<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><!-- generator="WordPress/2.9.1" -->
<rss version="0.92">
<channel>
	<title>BongoCelebrity</title>
	<link>http://www.bongocelebrity.com</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sun, 07 Mar 2010 00:14:57 +0000</lastBuildDate>
	<docs>http://backend.userland.com/rss092</docs>
	<language>en</language>
	
	<item>
		<title>&#8220;MSILIE&#8221;-PROF.JAY Ft.CHID BENZ</title>
		<description><![CDATA[
Kama mimi na wewe tunashabihiana kifikra, basi ulikuwa unatamani siku hii ifike.Siku ambayo angalau kwa muda mfupi,utapumzika kusikia kwamba kila production mpya ya Bongo Fleva, inakuwa imeelemea kwenye hadithi na visa kuhusu mapenzi.Sio kusema kwamba hadithi na visa vya mapenzi havina nafasi yake katika sanaa,La.Ni kuonyesha tu kwamba jamii ni pana na kuna mengi zaidi [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/06/msilie-prof-jay-ft-chid-benz/</link>
			</item>
	<item>
		<title>INTRODUCING PATRICK NEWMAN</title>
		<description><![CDATA[Nimewahi kusema siku za nyuma kwamba mojawapo ya mambo ambayo nayapenda hapa BC ni kupata nafasi ya kumtambulisha msanii katika jamii ya watembeleaji,wachangiaji na washirika wa BC.
Leo ninayo furaha kumtambulisha Patrick Newman,mtanzania, msanii wa muziki wa Gospel ambaye makazi yake ni pale Seattle,Washington nchini Marekani.
Kimsingi Patrick sio mgeni katika anga za muziki.Kwa muda sasa amekuwa [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/04/introducing-patrick-newman/</link>
			</item>
	<item>
		<title>OPEN LETTER FROM STIGGO IBRAHIM(S&amp;S RECORDS)</title>
		<description><![CDATA[
Hey what&#8217;s up everybody! I thought the Producers in Tanzania have improved a lot but I guess I was wrong! Two and Half years ago, I made a beat and named it Block Running, I sold it to one of the Label called Koch Entertainment of New York with an agreement that wherever this beat [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/03/open-letter-from-stiggo-ibrahimss-records/</link>
			</item>
	<item>
		<title>UJUMBE KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS</title>
		<description><![CDATA[
Kwa wale ambao hawaupati mtandao wa www.globalpublisherstz.com; Wanashauriwa kubadilisha Browser na kutumia Mozilla Firefox.

Imeonekana kwa sasa website(tovuti) hiyo haifunguki kwa kutumia Browser ya Internet Explorer(IE).

Ni rahisi kubadilisha kutoka Internet Explorer kwenda Mozilla Firefox.Unachoweza kufanya ni ku-download Mozilla Firefox kwa kufungua link ifuatayo;
http://www.mozilla.com/en-US/products/download.html
Samahani kwa usumbufu wowote unaojitokeza kwa sasa.Tatizo linashughulikiwa.

GLOBAL PUBLISHERS



]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/03/ujumbe-kutoka-global-publishers-2/</link>
			</item>
	<item>
		<title>NAOMI CAMPBELL ANASAKWA NA POLISI</title>
		<description><![CDATA[Mwanamitindo maarufu ulimwenguni,Naomi Campbell,yaelekea akaingia matatani tena kwani hivi sasa polisi wa jijini New York nchini Marekani,wanamsaka!
Naomi,ambaye mwaka jana alitua nchini Tanzania na kushiriki katika onyesho la hisani kwa ajili ya akina mama, safari hii anatafutwa akikabiliwa na shutuma za kumchapa vibao dereva wake huko New York.
Mwanamitindo huyo ambaye inasemekana ni mpenda ugomvi sio mgeni [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/02/naomi-campbell-anasakwa-na-polisi/</link>
			</item>
	<item>
		<title>ZINDUKA:THE VIDEO</title>
		<description><![CDATA[Wakati suala zima la nani alileta mradi wa Zinduka nchini Tanzania,nani alianzisha idea hiyo na mchakato mzima wa mradi huo likiendelea,nadhani sio vibaya kama tukajionea kile ambacho wasanii waliweza kufanya.
Kimsingi,kampeni hii ina umuhimu wa aina yake.Malaria ni tishio la uhai wa mamilioni ya watu ulimwenguni.Inaua kuliko ugonjwa mwingine wowote.Inaua zaidi ya Ukimwi!Kuna haja ya kuendelea [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/02/zindukathe-video/</link>
			</item>
	<item>
		<title>SUGU CHARGES ON</title>
		<description><![CDATA[Masaa machache tu yamepita tangu niweke video mbili kuhusu saga linaloendelea baina ya Mr.Sugu na Ruge Mutahaba.Yaelekea haya mambo yanazidi kuwa makubwa kwani muda mfupi uliopita,Sugu amerudi tena kwenye vyombo vya habari kwa nia ya kuweka wazi kile ambacho anakiona kama upotoshaji fulani wa habari na mchakato mzima wa kampeni ya Zinduka.
Ameongea na jamaa wa [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/02/sugu-charges-on/</link>
			</item>
	<item>
		<title>SUGU Vs RUGE:ZINDUKA NI YA NANI?</title>
		<description><![CDATA[Mradi wa Zinduka.Nia ni kutokomeza malaria.Kila mtu analiunga mkono akiwemo Mheshimiwa Rais.Kumbe chini yake kuna mvutano.Mwanamuziki Sugu(Mr.II) ana kampuni yake.Inaitwa Deiwaka.Kwa upande mwingine kuna mfanyabiashara maarufu.Anaitwa Ruge Mutahaba.Anasaidia kuinua vipaji vya wasanii kupitia Tanzania House Of Talent(THT).Mpaka sasa wasanii kibao wameshainua vipaji vyao kupitia kwake. Kuna shirika la Malaria No More kutoka nchini Marekani.Mradi wa [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/02/sugu-vs-rugezinduka-ni-ya-nani/</link>
			</item>
	<item>
		<title>ZA MWIZI 40,UKIMFUMANIA UTAFANYAJE?</title>
		<description><![CDATA[
Za mwizi arobaini. Bila shaka ushausikia msemo huo.Sina uhakika sana na idadi ya siku (40) lakini nina uhakika kwamba msemo huo humaanisha kwamba uovu una kikomo.Ipo siku utakamatwa.Inaweza kuwa sio ndani ya siku arobaini(40) lakini ipo siku tu!

Lakini inakuwaje siku ukimfumania mtu ambaye haibi kunde na choroko zako shambani bali anaiba penzi au mpenzi wako? [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/03/01/za-mwizi-40ukimfumania-utafanyaje/</link>
			</item>
	<item>
		<title>“I AM STILL GOOD AND WILL BE BACK SOON”-HASHEEM THABEET</title>
		<description><![CDATA[When the news surfaced that, Hasheem Thabeet, is headed to the Development League (D-League), the reaction among Tanzanians especially the users of social networks such as Facebook and blogs were overwhelming.  I guess the big question in lots of folk&#8217;s minds was; what is a D-League? Does it suggest that he is no longer [...]]]></description>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/02/27/%e2%80%9ci-am-still-good-and-will-be-back-soon%e2%80%9d-hasheem-thabeet/</link>
			</item>
</channel>
</rss>
