and Miriam has released it. What an early Christmas present for all music fans across the world.

Her new album will be available in most digital stores worldwide from 01/07/2013. Here is the video for Love In Reverse. Enjoy

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

When asked if she gotta anything to say about this video, Miriam said;

This was an amazing shoot, a team-effort involving many of my supporters and the most amazing, passionate team of artists I’ve ever worked with. I’m so grateful for the experience.

Be Sociable, Share!

It is that time of the year.The time to support one of our own. Time to spend just few minutes to cast a Vote for our Miss Universe Tanzania 2012 as she vies for the international title of Miss Universe.

The winner secures a place in the semifinals! Voting starts on Thursday, November 15, 2012 at 4pm ET and ends on Tuesday, December 18, 2012 at 6pm ET. You can vote up to 10 times per day per account/valid email address. Keep voting! Follow this link to vote for Winfrida Dominic. CLICK HERE TO VOTE.

 

Be Sociable, Share!

MOST GIFTED MALE VIDEO OF THE YEAR- Oliver Twist- D’BANJ

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED SOUTH  VIDEO OF THE YEAR- Shut It Down(Stundee)- CASHTIME

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED HIP-HOP VIDEO OF THE YEAR- Superstar-ICE PRINCE

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED WEST AFRICAN VIDEO OF THE YEAR-Falling- D-BLACK Feat. MO CHEDDAH

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED R&B MUSIC VIDEO OF THE YEAR- Oyi- FLAVOUR Feat.TIWA SAVAGE

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED EAST AFRICAN VIDEO OF THE YEAR- I Don’t Wanna Be Alone- AY Feat.SAUTI SOL

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED DANCE VIDEO OF THE YEAR-Facebook-DJ CLEO

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED NEWCOMER VIDEO OF THE YEAR- Dami Duro-DAVIDO

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED AFRO POP VIDEO OF THE YEAR-Ara-BRYMO

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED RAGGA DANCEHALL VIDEO OF THE YEAR- Styra Inonyengesa-BUFFALO SOULJAH Feat. CABO SNOOP

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED KWAITO VIDEO OF THE YEAR-Ayoba- ESS Feat.MANDOZA

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED FEMALE VIDEO OF THE YEAR- Loliwe- ZAHARA

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

MOST GIFTED GROUP/DUO- Chop My Money- P-SQUARE

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

 

Be Sociable, Share!
Msanii AY kutoka nchini Tanzania usiku huu ameibuka mshindi katika Tuzo Za Video Za Muziki za Kituo Cha Televisheni Cha Channel O cha nchini Afrika Kusini(Channel O Music Video Awards) zilizorushwa “Live” na kituo hicho kutokea South Africa.
AY ameibuka mshindi katika kipengele cha MOST GIFTED EAST AFRICAN VIDEO OF THE YEAR kutokana na video ya wimbo I Don’t Wanna Be Alone ambao amewashirikisha kundi la Sauti Sol la nchini Kenya.
BC inapenda kuungana na watanzania wote na hususani wapenzi wa muziki wa kizazi kipya katika kumpongeza AY kwa tuzo hiyo.Wengine aliokuwa akiwania nao tuzo hiyo katika kipengele hicho  ni;
  • Keko Feat. Madtraxx – Make You Dance
  • Camp Mulla – Party Don’t Stop
  • AY feat Sauti Soul – I Don’t Want To Be Alone
  • K’Naan Feat. Nas – Nothing To lose
  • Navio – One & Only
Unaweza pia kuona taarifa zao zaidi  kwa kubonyeza hapa.
Hii hapa ndio video ya ushindi
You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

 

Be Sociable, Share!

Kwa mtu yeyote anayefuatilia masuala ya sanaa nchini Tanzania,jina la Zavara Mponjika haliwezi kuwa geni.Kwa miaka nenda rudi amekuwa kinara katika sanaa.Yeye ni sanaa.Iwe ni muziki,uchoraji,utamaduni,uhalisia,uanaharakati nk,huwezi kumweka pembeni.Ukisoma Bio yake utakuta maneno kama Community Organizer,Professional Art Coordinator,Film Maker,Graphic Designer,Cartoon Animator nk.

Hivi sasa Zavara anafanyia kazi zake nchini Marekani katika jiji la New York. Hivi karibuni ametutumia mojawapo ya kazi zake akiwa ameongoza na kutoa video ya kundi la jijini hapo linalokwenda kwa jina Uppanotch katika wimbo wao Silently Fallin’.Utizame hapo chini. Unaweza kumfuata Zavara katika mitandao ya Twitter na Facebook kwa majina

Twitter: @Rhymson
Face Book: Zavara Mponjika

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Be Sociable, Share!

Read the Next Page →

↑ Go Back to Top of Page